concordile 101
JF-Expert Member
- Oct 13, 2013
- 6,991
- 15,437
When did you pay Buda , unajua sisi ni Sheria kabisa na imekuwa operation for more than 10 years imagine 75mil usd *6 = 450mil usd wakati nyinyi mlikopa 225 mil only hapo bado kuongeza riba , mtakufa kwa madeni nyinyi kunguni.Tangu lini ukaskia World Bank ni bure? Pesa yetu ndio italipa, na World Bank tumewalipa miaka mingi haitakuwa mara ya kwanza.
Pesa ya GOK from all sources inaingia kikapu kimoja. Kutoka hapo it's disbursed to all programs in the budget.
Maybe ni mimi sielewe economy yenu ya madafu, lakini kupatia mtu $190 pesa ya bishara, ni kazi gani anaweza fanya other than kuuza makaa ama kunywa chang'aa?
Wewe unajishughulisha kuhusu Kenya ambayo tunapeana 3 times that.
Lini mmelipa mkopo wa nyota fund?