Correction, Kenya hamna Reli ya Kisasa, and besides, Kenya didn't build anything, The Chinese did. Their money 100%, their Human Resource, Their raw materials 100%, and their technology 100%,Ati utamaduni.! Utamaduni gani. Ewe mnaogopa heights? akuna utamaduni ni kitu inaitwa vertical development. You are still far off. Very lame excuse! Tafuta ingine.
Sasa hapo kwa reli kwani mliona umuhimu wa reli yenye capacity kubwa juzi tu baada ya Kenya kujenga? Hamungejenga kabla tujenge?
Nn inajegwa mshamba wewedodoma huiwezi wewe tena inajengwa usiku na mchana 😀😀😀😀😀😀😀
modern electric train in africa😛😛😛😛😛
Sasa sura ya kazi ya ADC wetu unaisemea ubaya kwa matumizi gani ya uzuri wake???Wanaume si warembo wewe shoga.
Ati utamaduni.! Utamaduni gani. Ewe mnaogopa heights? akuna utamaduni ni kitu inaitwa vertical development. You are still far off. Very lame excuse! Tafuta ingine.
Sasa hapo kwa reli kwani mliona umuhimu wa reli yenye capacity kubwa juzi tu baada ya Kenya kujenga? Hamungejenga kabla tujenge?
hii umeleta wewe ndio excuse yenyewe sasa.eti tunajenga reli baada ya kenya kujenga!!!!sawa girlfriend wa diamond nchini kenya, tumekusikia.Diamond ana furaha sana kuwa Kenya hata anavyoonekana anajihisi ako majuu. Alafu ni mnyenyekevu sana

Kumbuka Diamond anaanzisha Redia na TV stations hapa Bongo, uchumi wenu umeporomoka na investors wenu wanakimbia kuja kuwekeza Kenya, kama angeona kuna pesa huko angekuja kuanzisha TV stations kwenu, huko anakuja kama anavyokwenda Rwanda kutafuta biashara, Rwanda atanunua na nyumba kabisa, lakini investment zake zote 99% zipo Bongo.Yeye alijileta Kenya hakuitwa. Alikaa tu kwake Tandale akaona duh hii album nikijaribu kuilaunch hapa Tanzania ni disaster hakuna mahali itaenda. Wacha nibonge na wakenya vizuri. Na analipa hao organizers wa kikenya wote, no free things here. Isipokuwa hio ka kwota alipewa
December this year😀😀😀😀Mkifungua hizo tutakuwa tumefanya direct flights kama mia to New York city. Tena hamuna ndege sijui muanze kuzitafuta. Enyewe mko mbali.
We unaona nn???Nn inajegwa mshamba wewe
MUNGU wasaidie wakenya
![]()
Huyo ni mtanzania na hapo ni Dar, huoni hizo plate number za gari zimeanzia na T?Acha porojo,leta ushahidi kua huyo ni mkenya.....
kabisaaHapa kunatofauti kubwa sana kati ya wakenya na watanzania. Kwa watafiti nilikutana na watafiti wa kiongelea uzi huu. Wakenya wana post everyday vitu vile vile huku watanzania wakionesha vitu vingi tofauti tofauti.
ha haa hiyo imetulia sana mkuu...majirani midomo wazi
U.S.A ..bongo