Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

You are a special case. Try to do some business maybe utapata akili.

Hahaa baada ya kushundwa justify eneo niliposema sack moja inaconsist viazi vya 200kg? Sasa hapo ndo mmeprove you are just fools , since when 100 ikageuka 200.
Nincompoops .
I have been to business kabla hata hujanijua Nairobi , Mimi huwez nidanganya biashara yoyote ya chakula kama cereals, clothing Wala bars+ restaurant. Muwe mnachagua watu wa kubattle nao. 🤣🤣🤣🤣
Biashara zenu nyinyi mnazisoma kwa mtandao wenzenu tunazifanya daily .
Sasa mtu ambaye hujawahi hata kuuza duka au hata kuuza spinach unataka leta uzoefu na mtu nayeifanya hiyo kazi daily.
 
Uwe unaelewa umeambiwa hiyo net profit per plate na hiyo ni minimum,
Gunia la viazi maximum dar 75000 na ni kg 100 , kg moja inatoka 2 plates ila Mimi nimekuwekea 150 for sack ila kwa kawaida ilitakiwa iende 240 .
Price per plate ya chips kavu ni 2000tsh
Minimum plates 150*2000= 240,000
20 litres ya mafuta inakaanga gunia 7 au kg 700 price ya ni 100,000 kwahiyo per kg utatumia 95tsh
Umeme 3 units per hour na unaweza to minimum plate 20 per hour so per plate umeme 52 tsh
Branding ,tax rent and the like weka 700
Kumbuka hizo major costs kwenye chips .
Vitu kama tax rate hawa hulipa 250,000 per year service levy 50,000 per year .
Na most of them rent huwa ni 50,000 per month.
Nakuongezea plus kachumbari per plate hutakiwi zidisha 100 tsh .
Ila bado cost zinapunguzwa mfano badala umeme kuna majiko ya kutumia pumba ambayo ni less costly.
Na most of them hawanunui all those items in cash bali mkopo and the like.

Ambayo bado itakuwa covered kwenye hiyo miscellaneous niliyokuwekea hapo ya 700 tsh.
Mind you hapo ni chips kavu ,ila kwenye chips mayai a kg inatoa plates Tano na bado bei inakuwa 3000 tsh🤣🤣🤣🤣🤣
Nyinyi endeleeni kugoma tu

Chips vendor bongo ni tajiri na zinawatoa watu wengi , nyinyi si mnakariri brands , Tanzania tunajenga brands.
Kutype hivi vyote just so you can defend a foolish argument? So you want to say a chips seller in Dodoma saves kes 62,500 Minimum after all deductions and household expenses! Ile TZ moja tunaijua ama kuna branch ingine? Hebu nikukbushe Per capita yenu tena😅
 
Uwe unaelewa umeambiwa hiyo net profit per plate na hiyo ni minimum,
Gunia la viazi maximum dar 75000 na ni kg 100 , kg moja inatoka 2 plates ila Mimi nimekuwekea 150 for sack ila kwa kawaida ilitakiwa iende 240 .
Price per plate ya chips kavu ni 2000tsh
Minimum plates 150*2000= 240,000
20 litres ya mafuta inakaanga gunia 7 au kg 700 price ya ni 100,000 kwahiyo per kg utatumia 95tsh
Umeme 3 units per hour na unaweza to minimum plate 20 per hour so per plate umeme 52 tsh
Branding ,tax rent and the like weka 700
Kumbuka hizo major costs kwenye chips .
Vitu kama tax rate hawa hulipa 250,000 per year service levy 50,000 per year .
Na most of them rent huwa ni 50,000 per month.
Nakuongezea plus kachumbari per plate hutakiwi zidisha 100 tsh .
Ila bado cost zinapunguzwa mfano badala umeme kuna majiko ya kutumia pumba ambayo ni less costly.
Na most of them hawanunui all those items in cash bali mkopo and the like.

Ambayo bado itakuwa covered kwenye hiyo miscellaneous niliyokuwekea hapo ya 700 tsh.
Mind you hapo ni chips kavu ,ila kwenye chips mayai a kg inatoa plates Tano na bado bei inakuwa 3000 tsh🤣🤣🤣🤣🤣
Nyinyi endeleeni kugoma tu

Chips vendor bongo ni tajiri na zinawatoa watu wengi , nyinyi si mnakariri brands , Tanzania tunajenga brands.
Boss rudi shule for the sake of your own business.. clearly you are reaping where you didn’t sow.. hio ni biz ya chipo ama ni wash wash
 
Kutype hivi vyote just so you can defend a foolish argument? So you want to say a chips seller in Dodoma saves kes 62,500 Minimum after all deductions and household expenses! Ile TZ moja tunaijua ama kuna branch ingine? Hebu nikukbushe Per capita yenu tena😅

Elimu yako ni levele gani? Unaelewa maana ya miscellaneous expenses? Nimekuwa major cost ya kupika chips ambazo ni umeme,viazi , mafuta, kachumbari basi kwanza nikuongezee na kumenya na kukata ambayo kwa ndogo ya 10 kg ni 500 . Hizo major costs
Ukijumlisha zote plus profit range ya 500 bado kuna remaining balance ya 700 ambayo miscellaneous . I mean costs zote ambazo haziko reflected na nyingine ni variable na bado haziwezi fika hata 300.

Hiyo 500 ni profit baada ya expenses zote ikiwemo na salary yako .
Kuuza plates 150 za chips ni normal sana ila shida yenu mnafanya biashara kwa kufikiria business plan.
Letsay wewe leta major cost ambayo haiko included hapo..
Sisi kazi yetu ni kuwaelimisha tunajua mko nyuma sana kifikra
 
Boss rudi shule for the sake of your own business.. clearly you are reaping where you didn’t sow.. hio ni biz ya chipo ama ni wash wash

Haha shule ya biashara hufundiahwi darasana bali unaishi. Ingekuwa hivyo ruto angekuwa tajiri kuliko bakhresa wa darasa la nne ila ndo maskini kabisa hawez hata kugusa level ya kiwanda kimoja Cha bakhresa🤣🤣🤣🤣
 
Elimu yako ni levele gani? Unaelewa maana ya miscellaneous expenses? Nimekuwa major cost ya kupika chips ambazo ni umeme,viazi , mafuta, kachumbari basi kwanza nikuongezee na kumenya na kukata ambayo kwa ndogo ya 10 kg ni 500 . Hizo major costs
Ukijumlisha zote plus profit range ya 500 bado kuna remaining balance ya 700 ambayo miscellaneous . I mean costs zote ambazo haziko reflected na nyingine ni variable na bado haziwezi fika hata 300.

Hiyo 500 ni profit baada ya expenses zote ikiwemo na salary yako .
Kuuza plates 150 za chips ni normal sana ila shida yenu mnafanya biashara kwa kufikiria business plan.
Letsay wewe leta major cost ambayo haiko included hapo..
Sisi kazi yetu ni kuwaelimisha tunajua mko nyuma sana kifikra
To make a net profit of how much ?
Are you deviating from the initial answer? I had to school you that there are expenses which you had not mentioned for you to even remember, ni anaye elimisha mwingine?
 
To make a net profit of how much ?
Are you deviating from the initial answer? I had to school you that there are expenses which you had not mentioned for you to even remember, ni anaye elimisha mwingine?

Nimeweka profit ya 500 kwa Kila plate moja , na nimetoka major costs hapo kwenye biashara ya chips , hapo vitu kama fixed cost na zile costs ndogo nimeziweka kwenye miscellaneous tsh 700 . Sasa taja cost gan ambayo imesahaulika.
Mind you 62,000 ni profit tu 500tsh profit* 150 plates per day* 22 number of days - any unforceen issues .
Cost
2000- 500= 1500*150*22=
Haya malizia wewe msomi

Profit ya 500 tsh kwa tz ndo standard kwa wauza chips , wapo wanaoamua kupata kidogo kwa kuuza nyingi wapo wanaumuaa kuminya kilimo nakuuza kidogo wapate zaidi ,ila kwa wale unawaona barabaraani wenye local vibanda huwa Wana range ya bei hiyo.
Mind a sack mpaka mlangoni dar ni 75,000 sasa hivi = 3,750ksh
 
To make a net profit of how much ?
Are you deviating from the initial answer? I had to school you that there are expenses which you had not mentioned for you to even remember, ni anaye elimisha mwingine?
Uwe unasoma bila kukurupuka from the start nimesema profit per plate kwa tz ni 500 , cost of purchase sack ni 75,000 hakuna transport cost sababu huwa distributed na wauzaji , rudia kasome post za nyuma utajifunza zaid sio unakuja kurupuka mwishoni
 
In Kenya they demand payment, in Tanzania they kneel down and kiss Mama …
We can debate on that ..🤪
we mwenyewe unavoona kuna cha kudebate apa? 😂
1785349145407.png

1785349151907.png
 
Poor in terms of what define poverty kwa uelewa wako.
Buda wewe hujawahi fika Tanzania Mimi nimekaa Kenya nimesoma Kenya naijua Kenya kuliko hata wewe unavoijua Tanzania , wewe umetembea mara moja Mimi nimekaa zaidi miaka sasa nani anapajua zaid
Umeaomea shule gani hio?
 
challenging authority is norm .
If Mama declared such a move , then that would be the law .
Please restrain yourself from quoting things democracy . You don’t qualify in that arena.
mnaweka lini tena mabango ya wale protesters?
 
Back
Top Bottom