Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kilimani is taller and bigger than this and it’s just one of many such neighborhoods in Nairobi … facts!
Kila mtu ananijua hapa JF sina tabia ya kubishana na vijaa. But kwa lengo la wasomaji ngoja niweze kuchambua ki undani zaidi.

Unataka umdanganye nani? Hii hapa tena nimewapendelea high quality ya Kilimani na kwa mbali kabisa juu huko tunaona CBD.
Kilimani too many Empty space

1781113105621.png


This is Dar es salaam Part of West Upanga

1781113431820.png
 
Tunakujua sana ..🤪…. Anyways, another day another opportunity for Bongo to eat of Kenya’s plate…🤣🤣
View attachment 3605287
picha za konza zikiwa na gorofa zaidi ya mbili huna ila screenshot za news unazo, btw nlikwambia uende ukamwagilie uwanja uleshauri yako, Si unajua after AFCON stadiums zenu zinakuaje? yasije yakawa tena yale evertone anacheza na mathare united mnakosa uwanja mnakuja tena tz, saaahv tushasema kila mtu kivyake


View: https://youtu.be/_H47OsVotYU
 
Kila mtu ananijua hapa JF sina tabia ya kubishana na vijaa. But kwa lengo la wasomaji ngoja niweze kuchambua ki undani zaidi.

Unataka umdanganye nani? Hii hapa tena nimewapendelea high quality ya Kilimani na kwa mbali kabisa juu huko tunaona CBD.
Kilimani too many Empty space

View attachment 3605312

This is Dar es salaam Part of West Upanga

View attachment 3605314
Kama kariakoo ingejengwa kwa kuachia nafasi kubwa kati ya Jengo jengo, idadi ya gorofa zilizopo kariakoo zinatoshana na CBD zao zote tatu combined.
 
Back
Top Bottom