Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Sasa si ndo maana mnazidi kuwa na burden sababu mnaifanya jamii yenu kutokuwa productive bali dependants wa serikali.
Si unaona kabisa mpaka welders kwenu wanatafuta kazi wakati hiyo pesa mngewakopesha wakanunua materials za kufanyia kazi na huko mbele ungeleta multiplier return / effects kwenye uchumi
Meza panga

Mukuru slum disappearing infront of our eyes.
Many of the residents are having tap water, consistent electricity, WIFI for the first time. First to implement piped gas to every unit. No need for gas cylinder for 15,000 units (close to 50,000 residents.)

Is there any estate with piped gas in Bongolala, Geuza? Geza Ulole


View: https://www.youtube.com/watch?v=C4ggBtmvDJ8


View: https://www.youtube.com/watch?v=NFQXJaodfmo
 
People in Northern Kenya are living is such harsh environment, poverty and hunger.
Save Northern Kenya
 
A post from 1 week ago

This is the situation in Nakinomet Village, Turkana North, Kenya. Families are so affected by hunger that some are surviving by eating Prosopis (Mathenge). No one should have to endure this. We appeal to the government, humanitarian organizations, and well-wishers to provide urgent food assistance and long-term support for these communities

End of Quote
 
Wajir Town, Northern Kenya. Such a shame for a place like this to exist in 2026
Screenshot_20260729-195206.png
 
We have different problems, na unasahau the results speak for themselves?
Kibera utaitafuta miaka saba hivi uikose.

Nyinyi endeleeni kujenga cone houses, sisi tutajengea slumdwellers their own highrise communities.
Wakenya wanaojiweza wataendelea kujisort kivyao.

All types of constructions are booming in Kenya.
Single houses ndio zinajengwa mingi kuliko ata apartments, but they're private and we don't post here.
Haya ujenge maelfu ya nyumba slums hazitapotea bila kupunguza watu kwenda .iji mingine kama wajir and the like ambako population yake ni ndogo.
Utajenga nyumba 100,000 ila kwa kipindi zinaisha watahamia watu 500,000 Nairobi na na miji mingine , watazaliwa watoto 2mil zaid ya nyumba ulizojenga .
Solution ilikuwa hiyo hela kujanga projects ambazo zingewatoa watu mijini kwenda occupy miji ambayo haina watu kama wajir Mandela and the like .
Shida .najenga vitu ili muonekane halafu at the end of day mnabaki maskini.
Tanzania Ina projects ya irrigation schemes zaid 20 karibia nchi nzima ,kuna usambazaji maji nchi nzima , sasa hivi watu hata kukimbilia dar na mwanza imekuwa nadra hence maendeleo yanaendelea kote
 
A post from 1 week ago

This is the situation in Nakinomet Village, Turkana North, Kenya. Families are so affected by hunger that some are surviving by eating Prosopis (Mathenge). No one should have to endure this. We appeal to the government, humanitarian organizations, and well-wishers to provide urgent food assistance and long-term support for these communities

End of Quote
View attachment 3639420
Halafu kuna mtu anajisifia kujenga nyumba badala kwenda kujenga bwawa la maji au uchimbaji visima kama ilivyo tz ( ruwasa) mji gani sasa hivi tz unashida ya maji kama yapo basi kuna matenki ya ruwasa kwa ajili ya kutoka jahazi
 
Haya ujenge maelfu ya nyumba slums hazitapotea bila kupunguza watu kwenda .iji mingine kama wajir and the like ambako population yake ni ndogo.
Utajenga nyumba 100,000 ila kwa kipindi zinaisha watahamia watu 500,000 Nairobi na na miji mingine , watazaliwa watoto 2mil zaid ya nyumba ulizojenga .
Solution ilikuwa hiyo hela kujanga projects ambazo zingewatoa watu mijini kwenda occupy miji ambayo haina watu kama wajir Mandela and the like .
Shida .najenga vitu ili muonekane halafu at the end of day mnabaki maskini.
Tanzania Ina projects ya irrigation schemes zaid 20 karibia nchi nzima ,kuna usambazaji maji nchi nzima , sasa hivi watu hata kukimbilia dar na mwanza imekuwa nadra hence maendeleo yanaendelea kote
Example zako ni za pastrolist regions?
Hao bado ni nomads. It's their culture and lifestyle, mpaka leo wengi hawana permanent home.

Lakini bado affordable housing inaendela kwa the towns in that region kwa wale wameamua kusettle down.
Hakuna town Kenya haina affordable housing project.


View: https://x.com/abuga_makori/status/2059106508244152752
 
Example zako ni za pastrolist regions?
Hao bado ni nomads. It's their culture and lifestyle, mpaka leo wengi hawana permanent home.

Lakini bado affordable housing inaendela kwa the towns in that region kwa wale wameamua kusettle down.
Hakuna town Kenya haina affordable housing project.


View: https://x.com/abuga_makori/status/2059106508244152752

Shinyanga, Dodoma , singida karatu ni mostly pastoralist society ila hawana shida kubwa ya maji sababu kuna mabwawa yamejengwa , imewasababisha kuacha tabia ya kuhamahama.
Hiyo sababu.
Pia elimu ya intensive rearing ingewasaidia kiuchumi kama ilivyofanyika tZ.
Nikukumbushe tu Tanzania Ina ng' ombe wengi na mifugo mingi kuliko Kenya ila hatuna shida ya uhamaji huo
 
Imagine eneo kama hili halina maji ila kuna mtu anajisifia affordable housing.
Hii mji hata buhigwe kasulu ya kigoma imepazidi🤣🤣🤣 . Halafu ndo makao makuu ya county
Huwezi amini Wajir town ina watu 180K, watu wengi kuliko Iringa, Bukoba, Mtwara na miji mingi tu Tanzania ila ndio pako hivyo 😂😂
 
😂😂 What's wrong with it?
It looks like Darslum, but only better planned because I can see grids and road provisions.
Typical Kenyan mindset. This explains a lot why places that look like hell still exist in Kenya.
 
Huwezi amini Wajir town ina watu 180K, watu wengi kuliko Iringa, Bukoba, Mtwara na miji mingi tu Tanzania ila ndio pako hivyo 😂😂
Hapa tunafananishe na buhigwe tu.
Nasikia kwenda huko inachukua siku mbili kipindi Cha mvua na less than 700km from nairobi
 
Uwe unaelewa nimekuambia kg moja Inaweza toa 2 plates ila kwenye hesabu yetu nimekuwekea kiwango Cha chini Cha 150 plates sababu kuna Kila mtu anakipimo chake ila hawez pima akakosa 150 plates . Mimi nimekuwekea minimum plates per sack sasa wewe Fanya hesabu zako.
Kwenye biashara hutakiwi kuweka the maximum bali chukua minimum Ile highest cost ya everything ili inapotpkea kuna variance isicheze mbali na uhalisia.
Na ndo maana hata plate price umewekewa 2000 tsh/ plate ila kuna ayeuza mpaka 3000 na kuna anayepima vipimo vidogo mpaka vya 500 tsh ila lazima itakuja kubalance zaid ya hiyo 2000tsh
Na hakuna sehem imetajwa gunia ya kg 200 bali kg 100 Tanzania hatupangi mazao kwa above 100 kgView attachment 3639336
Ebu nitafutie gunia moja la 200kg hapo🤣🤣🤣
You are a special case. Try to do some business maybe utapata akili.
 
Back
Top Bottom