asvptx
JF-Expert Member
- Jun 26, 2018
- 1,940
- 1,015
Mtakuaje developed country bila kutangamana na developed ideas? WaKenya watu hatari. Hivi unadhani Hakuna wahandisi waKenya wanaotangamana na kuunda hizi miradi pamoja na waChina?Unajua tatiz sio kingereza tatizo ni point zako unazotoa..mnaposema mnaelimu bora nilitegemea muweze kusimamia miradi mikubwa wenyewe you can just lend money from them and do all the project on ur own,most importantly is the adherence of loans terms & conditions !! Sasa kwa elimu iyo iyo ndio mnaishia kua day workers na kazi kubwa zinazohitaji ujuzi wanakula wageni zile za jua kali ndio wanapewa akina Kajamba nani
Inaitwa KNOWLEDGE TRANFER!
ili miradi za baadae waKenya baadae wawe na the KNOW HOW of constructing a near perfect model.
WaKenya watu hatari sana. Watu ambao on average ni very clever kuliko the average african/tanzanian