Madrid boy
JF-Expert Member
- May 21, 2017
- 895
- 615
Is keko Mwanga CBD??we have photos of keko mwanga too
Is keko Mwanga CBD??we have photos of keko mwanga too
sawa tuma tena
tutatuma flooding ya dar utalia
Kweli Nairobi ni oldRainy season as ****
katika miaka yote ambayo dar es salaam imewahi kukubwa na flood, haijawahi kutokea flood katika cbd.tutatuma flooding ya dar utalia
Hayo makumpuni ya kichina yanayo wapiga pesa zenu kwanini msiya hoji kwanini yote ni ya serikali!! yote ni ma CCC tugoverment inajenga kila kitu kwani nyinyi ni viwete
Nakuhurumia tu mzee.wakati wasanii toka tanzania kila siku wanapanda ndege wakizunguka dunia na kufanya show katika nchi mbalimbali za africa, europe na USA, wasanii wa kenya wanaishia kufanya show kwa counties.
viva tanzania.
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
View attachment 716724View attachment 716725View attachment 716726View attachment 716728View attachment 716727
naona unalilia hovyo kama mtoto. sina la kukusaidia... endelea kulia.Hata J Cole hufanya USA Tour na ni American

Mzee... Inaonekana hujawahi kufika Kenya. Na kama umewahi kufika, ulitumia tu wakati wako kulalia maskio. Na ni wazi kuwa either wewe haukusoma, (high school leaver) ama wewe ni lazy cha kupindukia ulikam kulala tu.safi sana na hongera kwa diamond kununua shamba kenya.
ni fahari sana kwa mtanzania kumiliki ardhi katika nchi ambayo majority of citizens are landless.
viva tanzania.![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Machozi ya nn jamvini?Mzee... Inaonekana hujawahi kufika Kenya. Na kama umewahi kufika, ulitumia tu wakati wako kulalia maskio. Na ni wazi kuwa either wewe haukusoma, (high school leaver) ama wewe ni lazy cha kupindukia ulikam kulala tu.
An intellectual is easily identified and sorry to say you are not in that category. If you came to Kenya and you didn't do a small research on land ownership, go back to Tz to hull that land is owned by minority then you're a loser.
Do you know how many people were compensated by the government during the railway construction, despite a large portion of the SGR passing through Tsavo which covers almost the whole way from nairobi to mombasa??
WORD.
You guys are incredibly illiterate, sio kupenda kwenu.Machozi ya nn jamvini?
nimekuja speed nikidhani nitakuta umeandika jambo la maana,kumbe porojo.Mzee... Inaonekana hujawahi kufika Kenya. Na kama umewahi kufika, ulitumia tu wakati wako kulalia maskio. Na ni wazi kuwa either wewe haukusoma, (high school leaver) ama wewe ni lazy cha kupindukia ulikam kulala tu.
An intellectual is easily identified and sorry to say you are not in that category. If you came to Kenya and you didn't do a small research on land ownership, go back to Tz to hull that land is owned by minority then you're a loser.

ana hasira sana.Machozi ya nn jamvini?
Mzee vp!! Umekumbwa na mafuriko kwako sasa unatuletea mafuriko ya povu JFMzee... Inaonekana hujawahi kufika Kenya. Na kama umewahi kufika, ulitumia tu wakati wako kulalia maskio. Na ni wazi kuwa either wewe haukusoma, (high school leaver) ama wewe ni lazy cha kupindukia ulikam kulala tu.
An intellectual is easily identified and sorry to say you are not in that category. If you came to Kenya and you didn't do a small research on land ownership, go back to Tz to hull that land is owned by minority then you're a loser.
Do you know how many people were compensated by the government during the railway construction, despite a large portion of the SGR passing through Tsavo which covers almost the whole way from nairobi to mombasa??
WORD.
Ww ndio hujaelimika ,jikagueYou guys are incredibly illiterate, sio kupenda kwenu.
Kwa viwanda vya cement vinavyo jengwa Tanzania Kenya hawezi weka guu lake