ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
nashkuru kwa kutambua mwisho wa akili yako😀😀😀😀Hii ita toka nai kwenda newyork kila wiki
nashkuru kwa kutambua mwisho wa akili yako😀😀😀😀Hii ita toka nai kwenda newyork kila wiki
kulikoni😀😀😀😀 munabaka wanafunzi badoI'm sorry, but I wouldn't wish my worst enemy such hospitality from you, especially in dar. I respectfully DECLINE!
Kijiji chenu hakiwezani. Hauna mvuto.
Afadhali nitulie MOMBASA
basi sawa,we endelea kujifungia hapo kibera huku ukiendelea kujiaminisha kwamba Nairobi jiji bora...!!I'm sorry, but I wouldn't wish my worst enemy such hospitality from you, especially in dar. I respectfully DECLINE!
Kijiji chenu hakiwezani. Hauna mvuto.
Afadhali nitulie MOMBASA
Mrudisheni huyu CHEKECHEAbasi sawa,we endelea kujifungia hapo kibera huku ukiendelea kujiaminisha kwamba Nairobi jiji bora...!!
utofauti wake nini??hiyo mitreni sisi tunayo toka miaka ya 70 huko..wewe unaletewa leo na mchina unajiona bora!!teknolojia ya kisasa ni electric trains..sawa jaluo??Na USIJARIBU kulinganisha SGR yetu na TAZARA yenu
ENGLISH,the only kenyan pride.Writing and speaking are two different components, it's a shame you write as kindergarten child. Go and practice functional writing before you get messed up when applying for jobs outside Tanzania where Swahili isn't recognized.
wakenya ni watu wa ajabu kama anavyojisemea aspvtx➡ENGLISH,the only kenyan pride.
Timu nzuri au la?Admin umesema tutaendelea kuvumilia huu mvutano? Issokey, waKenya watu wenye Subira hatari. Watu wa ajabu.
Might as well make friends here. Wangapi hucheza FPL?
Cheki team yangu View attachment 804330
Kinacho nifurahisha ni kujua kwamba kufungwa kwa JF kwa muda kuliyaweka wazi upungufu mkubwa wa Uhuru wa wanahabari na jukwaa za kijamii.Na ujue Tz haina Media ya kuanika hawa Mafala coz bado wako ukoloni mamboleo... They lough at us as we correct our selves through the media yet pesa ikiibwa Tz hakuna mtu anajua... We'll see whose the fool in the end..
Alafu Utaskia Magufuli turns to Diesel enginesI'm an outsider but i know what is happening in your country than you. Mlidanganywa ati mnajenga reli na pesa zenyu? 😀😀View attachment 804254 View attachment 804256
unajua ilifungwa sababu gani,au una mawazo yako kichwani tayari?Kinacho nifurahisha ni kujua kwamba kufungwa kwa JF kwa muda kuliyaweka wazi upungufu mkubwa wa Uhuru wa wanahabari na jukwaa za kijamii.
we got many,no more need.Alafu Utaskia Magufuli turns to Diesel engines
Nyinyi msipochunga mtalipia kuingia Twitter, Facebook, Instagram, Youtube nkunajua ilifungwa sababu gani,au una mawazo yako kichwani tayari?
...ACCEPTANCE huanza hivi.
NOW, pull up your socks and stop sleeping!
Aspire to be a model of Kenya!
Nyinyi naskia hamna ukabila (sijui kama ni kweli). Ila bila Huu ukabila mmefanya nini ya maana? Mmeendelea ama bado mko LDC?
NINI haswa kinaendelea bongolalaland? View attachment 803752
...KITAELEWEKA!!
ADMIN!? Uko wapi? Huu mjadala umefika maoni laki moja na! Nafikiria NBO imejitambulisha na kujiuza. Nafikiria pia umefika wakati waTZ wakubali Hali yao na wajikakamue. UMEFIKA wakati wa kufunga huu mjadala
MOTO umekua moto sana inabidi uzimwe!!![]()