Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mnakopesha mkiwa mnatumia over 40% ya revenue yenu kulipa madeni, bila mikopo hata salary hamuwez lipa, ebu jaribuni mfanye kama tz kuwakopesha vijana , muone kama withini a year hamjadefault
Ni wewe tunakopa? 😂😂
Uganda inawapita tu mkisema Kenya inakopa. Bongolala nyinyi
 
1785341272155.png
 
Kenya pesa yetu ni mrefu. Sisi apana LDC. We can walk and chew gum.

Tunajenga na bado tunakopesha na kupatia vijana za biashara.
Nyinyi fanyeni pale uwezo wenu umefika.

Ata as usual, Kenya is offering 3 times more to its youth than Bongolala.
View attachment 3639381
Source fund of nyota fund ni mkopo kutoka world bank na serikali kuu
Versus Tanzania ambayo source of funds ni owns source revenue from councils hakuna mkopo kutoka popote ,
Nyinyi mnazid kuongeza deni wakati tz haipngezi deni ila inatengeneza ajira
Screenshot_20260729-190207~2.jpg
Screenshot_20260729-190046~2.jpg

Umeona tofauti hapo.

Yaan unajisifia kumkopesha mtu 50,000 ambayo hawez hata kununua pilipiki ili afanyie biashara ? Hivi unajua tz kuna vikundi watu wanakopeshwa mpaka pilipiki au machinery kwa ajili ya production.
Hujioni kuwa wewe ni mjinga kulinganisha mikopo ya Tanzania ambayo Iko based on projects with projected impact tofauti na yenu ambayo inatamfanya aendelee kuwa maskini sababu haina hata mpango wowote wa kumsaidia raia
 
Kumbe ni heri sisi tunajenga design tunazotaka. Mtaa mmoja unakuta nyumba zina design 50+ tofauti tofauti vile inafaa
Ata Nairobi unaweza jenga design yenye unataka.
There are just as many unregulated estates.
Lakini kama ni wewe umejipeleka to a gated community, unajenga chenye umepata.
 
It's a monthly tax kama any other tax.
Zote ni pesa zetu.
Sasa si ndo maana mnazidi kuwa na burden sababu mnaifanya jamii yenu kutokuwa productive bali dependants wa serikali.
Si unaona kabisa mpaka welders kwenu wanatafuta kazi wakati hiyo pesa mngewakopesha wakanunua materials za kufanyia kazi na huko mbele ungeleta multiplier return / effects kwenye uchumi
 
Source fund of nyota fund ni mkopo kutoka world bank na serikali kuu
Versus Tanzania ambayo source of funds ni owns source revenue from councils hakuna mkopo kutoka popote ,
Nyinyi mnazid kuongeza deni wakati tz haipngezi deni ila inatengeneza ajira View attachment 3639391View attachment 3639393
Umeona tofauti hapo.

Yaan unajisifia kumkopesha mtu 50,000 ambayo hawez hata kununua pilipiki ili afanyie biashara ? Hivi unajua tz kuna vikundi watu wanakopeshwa mpaka pilipiki au machinery kwa ajili ya production.
Hujioni kuwa wewe ni mjinga kulinganisha mikopo ya Tanzania ambayo Iko based on projects with projected impact tofauti na yenu ambayo inatamfanya aendelee kuwa maskini sababu haina hata mpango wowote wa kumsaidia raia

Tangu lini ukaskia World Bank ni bure? Pesa yetu ndio italipa, na World Bank tumewalipa miaka mingi haitakuwa mara ya kwanza.
Pesa ya GOK from all sources inaingia kikapu kimoja. Kutoka hapo it's disbursed to all programs in the budget.

Maybe ni mimi sielewe economy yenu ya madafu, lakini kupatia mtu $190 pesa ya bishara, ni kazi gani anaweza fanya other than kuuza makaa ama kunywa chang'aa?
Wewe unajishughulisha kuhusu Kenya ambayo tunapeana 3 times that.
 
Imetupita kivipi ? Kwakuwa na budget ambayo 70 % unategemea mikopo🤣🤣🤣🤣
Kwanza jiulize KRA na TRA zinaokota revenue ngapi annually.
Alafu utaona kwanini nyinyi LDC bongolala hamqualify kupewa loans kiwango fulani.

Ata muuzaji duka hupewa loan na benki kulingana na cashflow.
 
Tangu lini ukaskia World Bank ni bure? Pesa yetu ndio italipa, na World Bank tumewalipa miaka mingi haitakuwa mara ya kwanza.
Pesa ya GOK from all sources inaingia kikapu kimoja. Kutoka hapo it's disbursed to all programs in the budget.

Maybe ni mimi sielewe economy yenu ya madafu, lakini kupatia mtu $190 pesa ya bishara, ni kazi gani anaweza fanya other than kuuza makaa ama kunywa chang'aa?
Wewe unajishughulisha kuhusu Kenya ambayo tunapeana 3 times that.
Madame mbna unaenda kinyume na budget yenu while it clearly says its funded by loans in which 50% of it will be used to pay loans 😂😂
 
Back
Top Bottom