Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 75,672
- 107,110
Kenya bhn😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Nyasi enye mnamwagilia kwa kindoo 😂😂👇🏾View attachment 3604550
Running track ileeeeeeee 🤣🤣🤣🤣🤣🤣Nyasi enye mnamwagilia kwa kindoo 😂😂👇🏾View attachment 3604550
Najua ndugu zetu Teargass mwaiofhawaii Nicxie nairobae nyangau mkenya kennedy0000 NairobiWalker hili jambo haliwahusu, lakini ni muhimu mkajua.
Bagamoyo Special Economic Zone is real, ngoja niwaambie uwekezaji unaoendelea kwa sasa na ujenzi unaenda kwa kasi sana.
1. SINOVEST kutoka China inajenga mradi wa viwanda wenye thamani ya Dola za Marekani milioni 10 (Kiwanda cha nguo na kutumia pamba kutoka hapa nchini)
2. kampuni ya HWTZ, tanzu ya HONGWANG Group ya China ( inaendelea na ujenzi wa Eneo la Viwanda la Kisasa lenye ukubwa wa hekta 500 ndani ya mradi wa Bagamoyo Eco Marine City (BEMC)), Mradi huu wenye thamani ya dola za Marekani bilioni 1.5 unatarajiwa kuvutia uwekezaji wa jumla wa zaidi ya dola za Marekani bilioni 3 kutoka kwa zaidi ya kampuni na wawekezaji 150 watakaofanya shughuli zao ndani ya eneo hilo. Aidha, unatarajiwa kuzalisha zaidi ya ajira 5,000 za moja kwa moja kwa vijana wa Tanzania.
3. Ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo - Africa Global Logistics (AGL) Tanzania Ltd inayomilikiwa na MSC ndiyo inayofanya Ujenzi na uendeshaji wa gati mpya tatu kubwa lengo ni kuwa na gati 28
View attachment 3604804
View attachment 3604806
View attachment 3604810
Kama kawaida wako nyuma kama matako.We're building a bigger SEZ in Naivasha. 6000 acres.
20 investors on site. 1 already operational.
Whatever bongolala is doing, Kenya started it years ago. Whatever bongolala has, Kenya has more 😂
Mhhh! Kuna dalili ya upigaji hpa🤔Haitajengwa
Bakuli seats
Haina Var
Affordable stadium
Nyasi haitamea...
View attachment 3604675View attachment 3604676View attachment 3604677
Watu hapa jukwaani wanakucheka chini chini. Na nimekutana na mkenya chooni anakucheka.We're building a bigger SEZ in Naivasha. 6000 acres.
20 investors on site. 1 already operational.
Whatever bongolala is doing, Kenya started it years ago. Whatever bongolala has, Kenya has more 😂
Teargass and Nicxie mtatupa mrejesho asubui mauzo yameendaje, make sure unakuja na records kamili ili tujue budget ya dawa mwaka huu itakua kiasi gan kutokana na mauzo ya mashuka
View: https://x.com/Kenyans/status/2064208605562249701?s=20
Develop 10 acres first before mentioning 22,000.Watu hapa jukwaani wanakucheka chini chini. Na nimekutana na mkenya chooni anakucheka.
Wewe unaongelea 6,000 acres wakati Bagamoyo SEZ (Tanzania) ni 22,239 Acres, ipo direct kwenye port of Mbegani Deep-Sea Port na inaendelea kujengwa sasa, Investment ya port hiyo ni $2.1 Billion USD
Total project master plan ya Naivasha SEZ ni $1.5 Billion wakati Bagamoyo Special Economic Zone ni $10 Billion+
Hii inadhihirisha kuwa wakenya mnakurupuka kujibu badala ya kufanya kwanza reseach na uje hapa ujibu kwa heshima. But pole maana tatizo siyo lako ni la wakoloni namna walivyobeba akili yenu na kuifungia kwenye makubusho huko ulaya.
Njoo ni muwaone hawa wakenya wanajazana ujinga. Mpaka kenya itakapopaka ukombozi wa chakula ndipo watu wake watapoanza kufikiria kwa kutumia akili. But kwa sasa watu wote wa kenya wanafikiria kwa kutumia tumbo.Kama kawaida wako nyuma kama matako.
Being pro communist perhaps they focus all their attention on communist history onlyBongolalas know nothing about history and governance, shida kuwachia shule class 6. 😂 😂 😂
Kama nilvyosema bwana kennedy0000 uwezo wako mdogo wa kufikiri unakufanya ujichape risasi miguuni. Nakusihii urudi darasani ujifunze masuala ya uchumi na siasa itakusaidia sana utapoikuwa mtu mzima.Develop 10 acres first before mentioning 22,000.
From your 2013 masterplan, you've only gotten one investor. 😂😂
You remove the port and you're left with 3000 acres of undeveloped Bagamoyo SEZ pipe dream. 😂😂
View attachment 3604940
Yani kutype hizi paragraphs zote badala ta kupost picha latest ya hio area.Sasa vitu vidogo tu hivi vya kujua BRT ilianza lini Tanzania vimekushinda discussions nzito utaziweza?
Kwa lengo la kuweka taarifa sawa kwa wasomaji BRT ilianza 2012, hadi leo 2026 ni miaka zaidi ya 14.
Picha iliyowekwa na hawa wenzetu ni ya 2014 kipindi cha Kikwete.
But tunawashukuru kwa TBT, Gen-Z watapata kujifunza.
But hii yote ya kujizungusha ni kuhusu picha moja ya drone ya Nairobi watu wote humu wanaisubiri.
Je, hutaki kuileta? Au ni ile tabia yenu ya mwezi mchanga?
Konza city EPZ.Kwanza kabla ya kuongelea Bagamoyo Special Economic Zone tuambie kuhusu Konza City ambayo ilianzishwa mwaka 2008. Sasa hivi tunakimbilia mwaka wa 20 bado wimbo ni uleule.