Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Punguani!! Mbona tujinyonge? Umeme hamna! Kabla muweke umeme kwenye treni nafikiri SGR already tutakua tushaUpgrade from diesel to electricity. (sio ati tuna haraka, kwa sababu already speeds of 120kph/100kph/80kph ni speeds nzuri sana for our diesel trains).

Modern electric train ya TZ haiwatishi waKenya. WaKenya watu ambao wanajua wanachotaka. WaKenya watu wenye busara. Wenye taratibu! Watu wa ajabu!!
...
 
ICHOBOY amekubaliana na mimi huu mjadala Dar mmeshindwa! TUUSAN mkuu amekubaliana na mimi eti somehow NBO imeizidi Dar. Mimi pia nimekubaliana na mimi NBO jiji kuu

Admin! mjadala KWISHA!
...
 
Admin this is OVERWHELMING!
Admin kama hii ilikua battle, basi NBO imetoka kama mshindi! Admin naonelea itakua jambo la busara watu wakubali hali yao.

Dar haiwezi shindana na NBO. NBO in the first place, hatukutaka kushindana na dar in any way whatsoever. Dar mlitaka kushindana na NBO by all means. Ila hamuwezani.

Admin funga huu mjadala!!
...
 
Hatuko juu jinsi mnavyofikiria. NBO tunajikakamua kushindana na other African hubs like Cairo, Joburg na Lagos. Tunajua bado hatujafika pahali ambapo Tunajua tunaweza kufika. Lakini kila siku ukakamavu tu. Sio wivu ama POROJO.

We want to be a developed country. But one step at a time. Dar mjipange. Mjikakamue. YOU CAN DO WONDERS. but not if you trash talk NBO and Kenya in general.

Kenya nchi hatari for African standards.
...
 
MJERUMANI anasikitika sana. Yaani kama hivi ndio mTZ anafikiria, Mjerumani angetaka sana arudishe saa nyuma. Awachane na Urusi azingatie TZ.

Mbona hamuwezi fikiria? Ama Watanzania niache kujumlisha? Labda ni hawa MA Ichoboy wanawaaibisha??
...
 
Tutangoja Hadi lini?? 2030? 2040? ama 2050?? Huu wakati wote unadhani Kenya itakua wapi? NBO itakua imefika wapi?

Hizi vitu ZISHAUNDWA Kenya na already ZINATUMIKA. Apana jaribu kujilinganisha na ndugu zenu wakubwa. Watakutia adabu!!

UMEME! DANGER!!! [emoji88][emoji88][emoji88]

ADMIN funga huu mjadala!!!
...
 
Alafu cha muhimu ujue density hautushtui sisi kama waKenya. Hizo minara zenu hazina biashara. Hamna watu wa kuzikomboa. Minara ya glesi ya kufurahisha mTZ ati anaendelea. Kuendelea mkienda wapi nyinyi LDC?

PAMBANENI NA HALI YENU!!
...
 
Hao ndio watu tunataka kulinganishwa nao. Sisi tutakubali Joburg ndio watu tunaweza linganishwa nao. Hao ndio watu/jiji tunashindana nao.

Sio kijiji chenu cha dar. Kenya ama NBO linganisha na joburg, Cairo, Lagos ama Mauritius. Apana linganisha NBO na dar. What is dar??

Kenya nchi hatari!!!
...
 
TUNAFUNGA HUU MJADALA ONCE AND FOR ALL! Hakuna jinsi mtaweza shindana na sisi!

I'm sorry, but this will always be the norm. You will always be behind Kenya, unless major transformations are made in your country!

Don't be jealous of your neighbors success. Instead, pull up your socks and try to make your own situation better!

The potential is there. But I'm sorry with this kind of thinking and reasoning, this will never be the case!

Tanzanians of good will. BELIEVE and it shall happen!
UFUNGWE kabisa! Mjadala NBO kashinda na kutoweka already!

Kama hii ni battle, basi mTZ saizi ako na PTSD!

Yaani POST TRAUMATIC STRESS DISORDER

NBO imekua ikiwapa kichapo na inaendelea kuwapa VIPIGO! na itazidikuendelea na hizi vichapo!

DANGER!! [emoji88][emoji88]
 
nani kakwambia tumekopa hela za kujengea reli turkey na south Africa??mbona nyie mnapenda kuropoka hovyo?
wanamachungu kuona mchina kawajengea kwa mkopo alaf kawaletea train zilizotumia 50yrs ago😀😀
 
UFUNGWE kabisa! Mjadala NBO kashinda na kutoweka already!

Kama hii ni battle, basi mTZ saizi ako na PTSD!

Yaani POST TRAUMATIC STRESS DISORDER

NBO imekua ikiwapa kichapo na inaendelea kuwapa VIPIGO! na itazidikuendelea na hizi vichapo!

DANGER!! [emoji88][emoji88]
mshindi hajitangazi popote pale duniani,anatangazwa acha kuhangaika mzee.

kifupi endelea kupata strok maana hamkujua kina cha dar ni metre ngapi kimezama,imagine mmeweka mpaka randers za pinnacle but still kupewa kichapo in/out.
 
mshindi hajitangazi popote pale duniani,anatangazwa acha kuhangaika mzee.

kifupi endelea kupata strok maana hamkujua kina cha dar ni metre ngapi kimezama,imagine mmeweka mpaka randers za pinnacle but still kupewa kichapo in/out.
wanjala jana kaona kijitonyama ya sasa kakimbia mbio hajarudi😀😀😀😀
 
mshindi hajitangazi popote pale duniani,anatangazwa acha kuhangaika mzee.

kifupi endelea kupata strok maana hamkujua kina cha dar ni metre ngapi kimezama,imagine mmeweka mpaka randers za pinnacle but still kupewa kichapo in/out.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] KICHAPO GANI??

KICHAPO gani Dar wametupea?

Kichapo gani??? [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Imebakia mkubali hali yenu tusonge mbele. Apana haribu wakati na ndoto za alinacha* Ingawaje ndoto zenu nzuri sana.

Ati mshindi hajitangazi? Haya sisi waKenya watu tofauti sana. Tukishinda tutasema na KUUWEKA PEUPE Kuwa tumeshinda. Ati tunangoja.. Tunangoja nani au nini haswa??

Huu mjadala UFUNGWE!!!
 
wanjala jana kaona kijitonyama ya sasa kakimbia mbio hajarudi😀😀😀😀
Screenshot_2018-06-25-10-41-26-73.png
Screenshot_2018-06-25-10-41-17-95.png
Screenshot_2018-06-25-10-41-14-53.png
yaani hauna aibu ukitaja huu uchafu wewe heti huu ukatuma wanjala apotee???
 
Back
Top Bottom