Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tangu lini ukaskia World Bank ni bure? Pesa yetu ndio italipa, na World Bank tumewalipa miaka mingi haitakuwa mara ya kwanza.
Pesa ya GOK from all sources inaingia kikapu kimoja. Kutoka hapo it's disbursed to all programs in the budget.

Maybe ni mimi sielewe economy yenu ya madafu, lakini kupatia mtu $190 pesa ya bishara, ni kazi gani anaweza fanya other than kuuza makaa ama kunywa chang'aa?
Wewe unajishughulisha kuhusu Kenya ambayo tunapeana 3 times that.
When did you pay Buda , unajua sisi ni Sheria kabisa na imekuwa operation for more than 10 years imagine 75mil usd *6 = 450mil usd wakati nyinyi mlikopa 225 mil only hapo bado kuongeza riba , mtakufa kwa madeni nyinyi kunguni.
Lini mmelipa mkopo wa nyota fund?
 
Tangu lini ukaskia World Bank ni bure? Pesa yetu ndio italipa, na World Bank tumewalipa miaka mingi haitakuwa mara ya kwanza.
Pesa ya GOK from all sources inaingia kikapu kimoja. Kutoka hapo it's disbursed to all programs in the budget.

Maybe ni mimi sielewe economy yenu ya madafu, lakini kupatia mtu $190 pesa ya bishara, ni kazi gani anaweza fanya other than kuuza makaa ama kunywa chang'aa?
Wewe unajishughulisha kuhusu Kenya ambayo tunapeana 3 times that.
Btw unaonekana mshamba sana, who told you World Bank wanapokea malipo kwa KSH 😂😂 your supposed to export and sell to earn it otherwise you do what kenya does best, Lend to pay a Loan
 
Screenshot_20260729-185351.png

We mwehu ako kadem ni kakunya,ila kila siku kiko.arusha,tanga,dar au znz
 
Tatizo Kenya wananchi wenu wengi wanakaa kwenye nyumba mbaya
Usidanganywe na Kibera.

One acre of slum residents wanatoshea 1 or 2 apartment blocks. That will be solved in 5 -10 years.
And many of those slums are on public land. So the slumlords build temporary mabati houses knowing they'll be demolished any time.

Nobody builds a cheap private home in Nairobi. Land prices do not allow.
Yes, people build ugly houses all the time, but they are ugly expensive houses.

"Nyumba mbaya" utapata slums ama huko rural areas.
 
Usidanganywe na Kibera.

One acre of slum residents wanatoshea 1 or 2 apartment blocks. That will be solved in 5 -10 years.
And many of those slums are on public land. So the slumlords build temporary mabati houses knowing they'll be demolished any time.

Nobody builds a cheap private home in Nairobi. Land prices do not allow.
Yes, people build ugly houses all the time, but they are ugly expensive houses.

"Nyumba mbaya" utapata slums ama huko rural areas.
Na hawa mtawajengea nyumba mpya
1785342660625.png
 
When did you pay Buda , unajua sisi ni Sheria kabisa na imekuwa operation for more than 10 years imagine 75mil usd *6 = 450mil usd wakati nyinyi mlikopa 225 mil only hapo bado kuongeza riba , mtakufa kwa madeni nyinyi kunguni.
Lini mmelipa mkopo wa nyota fund?
Hakuna kitu hu-originate Bongolala in this region.

Kenya tumekuwa na similar programs since Kibaki 2006. Niko 100% sure you copied us yet again.

Kibaki - Youth Enterprise Development Fund (YEDF) - Launched 2006
Uhuru - Uwezo Fund
- Kenya Youth Employment and Opportunities Project (KYEOP)
Ruto - NYOTA fund.

In short, every president just rebrands and tweaks a bit.
All of them offer individuals Ksh50,000 and groups/chamas 500,000
 
Zitakuwa pipeline nyingine
Na itakuwa mbaya maana uchafu utazidi sana , yaan slums mnazihamishia maghorofani sasa
Usidanganywe na Kibera.

One acre of slum residents wanatoshea 1 or 2 apartment blocks. That will be solved in 5 -10 years.
And many of those slums are on public land. So the slumlords build temporary mabati houses knowing they'll be demolished any time.

Nobody builds a cheap private home in Nairobi. Land prices do not allow.
Yes, people build ugly houses all the time, but they are ugly expensive houses.

"Nyumba mbaya" utapata slums ama huko rural areas.
 
Usidanganywe na Kibera.

One acre of slum residents wanatoshea 1 or 2 apartment blocks. That will be solved in 5 -10 years.
And many of those slums are on public land. So the slumlords build temporary mabati houses knowing they'll be demolished any time.

Nobody builds a cheap private home in Nairobi. Land prices do not allow.
Yes, people build ugly houses all the time, but they are ugly expensive houses.

"Nyumba mbaya" utapata slums ama huko rural areas.
Another problem
Sisi huku Watanzania wanajenga nyumba nzuri hata rural areas
Nyinyi kila siku ni Nairobi this Nairobi that
 
Sasa si ndo maana mnazidi kuwa na burden sababu mnaifanya jamii yenu kutokuwa productive bali dependants wa serikali.
Si unaona kabisa mpaka welders kwenu wanatafuta kazi wakati hiyo pesa mngewakopesha wakanunua materials za kufanyia kazi na huko mbele ungeleta multiplier return / effects kwenye uchumi
We have different problems, na unasahau the results speak for themselves?
Kibera utaitafuta miaka saba hivi uikose.

Nyinyi endeleeni kujenga cone houses, sisi tutajengea slumdwellers their own highrise communities.
Wakenya wanaojiweza wataendelea kujisort kivyao.

All types of constructions are booming in Kenya.
Single houses ndio zinajengwa mingi kuliko ata apartments, but they're private and we don't post here.
 
We have different problems, na unasahau the results speak for themselves?
Kibera utaitafuta miaka saba hivi uikose.

Nyinyi endeleeni kujenga cone houses, sisi tutajengea slumdwellers their own highrise communities.
Wakenya wanaojiweza wataendelea kujisort kivyao.

All types of constructions are booming in Kenya.
Single houses ndio zinajengwa mingi kuliko ata apartments, but they're private and we don't post here.
Majority of your people wanaishi kwenye mabanda
Ukienda huko Northern Kenya ndio huzuni kabisa 😂😂
 
Back
Top Bottom