Source fund of nyota fund ni mkopo kutoka world bank na serikali kuu
Versus Tanzania ambayo source of funds ni owns source revenue from councils hakuna mkopo kutoka popote ,
Nyinyi mnazid kuongeza deni wakati tz haipngezi deni ila inatengeneza ajira
View attachment 3639391View attachment 3639393
Umeona tofauti hapo.
Yaan unajisifia kumkopesha mtu 50,000 ambayo hawez hata kununua pilipiki ili afanyie biashara ? Hivi unajua tz kuna vikundi watu wanakopeshwa mpaka pilipiki au machinery kwa ajili ya production.
Hujioni kuwa wewe ni mjinga kulinganisha mikopo ya Tanzania ambayo Iko based on projects with projected impact tofauti na yenu ambayo inatamfanya aendelee kuwa maskini sababu haina hata mpango wowote wa kumsaidia raia