Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Arusha ikimaliza jenzi zake za miundombinu next year nadhani kimiundombinu itajismika kuwa jiji namba 2 behind Dar. Mpaka pale Dom naMwanza zitakapomaliza kujenga miundombinu yao.
 
Kwa style hii lazima iwe ngumu kuamini kuwa tz kuna muuza chips tu wakitaaa anaingiza 62,000 ksh kwa mwezi.
Hizi kazi mtu Bora aokote makopo akauze anapata zaid
BTW chips za kenya ni mbaya kichz, hakuna wapishi, i remember at one time nliekua nae ikabidi aniagizie something else mpaka nmesahau majina yake
 
This might be the worst news for mwaiofhawaii today 😂 , only 2 nations have extra USD benki kuu, apo ata SGR haijaanza kazi
1785335119309.png


1785335141870.png

1785335156426.png
 
What does sharing photos of former presidents add to your argument Kipelepele? How old are you? And you seriously think you have a better standard of living than those two billionaires?
Their faces epitomize a poor nutritional base. Sasa hata ukipata trillion ukubwani huwezi badilika.

Just look Ruto ama Gachagua🚮 Uhuru kazaliwa kwenye pesa yuko tofauti na wengine.
 
Superior education!?
Edukeshen hii-hii inayo poromosha maghorofa daily?
Education hii-hii that leads to importation mpaka ya onions?🚮

Superior education
View attachment 3639213
View attachment 3639214

Nowhere in Tanzania utakuta ujinga huu. Only in Kenya, South Africa; where a whiteman dupes these perennial losers kuwa elimu yao ni bora🚮
Duuh eti welder anatafuta kazi jamani, huyu si mtaji wake ni grander na welding machine, inaanza design machine kadha wa kadha pamoja na tools mbalimbali.
Duuh kuna colonial mentality kwa wenzetu mpaka huruma
 
Ebu I screenshot Ile part niliyosema anaweza kuuza 10 bags? For what I know nilikuambia kuna baadhi wanaweza uza mpaka bags 10 sawa na 2000 sio wote na ni wale wako kwenye mkusanyiko mkubwa wa watu kama universities , markets na maeneo kama kariaokoo mbagala sokoni.
Ila street vendor mtaani sehemu isiyo na movement kubwa wastani gunia moja na ndo hesabu inayopigwa ili tufike kwenye calculation za total monthly profit ya 62,000ksh huyu 10 bags sijataka kumuweka sababu sio minimum au the majority. Hapa tunaongelea majority ambaye hesabu yake inafikia 62,000 ksh per month acha kudiverty mambo
Bro.............believe your own reality sawa? Thank you.
 
Duuh eti welder anatafuta kazi jamani, huyu si mtaji wake ni grander na welding machine, inaanza design machine kadha wa kadha pamoja na tools mbalimbali.
Duuh kuna colonial mentality kwa wenzetu mpaka huruma
Nawaambiaga watu kwenye upambanaji halali hakuna nchi inawafikia Watanzania ukanda huu.
Mtu tayari una ujuzi kama welder halafu bado unaomba serikali ikupe kazi!
 
This might be the worst news for mwaiofhawaii today 😂 , only 2 nations have extra USD benki kuu, apo ata SGR haijaanza kazi
View attachment 3639317

View attachment 3639319
View attachment 3639321

Kwa style hii ya importation ya mabasi na trucks nilitegemea Tanzania ndo ingekuwa na deficit kubwa sana, lakini gap kinaendelea kupungua , mwakani effects za ongezeko la Kodi litakapokuwa lineshika hatamu tutegemee importation ya magari ya umeme kuongezeka na uagizaji wa mafuta kupungua hivyo surplus itazidi kuongezeka .
Mwaka huu ufuta haujafanya vizuri sana ila tutegemee bado kutakuwa na surplus
 
Nawaambiaga watu kwenye upambanaji halali hakuna nchi inawafikia Watanzania ukanda huu.
Mtu tayari una ujuzi kama welder halafu bado unaomba serikali ikupe kazi!

Sasa welder tz anaombaje kazi wakati mashine za tofari, kusaga, kutengeneza vyakula vya kuku, majembe ya matrekta , matraiker bado yanahitajika kwa wingi.
Shida ya wakenya wanaamini katika branding na ndo makampuni ya kutengeneza UNGA ni Yale makubwa sana na hayana msaada kwa majority , wakati tz UNGA unatengenezwa na locals mtu akiwa na 10mil anaweza kuanza ndogondogo mpaka anafikia hatua ya kuwa na mtaji mkubwa
Leo tz kuna welder anaweza kujutengenezea plant kubwa ya UNGA kwa kutumia local fundi na ikatoa UNGA mzuri kuliko ziler roller Mills za wachina ambazo spidi yake ni ndogo as compared to hammer mill za kibongo
 
View attachment 3639235
Huwa tunaenda kwa evidence , njia nzuri ya kuwa competent ni kukubali kujifunza .
Hapo nimekuwekea minimum plates mtu wa highway anaweza kuuza kwa siku na ni hesabu ya gunia moja tu na hapa nimekuongezea kuwa kuna wengine wanauza mpaka gunia 10 per day na hata zaidi.
Kuhusu kumenya na kukata viazi inabidi mjifunze sana, sasa hivi kuna mashine ambayo inaosha , inamenya na nyingine kukata kabisa viazi.

Happ umewekewa hesabu ya mtu mmoja mwenye maximum sales ya 150 plates , ambaye ana capacity ya kufikisha 62,000ksh per month hatujafika kwa yule 10 sacks per day
Na umeambiwa kabisa kuwa sales prices au totally daily sales itakuwa 300,000 tsh / 15,000 na profit ya not less than 50,000 tsh / 2500 ksh.
Unashangaa hao wachips vipi

View: https://vt.tiktok.com/ZS4NJt2Ax/
Nae hawez Jenga ghorofa au nae si street vendor

So 1kg ya viazi inatoa chips sahani mbili lakini sasa gunia ya 100 kg inatoa Sahani 150? What kind of maths is this?😂😂🤣
 
So 1kg ya viazi inatoa chips sahani mbili lakini sasa gunia ya 200 kg inatoa Sahani 150? What kind of maths is this?😂😂🤣
Uwe unaelewa nimekuambia kg moja Inaweza toa 2 plates ila kwenye hesabu yetu nimekuwekea kiwango Cha chini Cha 150 plates sababu kuna Kila mtu anakipimo chake ila hawez pima akakosa 150 plates . Mimi nimekuwekea minimum plates per sack sasa wewe Fanya hesabu zako.
Kwenye biashara hutakiwi kuweka the maximum bali chukua minimum Ile highest cost ya everything ili inapotpkea kuna variance isicheze mbali na uhalisia.
Na ndo maana hata plate price umewekewa 2000 tsh/ plate ila kuna ayeuza mpaka 3000 na kuna anayepima vipimo vidogo mpaka vya 500 tsh ila lazima itakuja kubalance zaid ya hiyo 2000tsh
Na hakuna sehem imetajwa gunia ya kg 200 bali kg 100 Tanzania hatupangi mazao kwa above 100 kg
Screenshot_20260729-142951~3.jpg

Ebu nitafutie gunia moja la 200kg hapo🤣🤣🤣
 
Yaan hiyo nyumba ya tz inajenga nyumba zenu kama hizo 10 .


View attachment 3638972View attachment 3638973View attachment 3638974View attachment 3638975View attachment 3638976View attachment 3638977View attachment 3638978View attachment 3638979View attachment 3638978
Ebu linganisha na hizi zenu sasa 🤣🤣🤣🤣🤣
Mabati ni kwa ajili ya kuelekea sio kwa ajili ya ukuta, Tena mnatumia gauge 32 , yaan the lowest quality kujengea ukuta,
Umetafuta picha za Kenya's worst houses ukapata hii.
Nimetafuta picha za Tanzania best houses nikapata hii. 😂😂

Be proud of your architecture Mr. Tandale welder.

cn.JPG
 
Kwanza upewa simple BOQ ya hiyo nyumba halafu linganisha na mabati house ya kwenu .
Iron sheets 170*32,000= 5,440,000
Blocks 2500*1200=3,000,000/=
Aluminium windows 8*350,000= 2,800,000
Window grills 170,000*8=1,360,000.
Mbao za kuezekea
2*3= 150*4500=675,000
2*2= 80*3000
2*4=40*5000= 200,000
Nails 4' = 25kg*3500=87,5000

Sasa calculate hapo uupate total ,ujiulize ingekuwa Ukunduni tingetoa nyumba ngapi?🤣🤣🤣🤣
Halafu hapo ni Kijijin sasa , imagine nyinyi mnajenga mabati house Nairobi.
Tukusaidie tu jumla ni ksh 672,125 bila interior finishing , yaan bati liliotumika tu kwa nyumba za Tanzania zinajenga nyumba nzima ya ukundustan mpaka finishing ndani🤣🤣🤣🤣.

Tanzania tunajenga kwa pride A.K.A sifa
Unlike you mr. welder, wengine wetu tumejenga.
Hizo cone houses mnajenga hazipiti Ksh1.5m za kenya.

Hio bei hapa tunaita hizo nyumba 'simba'. Nyumba ambayo kijana anaingia akitahiri, ambayo inajengwa kando ya main house.
LDC kaeni ligi yenu.

cn.JPG
 
Sasa kView attachment 3639005View attachment 3639006
Sasa kama mnajenga na bado mnatumia vitu cheap kama madirisha haya si Bora tusijenge kabisa🤣🤣🤣🤣
Dizaini ya haya madirisha mwisho kuyaona ilikuwa 2002 Tena mashuleni

It's called affordable for a reason.
Nyinyi mnajenga vitu cheap na mnalipisha wazungu $3500 a month.
No wonder your "luxury apartments" are empty 11 months of the year.
 
Back
Top Bottom