Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi


DYZC6CsVMAEB4DO.jpg
 
Ati utamaduni.! Utamaduni gani. Ewe mnaogopa heights? akuna utamaduni ni kitu inaitwa vertical development. You are still far off. Very lame excuse! Tafuta ingine.
Sasa hapo kwa reli kwani mliona umuhimu wa reli yenye capacity kubwa juzi tu baada ya Kenya kujenga? Hamungejenga kabla tujenge?
Correction, Kenya hamna Reli ya Kisasa, and besides, Kenya didn't build anything, The Chinese did. Their money 100%, their Human Resource, Their raw materials 100%, and their technology 100%,
What is yours in that Oldy Jurassic Rail? Nyie mnachoweza ni kutupigia makelele na kupiga selfie tu kwenye hayo magarimoshi, bure kabisa.
 
Ati utamaduni.! Utamaduni gani. Ewe mnaogopa heights? akuna utamaduni ni kitu inaitwa vertical development. You are still far off. Very lame excuse! Tafuta ingine.
Sasa hapo kwa reli kwani mliona umuhimu wa reli yenye capacity kubwa juzi tu baada ya Kenya kujenga? Hamungejenga kabla tujenge?
hii umeleta wewe ndio excuse yenyewe sasa.eti tunajenga reli baada ya kenya kujenga!!!!

Kwa kigezo kipi tumeiga yenu???labda kununua china tu,ila hizo ni vitu mbili hazifanani.

Lenu ni gari moshi la miaka ya sabini huko na speed yake ya konokono at 21st century.labda tuipee hizi zinabeba watu asubuhi na jioni hapa dsm.
 
Yeye alijileta Kenya hakuitwa. Alikaa tu kwake Tandale akaona duh hii album nikijaribu kuilaunch hapa Tanzania ni disaster hakuna mahali itaenda. Wacha nibonge na wakenya vizuri. Na analipa hao organizers wa kikenya wote, no free things here. Isipokuwa hio ka kwota alipewa
Kumbuka Diamond anaanzisha Redia na TV stations hapa Bongo, uchumi wenu umeporomoka na investors wenu wanakimbia kuja kuwekeza Kenya, kama angeona kuna pesa huko angekuja kuanzisha TV stations kwenu, huko anakuja kama anavyokwenda Rwanda kutafuta biashara, Rwanda atanunua na nyumba kabisa, lakini investment zake zote 99% zipo Bongo.
 
harminize,diamondi,mavoko wote wako kenya kurecord ngomana kujinyc.......mbosso amesema alikua akae siku tatu but ameextend siku 10.
DYbGVZ7W4AAprl-.jpg
 
Back
Top Bottom