Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Two of Kenya's biggest assets in one picture. Nice.
Roho chafu concordile 101 atahara damu 😂😂

kq.JPG
 
Some pics from Mbeya this July 🔥🔥.

By December nitawaletea picha zingine Kuna gorofa zaidi ya 15 ziko kwenye foundation. View attachment 3639951View attachment 3639952View attachment 3639953View attachment 3639954View attachment 3639955View attachment 3639956View attachment 3639957View attachment 3639958View attachment 3639959

The City is a hot construction site kama hii taarifa ya uwekezaji inavyoripoti hapa
View attachment 3639963
Kenyans in this thread don't understand how fast Mbeya is growing
 
Did you watch Gor Mahia game?.., walahi they had some tricky one touch passes like it was a World Cup game . Very impressive by K’ogalo !
Nyinyi mmepeleka timu kamili kwasababu ndiyo michuano ya hadhi ya timu zenu, cc huku Simba, Yanga na Azam wanatumia hiyo michuano kama pre season matches, na ndiyo mana unaona wanapanga vikosi dhaifu, Yanga ndo hata kujishughulisha na hiyo michuano imegoma kabisa. Kwenye football tuliwaacha majirani.
 
Nyinyi mmepeleka timu kamili kwasababu ndiyo michuano ya hadhi ya timu zenu, cc huku Simba, Yanga na Azam wanatumia hiyo michuano kama pre season matches, na ndiyo mana unaona wanapanga vikosi dhaifu, Yanga ndo hata kujishughulisha na hiyo michuano imegoma kabisa. Kwenye football tuliwaacha majirani.
sasa unamuelezea mtu hajui mpira kwanza kachezea 4 uko moroco na leo sjui ataokota 5
 
Back
Top Bottom