Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hebu tuone collection ya TRA Customs juu mko na digital systems
View: https://x.com/kenyanwalstreet/status/2082775885250256979?s=46


Mbona unalia lia kama bibie wa kilifii bi ashaa

Mmesha anza kutumia mfumo mpya?
Screenshot_20260728-190652.png
 

Hili suala kiukweli linaniuma sana, hizo kingo za barabara zilivyo nzuri halafu wasenge wanazikanyaga kama wanavyotaka, kiukweli mimi ningeshauri wawakamate malofa wote wanaofanya huu utovu wa nidhamu na kuwatoza faini na kuzijenga tena hizo kingo..
kwa mfano pale airport wamepanda majani vizuri tu na yameota pakawa if azuri mno, ajabu kuna mafala wanaovuka kwa miguu wanakanyaga zile bustani bhana. Sasahivi hapatamaniki.
 
Hili suala kiukweli linaniuma sana, hizo kingo za barabara zilivyo nzuri halafu wasenge wanazikanyaga kama wanavyotaka, kiukweli mimi ningeshauri wawakamate malofa wote wanaofanya huu utovu wa nidhamu na kuwatoza faini na kuzijenga tena hizo kingo..
kwa mfano pale airport wamepanda majani vizuri tu na yameota pakawa if azuri mno, ajabu kuna mafala wanaovuka kwa miguu wanakanyaga zile bustani bhana. Sasahivi hapatamaniki.
itakuwa watu wa malori!
 
Back
Top Bottom