Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

nimekuja speed nikidhani nitakuta umeandika jambo la maana,kumbe porojo.

yaani umetumia nusu ya post yako kuni-attack kuliko ku-stick kwenye topic.

vilaza mkibanwa kwa thread mnakuwa na hasira sana. i love arguing with a quick-tempered mugger.
una nini ya kufunza watoto bana ee
 
Nakuhurumia tu mzee.
Hata J Cole hufanya USA Tour na ni American, najua kwenu hakuna vile msanii anaeza tembea locally juu huki ni vichaka tu. Victoria Kimani msanii amefanya big songs anafanya shows Netherlands,South Africa,USA, Nigeria sasa amekuja home tour unacheka? See your life mzee vitu mingi zimekupita aise
Look at her collabos
Sarkodie Africa's fastest rapper



Phyno


M.I The one and only



R City

AKA


Khuli Chana


Abbas mwenyewe baddest Rapper



Hata amesaidia mwenzenu ajulikane kenya diamond



YOU SHOULD KNOW PEOPLE!

Si unajua kwao ni masikini sana,showa za huko jamaa analipwa pesa kidogo sanapia tickets za kwao eti msee anaingia na 500bob...ukiweza show ya thao tatu utabaki pekee yako kwa event
 
Screenshot_2018-03-16-18-31-28-1.png
Morroco square office buildings...hot or not?karibu zikamilike
 
Siyo kila kitu cha Ulaya ama Marekani ni maendeleo, vigine ni utamaduni tuu, sisi Tanzania tuna utamaduni wetu ambao ni kujenga na kukaa kwenye vibanda vyetu. Mambo ya kukaa sijui kwenye maghorofa siyo mambo tunayopenda sana.



Sababu kubwa ya kujenga reli mpya ni sababu za kiuchumi, ambapo SGR inaweza kubeba mizigo mizito zaidi kwa wakati mmoja (double-stack railcar) na kupunguza gharama za usafirishaji kwa mwendo kasi zaidi (~120km/hr).

Reli ya mjerumani (central line) haiwezi kubeba mizigo mingi kwa wakati mmoja na mwendo kasi wake ni mdogo sana (~40km/hr)

Ati utamaduni.! Utamaduni gani. Ewe mnaogopa heights? akuna utamaduni ni kitu inaitwa vertical development. You are still far off. Very lame excuse! Tafuta ingine.
Sasa hapo kwa reli kwani mliona umuhimu wa reli yenye capacity kubwa juzi tu baada ya Kenya kujenga? Hamungejenga kabla tujenge?
 
povu kubwa sana hili... emotions peleka kibera hapa sio mahala pake.

Emotions gani? Yaani mnadhani mkiimba povu kila siku ndio mtashinda. Diamond ana furaha sana kuwa Kenya hata anavyoonekana anajihisi ako majuu. Alafu ni mnyenyekevu sana kwa sababu anajua Kenya ndiyo nchi locally inaweza kumfanya aonekane muhimu duniani. Hata huko marekani na marafiki zake najua yeye hujifanya mkenya kutoka Obamaland. Akisema tu ametoka Tanzania wanamuuliza huko ni wapi kaka?
 
uhaha mlijenga nn???? hio ni kitu kipya kabisa terminal 3 iko mbali na terminal 2 kabisa hui kitu ikikamilika mutatafuta pakukimbilia 😀😀😀😀😀😀

Mkifungua hizo tutakuwa tumefanya direct flights kama mia to New York city. Tena hamuna ndege sijui muanze kuzitafuta. Enyewe mko mbali.
 
Emotions gani? Yaani mnadhani mkiimba povu kila siku ndio mtashinda. Diamond ana furaha sana kuwa Kenya hata anavyoonekana anajihisi ako majuu. Alafu ni mnyenyekevu sana kwa sababu anajua Kenya ndiyo nchi locally inaweza kumfanya aonekane muhimu duniani. Hata huko marekani na marafiki zake najua yeye hujifanya mkenya kutoka Obamaland. Akisema tu ametoka Tanzania wanamuuliza huko ni wapi kaka?
Hahahahahahahahah, mtaendelea kupenda vya wenzenu kama kawaida yenu, sisi mbele kwa mbele. Hivi hamjaanza kusema hata hii modern and the only bullet train in Africa inajengwa na wakenya?. Kama huyo Diamond munwmuhitaji, mnaweza kumchukua, sisi tutaibua wengine zaidi ya huyo, na akiwa huko ndani ya miezi sita atapotea katika ramani ya muziki kama walivyopotea wanamuziki wote wa Kenya.
 
Sio nyie mlio overstretch mkaingia kwenye huge debts na sasahv government is BROKE

Mimi hata nashangaa mnasema nini a heavily indebted poor country na hizo infrastructure najua zinawahemesha kwa vile mnakusanya kodi ndogo sana. Very soon mtakuwa kama Ethiopia where 90 % of budget inaenda kwa kujenga vitu kama hizo na watu hawalipwi mishahara for months
 
Hahahahahahahahah, mtaendelea kupenda vya wenzenu kama kawaida yenu, sisi mbele kwa mbele. Hivi hamjaanza kusema hata hii modern and the only bullet train in Africa inajengwa na wakenya?. Kama huyo Diamond munwmuhitaji, mnaweza kumchukua, sisi tutaibua wengine zaidi ya huyo, na akiwa huko ndani ya miezi sita atapotea katika ramani ya muziki kama walivyopotea wanamuziki wote wa Kenya.

Yeye alijileta Kenya hakuitwa. Alikaa tu kwake Tandale akaona duh hii album nikijaribu kuilaunch hapa Tanzania ni disaster hakuna mahali itaenda. Wacha nibonge na wakenya vizuri. Na analipa hao organizers wa kikenya wote, no free things here. Isipokuwa hio ka kwota alipewa
 
Emotions gani? Yaani mnadhani mkiimba povu kila siku ndio mtashinda. Diamond ana furaha sana kuwa Kenya hata anavyoonekana anajihisi ako majuu. Alafu ni mnyenyekevu sana kwa sababu anajua Kenya ndiyo nchi locally inaweza kumfanya aonekane muhimu duniani. Hata huko marekani na marafiki zake najua yeye hujifanya mkenya kutoka Obamaland. Akisema tu ametoka Tanzania wanamuuliza huko ni wapi kaka?
Mashudu period
 
Back
Top Bottom