Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Naona umepeperusha hii news sana I don’t know what you think it means.. huko bongo serikali haifanyangi auctions? Auctions huku ni kila mwaka kilaza.
Sijui hata kama umefungua hio article angalau ujue unachopost hapa daily?

Manze vitu kama hivi vinafanya nigundue Kumbe shule ni muhimu kweli..
View attachment 3604943
Huku kwetu majizi huwa yanajiuzia yenyewe kimya kimya. Gari nzuri kabisa mtu anajiuzia Tzs 3m. Nyingine wanazi abandon deliberately ili baadae wajiuzie.
 
unajua kuna mambo mengine bana 🤣 🤣 🤣 shida ni nn? maji hakuna au?
1781100068321.png
 
Back
Top Bottom