Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kila mtu ananijua hapa JF sina tabia ya kubishana na vijaa. But kwa lengo la wasomaji ngoja niweze kuchambua ki undani zaidi.

Unataka umdanganye nani? Hii hapa tena nimewapendelea high quality ya Kilimani na kwa mbali kabisa juu huko tunaona CBD.
Kilimani too many Empty space

View attachment 3605312

This is Dar es salaam Part of West Upanga

View attachment 3605314
Bongolala ni Bongolala tu ..🤪🤪
 
Nashukuru sana ndugu IamLee kuiletea jamii picha ya kwanza ya 2009 na picha ya pili ya 2014. Tunashukuru kutukumbusha tulipotoka. Hakika Mungu ni mwema mwaka huu ni 2026 tumeshatoka huko na tumesahau. Lakini comment yako hii tulikuwa tumeisahau kuiweka kwenye jumba la makumbusho asante kwa kutuletea.

Ukiona zingine kama hizi zitume hapa nitazichukua na kuwakabidhi wataalam wa archive.

Kumbuka ukubwa wa Dar ni mara tatu ya ukubwa wa Nairobi. Na hapa ni eneo moja ambalo Nairobi inamezwa yote.

Sina wasi wasi na wewe IamLee wewe ni mwanafunzi mzuri nitaendelea kukufundisha kidogo kidogo kuhusu Dar ili ukawasimulie na wenzako hapo Kibera waache ushamba, watoke kidogo waje kutembea Tanzania.

View attachment 3605144

View attachment 3605145

View attachment 3605149
Kwa hivyo mliondoa ile BRT line ilikuwepo mkajenga haya maghorofa 😅😅
 
Huku kwetu majizi huwa yanajiuzia yenyewe kimya kimya. Gari nzuri kabisa mtu anajiuzia Tzs 3m. Nyingine wanazi abandon deliberately ili baadae wajiuzie.
Thank you for the transparency, mwenzako stakehigh anatupostia hapa a public auction kama kwamba ni kitu kigeni kwetu, different ministries and departments announce public open bids all the time.. kumbe umethibitisha kuwa ni kigeni kule kwenu..
IMG_0870.jpeg
IMG_0871.jpeg
 
hizi nyasi toka day one nlisema apa amna kitu, they dont look like top stadium grass! they look kama zile za ngombe zikiwa hazijamwagiliwa mda mrefu thats how they look
Nafikiri hapa kuna matatizo makubwa ya kifedha either zimepigwa na uwanja ni wa bei poa or something. Ngoja tuwape muda tuone.
 
Back
Top Bottom