Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Leo ninataka tuongee in details kuhusu bajeti ya hizi nchi mbili TANZANIA (TZS TRILIONI 62.3) vs KENYA (KSh TRILIONI 4.82) ni ipi bajeti itabaki ndani ya nchi na kuzunguka kwa watu wake na kuongeza ukwasi na maendeleo ya mtu mmoja mmoja?

Hii ni serious discusion yenye lengo la kujua na kutoa elimu ili tunapoendelea na mjadala huu watu wajue.

1. TUANGALIE KILA NCHI KIASI GANI KINABADILISHWA KUWA DOLA AU PESA NYINGINE NA KWENDA NJE​

TANZANIA(Dola Bilioni 7.1 = TZS Trilioni 18.6)
KENYA (Dola Bilioni 11.5 = KSh Trilioni 1.52)
TANZANIA
Uzalishaji ($5.4 Billion) - Kulipia manunuzi ya vifaa na mafuta toka nje ya nchi.
Deni la Nje ($1.7 Billion) - Zitatumika kwaajili ya malipo ya Deni la Taifa

Kenya
Deni la Taifa($8.5 Billion) - Zitatumika kulipia deni la Taifa
Uzalishaji ($3.0 Billion) - Kulipia manunuzi ya vifaa na mafuta toka nje ya nchi.

NB: Mpaka hapo tumeona namna ya matumizi ya pesa za kigeni zinavyotumiwa na nchi hizi mbili. Ili nisiwachoshe katika hili Comment inayofuata nitaongelea sasa pesa inayobaki ambayo haibadilishwi kwenda pesa ya kigeni inafanya nini ndani ya nchi

Teargass mwaiofhawaii IamLee nyangau mkenya nairobae nairobae Nicxie
REAL Comrade Kipepe The best 007 stakehigh Geza Ulole NairobiWalker RRONDO Magonjwa Mtambuka Traveller D Apeche alolo kennedy0000 ChoiceVariable chongchung Chill Kifaru254 Lemzy mwathadan BlietzKrieg AMARII babayao255 ndughuri msuya NDINDA concordile 101 Reborn Ktb The Icebreaker Mgagaa na Upwa game over Mpwimbe Filaria Na wengine ambao sijawa taga
 

2. NAMNA PESA INAYOBAKI NDANI INAFANYA KAZI ZA MAENDELEO

TANZANIA: TZS Trilioni 57.6
KENYA: KSh Trilioni 3.32

Hizi pesa ndizo zitakazobaki ndani ya chi katika kulipa mishahara, kutoa posho, kulipa madeni ya ndani na kuhudumia kazi za maendeleo. Hizi pesa hazibadilishwi kwenda kwenye pesa za kigeni ni pesa. Kama ni Tsh inabaki hivyo hivyo na kama ni Ksh inabaki hivyo hivyo.

UCHAMBUZI KUHUSU TANZANIA
Madeni ya ndani
- TZS Trilioni 5.3 (Hizi ndizo zinazoenda kulipa madeni ya ndani kwenye mabenki na mifuko ya jamii)
Mishahara, Posho na Miradi ya Maendeleo - TZS Trilioni 52.3 (inaingia moja kwa moja mitaani ambapo inagawanyika kulipa mishahara ya watumishi; walimu, madaktari, polisi na kugharamia miradi ya maendeleo -ujenzi wa shule, zahanati, barabara, na ununuzi wa saruji - nondo nk.
Kutokana na pesa hizi ukwasi wa mtu mmoja mmoja unakua.

UCHAMBUZI KUHUSU KENYA
Madeni ya ndani -
KSh Trilioni 1.05 (Hii ni theluthi moja kamili ya fedha zote za ndani inayenda kulipa riba ya madeni kwenye mabenki makubwa ya Kenya)

Mishahara na Posho (Matumizi ya Kiofisi) - KSh Trilioni 2.27 (Fedha hizi zote zinaishia kulipa mishahara ya watendaji wa serikali kuu na kaunti pamoja na uendeshaji wa ofisi kama safari na mafuta).

Miradi ya Maendeleo - KSh 0 (Kulingana na maelezo haya, hakuna fedha ya kutosha ya ndani inayobaki kwenda kwenye miradi mipya ya maendeleo nchini Kenya baada ya kulipa madeni na mishahara)

Naomba nisiwachoshe sana na maelezo haya. Next comment nitakuja sasa kuonesha na kuelezea kwanini exchange rate ya Tanzania inapanda dhidi ya dolla huku ya kenya inapanda kidogo kidogo. Kaa makao wa kula

Teargass mwaiofhawaii IamLee nyangau mkenya nairobae nairobae Nicxie
REAL Comrade Kipepe The best 007 stakehigh Geza Ulole NairobiWalker RRONDO Magonjwa Mtambuka Traveller D Apeche alolo kennedy0000 ChoiceVariable chongchung Chill Kifaru254 Lemzy mwathadan BlietzKrieg AMARII babayao255 ndughuri msuya NDINDA concordile 101 Reborn Ktb The Icebreaker Mgagaa na Upwa game over Mpwimbe Filaria Na wengine ambao sijawa taga
 

2. NAMNA PESA INAYOBAKI NDANI INAFANYA KAZI ZA MAENDELEO

TANZANIA: TZS Trilioni 57.6
KENYA: KSh Trilioni 3.32

Hizi pesa ndizo zitakazobaki ndani ya chi katika kulipa mishahara, kutoa posho, kulipa madeni ya ndani na kuhudumia kazi za maendeleo. Hizi pesa hazibadilishwi kwenda kwenye pesa za kigeni ni pesa. Kama ni Tsh inabaki hivyo hivyo na kama ni Ksh inabaki hivyo hivyo.

UCHAMBUZI KUHUSU TANZANIA
Madeni ya ndani
- TZS Trilioni 5.3 (Hizi ndizo zinazoenda kulipa madeni ya ndani kwenye mabenki na mifuko ya jamii)
Mishahara, Posho na Miradi ya Maendeleo - TZS Trilioni 52.3 (inaingia moja kwa moja mitaani ambapo inagawanyika kulipa mishahara ya watumishi; walimu, madaktari, polisi na kugharamia miradi ya maendeleo -ujenzi wa shule, zahanati, barabara, na ununuzi wa saruji - nondo nk.
Kutokana na pesa hizi ukwasi wa mtu mmoja mmoja unakua.

UCHAMBUZI KUHUSU KENYA
Madeni ya ndani -
KSh Trilioni 1.05 (Hii ni theluthi moja kamili ya fedha zote za ndani inayenda kulipa riba ya madeni kwenye mabenki makubwa ya Kenya)

Mishahara na Posho (Matumizi ya Kiofisi) - KSh Trilioni 2.27 (Fedha hizi zote zinaishia kulipa mishahara ya watendaji wa serikali kuu na kaunti pamoja na uendeshaji wa ofisi kama safari na mafuta).

Miradi ya Maendeleo - KSh 0 (Kulingana na maelezo haya, hakuna fedha ya kutosha ya ndani inayobaki kwenda kwenye miradi mipya ya maendeleo nchini Kenya baada ya kulipa madeni na mishahara)

Naomba nisiwachoshe sana na maelezo haya. Next comment nitakuja sasa kuonesha na kuelezea kwanini exchange rate ya Tanzania inapanda dhidi ya dolla huku ya kenya inapanda kidogo kidogo. Kaa makao wa kula

Teargass mwaiofhawaii IamLee nyangau mkenya nairobae nairobae Nicxie
REAL Comrade Kipepe The best 007 stakehigh Geza Ulole NairobiWalker RRONDO Magonjwa Mtambuka Traveller D Apeche alolo kennedy0000 ChoiceVariable chongchung Chill Kifaru254 Lemzy mwathadan BlietzKrieg AMARII babayao255 ndughuri msuya NDINDA concordile 101 Reborn Ktb The Icebreaker Mgagaa na Upwa game over Mpwimbe Filaria Na wengine ambao sijawa taga
Nchi ikishafika sehemu inakopa ili ilipe mishahara, inakopa ili ilipe mikopo ujue hakuna nchi hapo, kunyaland ni failed state. 😂😂😂
 
Tunaendelea.....
KWANINI EXCHANGE RATE DHIDI YA DOLA TANZANIA INAPANDA NA HUKO KENYA HAIPANDI SANA - HAYA NI MAMBO YA KISOMI.
Mienendo ya viwango vya kubadilishia fedha kati ya nchi hizi mbili dhidi ya Dola inatawaliwa na kanuni za ugavi na mahitaji (Supply and Demand). Hii ni kanuni ya Uchumi watu wengi wanaijua.

TANZANIA;
Kiwango cha ubadilishaji cha Tanzania kinapanda siku hadi siku (kuhitaji Shilingi nyingi zaidi kununua Dola moja) kwa sababu kuna mahitaji makubwa sana ya Dola sokoni.

Serikali and wakandarasi wanatafuta Dola kila siku kwa ajili ya kuagiza vifaa vya ujenzi wa SGR na gridi ya taifa. Hata hivyo, kushuka huku kwa Shilingi ni kwa kimkakati na kwa utaratibu (Orderly Depreciation) kwa sababu Benki Kuu ya Tanzania (BoT) ina akiba kubwa ya Dola (zaidi ya $5.3 Billion) inayotumika kutuliza soko pale linapozidiwa.

KENYA
Kiwango cha ubadilishaji cha Kenya kimesimama au hakipandi kila siku si kwa sababu uchumi wao una nguvu ya uzalishaji, bali ni kutokana na mbinu za ulinzi za dharura (Defensive Mechanics).

IMF na Benki ya Dunia:- Kenya imepokea mikopo mikubwa ya mabilioni ya Dola hivi karibuni kwenda kuinusuru isifilisike. Dola hizi zimeingizwa kwenye Benki Kuu (CBK) na zinatumiwa kwa nguvu kusukuma soko ili shillingi isishuke.
Riba Kubwa za Ndani:- CBK imepandisha viwango vya riba vya mikopo hadi juu sana ili kuzuia wafanyabiashara wa ndani kukopa Shilingi na kununua Dola. Hii imesimamisha uagizaji wa bidhaa nje, hivyo mahitaji ya Dola yameshuka kwa nguvu (Artificial Stability).

NB: Kwenye uchumi Kanuni ya Supply and Demand inasema kuwa bei hupanda pale mahitaji yanapokuwa makubwa kuliko ugavi, na bei hushuka pale ugavi unapokuwa mkubwa kuliko mahitaji. Kwa kifupi, bei ya bidhaa huamuliwa na uwiano kati ya kile watu wanachotaka kununua na kile kinachopatikana sokoni.

Nitaendelea next comment kueleza kuhusu local purchasing power kutokana na pesa hizi zinazobaki kwa wananchi na tuone ni wananchi wa nchi ipi wenye maisha bora na kwanini. Usicheze mbali ninakuja...

Teargass mwaiofhawaii IamLee nyangau mkenya nairobae nairobae Nicxie
REAL Comrade Kipepe The best 007 stakehigh Geza Ulole NairobiWalker RRONDO Magonjwa Mtambuka Traveller D Apeche alolo kennedy0000 ChoiceVariable chongchung Chill Kifaru254 Lemzy mwathadan BlietzKrieg AMARII babayao255 ndughuri msuya NDINDA concordile 101 Reborn Ktb The Icebreaker Mgagaa na Upwa game over Mpwimbe Filaria
 
Kabla hatujaendelea na kile nilicho ahidi ngoja tuongelee hiki kitu ili muelewe zaidi kuhusu namna Riba katika nchi hizi Tanzania na Kenya inavyo athiri mahitaji ya Dola

NAMNA CENTRAL BANK RATE (CBR) KATI YA TANZANIA NA KENYA ILIVYOWEKWA
Central Bank Rate (CBR)
ni kiwango cha riba kinachowekwa na Benki Kuu ili kuelekeza gharama ya fedha katika uchumi. CBR inapoongezwa, mikopo kutoka benki za biashara huwa ghali zaidi, jambo linalosaidia kupunguza matumizi na kudhibiti mfumuko wa bei. CBR inapopunguzwa, mikopo huwa nafuu zaidi, hivyo kuchochea uwekezaji, biashara, na ukuaji wa uchumi. Kwa hiyo, CBR ni moja ya zana kuu zinazotumiwa na Benki Kuu kusimamia mzunguko wa fedha na utulivu wa uchumi.

TANZANIA: 5.75%
Tanzania ina CBR ya chini kwa sababu mazingira yake ya uchumi yamekuwa na mfumuko wa bei wa chini na thabiti, hivyo Benki Kuu ya Tanzania haihitaji kuongeza riba kwa kiwango kikubwa ili kudhibiti bei.

KENYA: 13%(2024) - 12% kwa sasa
Kenya ilipandisha Central Bank Rate (CBR) hadi viwango vya juu (kama 13% mwaka 2024) kwa sababu uchumi wake ulikuwa unakabiliwa na shinikizo kali la mfumuko wa bei na kushuka kwa thamani ya shilingi ya Kenya.

Kwa maana hiyo ukopaji wa pesa kwaajili ya mitaji ndani ya kenya ni mgumu mno.
NB: Benki Kuu ya Kenya (CBK) chini ya Gavana Kamau Thugge ilipandisha kiwango cha riba cha msingi (Central Bank Rate CBR) kwa viwango vikubwa hadi kufikia 13%. Lengo halisi la sera hii ya kubana ukwasi (monetary tightening) lilikuwa ni kufanya ukopaji wa Shilingi ya Kenya uwe ghali, ili kuzuia watu kuchukua mikopo ya KSh na kwenda kununua au kuhodhi Dola, jambo ambalo lilizima presha sokoni.

Nilikuwa nataka niweke maelezo haya ya msingi kwanza ili kipengele kinachokuja kwenye comment yangu kiweze kueleweka vizuri zaidi.

Teargass mwaiofhawaii IamLee nyangau mkenya nairobae nairobae Nicxie
REAL Comrade Kipepe The best 007 stakehigh Geza Ulole NairobiWalker RRONDO Magonjwa Mtambuka Traveller D Apeche alolo kennedy0000 ChoiceVariable chongchung Chill Kifaru254 Lemzy mwathadan BlietzKrieg AMARII babayao255 ndughuri msuya NDINDA concordile 101 Reborn Ktb The Icebreaker Mgagaa na Upwa game over Mpwimbe Filaria
 
Mnajifanyanga waastaarabu kumbe ni authoritarianism. Yani mnamezea mate ila mnaogoba risasi maanake huko kwenu polisi kupiga raia risasi ni kitu cha kawaida. 🤣 🤣
Sasa hauoni kwamba hiyo ni moja ya level ya kudumisha ustaarabu, ingekuwa Kenya hapo hata dereva angeweza uwawa ili mradi tu watu waibe
 
TATHMINI - NI NCHI GANI WANANCHI WAKE WANAKUWA NA MAISHA MAZURI NA KWANINI?
Niliweka maelezo hayo ya awali ya kisomi ili kila mtu aweze kujua kwa undani zaidi kuliko kuongelea vitu juu juu tu. Tumeona namna pesa za bajeti za nchi hizi mbili zinavyobaki ndani. Na tumeona ni pesa kiasi gani katika kila nchi inaingia kwenye mzunguko na wananchi wake wanapata ukwasi.

Tumeongelea CBR inavyoweza kuathiri biashara za ndani na kukuza au kuua wafanyabiashara tofauti. Na hii inaweza kukupatia picha namna biashara kubwa za kenya zinavyokufa na kuchukuliwa na watanzania.

Sasa twende kwenye hoja ya msingi ambayo inagusa mwananchi mmoja mmoja. Tunaongelea Local purchasing power.

Local purchasing power ni uwezo wa wananchi ndani ya nchi kununua bidhaa na huduma kwa kutumia kipato chao cha ndani, ukizingatia kiwango cha bei kilichopo katika soko hilo. Inapokuwa juu, maana yake ni kwamba watu wanaweza kununua vitu zaidi kwa kipato kilekile kwa sababu bei ziko nafuu au mapato ni ya kuridhisha. Inaposhuka, watu wanapata ugumu kununua bidhaa na huduma kwa sababu gharama za maisha zimepanda au thamani ya fedha yao imepungua kutokana na mfumuko wa bei au kushuka kwa thamani ya sarafu.

Maisha mazuri ya mwananchi wa kawaida hayaji kwa sababu nchi yake ina soko kubwa la hisa au makao makuu ya mashirika ya kigeni; yanakuja kwa sababu ya mambo makuu matatu yanayogusa mfuko na meza ya chakula kila siku:-

A. Affordability (Nafuu ya Gharama za Maisha)
Mwananchi wa Tanzania anapata maisha mazuri kwa sababu kila Shilingi anayoingiza inasalia na nguvu kubwa ya ununuzi kutokana na udhibiti wa mfumuko wa bei (4.2%). Gharama za chakula, kodi za nyumba, na nishati ya ndani ziko chini kwa sababu bajeti ya nchi imewekeza kwenye mifumo ya uzalishaji (kama umeme wa uhakika na usafirishaji wa SGR).

Kenya, kwa sasa mfumuko wa bei wa 6.7% unatafuna kipato cha mwananchi; unga, umeme, na usafiri viko juu sana na kumfanya mwananchi ashindwe kumudu maisha hata kama ana kipato kikubwa. Na ikumbukwe Kwa sababu CBR ipo juu 12%, Benki za biashara zinaweka riba ya mikopo 20% - 24%, wafanyabiashara inwakuwa ngumu kukopa kwenye benki zao za ndani.

B. Liquidity Distribution (Pesa Kuwepo Mitaani)
Ubora wa maisha unamaanisha mwananchi kuwa na uwezo wa kufanya biashara na kupata wateja. Nchini Tanzania, kwa sababu kiasi kikubwa cha bajeti (TZS Trilioni 52.3) kimefunguliwa kubaki ndani kama Shilingi na kusukumwa kwenye ujenzi na miradi ya kijamii, kuna mzunguko mkubwa wa fedha mitaani (Cash Velocity). Pesa inatembea kutoka serikalini kwenda kwa wakandarasi, vibarua, hadi kwa mama lishe na wakulima.

Kenya, kwa sababu theluthi moja ya fedha inatokomea nje kulipa madeni na nyingine inaenda kulisha mabenki ya ndani, mitaani kuna ukata mkubwa na mzunguko wa biashara umekauka (Grounded Liquidity). Ndio maana utakuta vijana wa kenya wanafanya maandamano kila kukicha. Unakuta Jaji mkuu mstaafu wa Kenya aliyekamatwa ni David Maraga kwa heshima zake za kulitumikia taifa anaandamana na kupigwa virungu na polisi.

C. Fiscal Peace (Amani ya Kiakili dhidi ya Kodi)
Muundo wa bajeti ya Tanzania hauna presha ya kulipa madeni makubwa ya nje ya kibiashara, hivyo serikali inajenga mifumo ya kodi rafiki na ya utulivu ili kurasimisha biashara.

Kenya, kwa sababu ya kulazimika kupata Dola Bilioni 11.5 za kupeleka nje, serikali inalazimika kuwafuata wananchi wake hadi majumbani na kwenye biashara zao kwa kodi mpya, za ghafula na kali (Finance Bills na Housing Levy). Hali hii inamnyima Mkenya wa kawaida fedha ya ziada ya matumizi (Disposable Income) na kumtengenezea msongo mkubwa wa mawazo kila siku.

Wakati Mkenya wa kawaida akitumia jasho lake kubeba mzigo wa kusafisha madeni ya nyuma ya taifa lake (Debt Burden Bearing Phase), Mtanzania anafurahia bajeti inayorudisha kodi yake mitaani kukuza ajira na kushusha gharama za maisha (Capital Harvest Phase). Hii ndiyo sababu ya msingi kabisa inayomfanya mwananchi wa Tanzania kuwa na maisha mazuri na bora zaidi.

Nawakaribisha sasa tujadiliane kwa staha na ukweli na siyo propaganda. Nipotayari kutoa ufafanuzi wa kina kwa kwa chochote kutokana na context hii.

Asanteni kwa kunisikiliza
KARIBUNI

Teargass mwaiofhawaii IamLee nyangau mkenya nairobae nairobae Nicxie
REAL Comrade Kipepe The best 007 stakehigh Geza Ulole NairobiWalker RRONDO Magonjwa Mtambuka Traveller D Apeche alolo kennedy0000 ChoiceVariable chongchung Chill Kifaru254 Lemzy mwathadan BlietzKrieg AMARII babayao255 ndughuri msuya NDINDA concordile 101 Reborn Ktb The Icebreaker Mgagaa na Upwa game over Mpwimbe Filaria
 
Leo ninataka tuongee in details kuhusu bajeti ya hizi nchi mbili TANZANIA (TZS TRILIONI 62.3) vs KENYA (KSh TRILIONI 4.82) ni ipi bajeti itabaki ndani ya nchi na kuzunguka kwa watu wake na kuongeza ukwasi na maendeleo ya mtu mmoja mmoja?

Hii ni serious discusion yenye lengo la kujua na kutoa elimu ili tunapoendelea na mjadala huu watu wajue.

1. TUANGALIE KILA NCHI KIASI GANI KINABADILISHWA KUWA DOLA AU PESA NYINGINE NA KWENDA NJE​

TANZANIA(Dola Bilioni 7.1 = TZS Trilioni 18.6)
KENYA (Dola Bilioni 11.5 = KSh Trilioni 1.52)
TANZANIA
Uzalishaji ($5.4 Billion) - Kulipia manunuzi ya vifaa na mafuta toka nje ya nchi.
Deni la Nje ($1.7 Billion) - Zitatumika kwaajili ya malipo ya Deni la Taifa

Kenya
Deni la Taifa($8.5 Billion) - Zitatumika kulipia deni la Taifa
Uzalishaji ($3.0 Billion) - Kulipia manunuzi ya vifaa na mafuta toka nje ya nchi.

NB: Mpaka hapo tumeona namna ya matumizi ya pesa za kigeni zinavyotumiwa na nchi hizi mbili. Ili nisiwachoshe katika hili Comment inayofuata nitaongelea sasa pesa inayobaki ambayo haibadilishwi kwenda pesa ya kigeni inafanya nini ndani ya nchi

Teargass mwaiofhawaii IamLee nyangau mkenya nairobae nairobae Nicxie
REAL Comrade Kipepe The best 007 stakehigh Geza Ulole NairobiWalker RRONDO Magonjwa Mtambuka Traveller D Apeche alolo kennedy0000 ChoiceVariable chongchung Chill Kifaru254 Lemzy mwathadan BlietzKrieg AMARII babayao255 ndughuri msuya NDINDA concordile 101 Reborn Ktb The Icebreaker Mgagaa na Upwa game over Mpwimbe Filaria Na wengine ambao sijawa taga
Some things to add
1) Reserves dont actually mean collected money, but it means kila nchi ina kikomo cha pesa gan za kigeni ziwepo kwenye mabenki ya biashara, it depends na nchi ina idadi ya watu kiasi gan na how much is the daily volume in standard kwa kila siku mojando unapata threshold ya kiasi gan kiwepo kwenye mabenki ya biashara, anything above that is treated as national reserve and all banks are forced to usue the central bank to offload them

2) A country must have a balanced portfolio of imports and exports, too much exports leads to inflation, means central bank has to print more money to fund them in locla currency
also too low turns to be a deficit, a country has to take loans to fund the imports
A perfect balance is the place to be, meaning you earn exports and they match exactly whats going on inside the nation

Having said so:
Tanzania is the only nation in the region with a BALANCED SHEET, a small deficit started appearing because of the projects ongoing

Kenya is the worst with the biggest deficit in countries below the sahara desert
 
Tunaendelea.....
KWANINI EXCHANGE RATE DHIDI YA DOLA TANZANIA INAPANDA NA HUKO KENYA HAIPANDI SANA - HAYA NI MAMBO YA KISOMI.
Mienendo ya viwango vya kubadilishia fedha kati ya nchi hizi mbili dhidi ya Dola inatawaliwa na kanuni za ugavi na mahitaji (Supply and Demand). Hii ni kanuni ya Uchumi watu wengi wanaijua.

TANZANIA;
Kiwango cha ubadilishaji cha Tanzania kinapanda siku hadi siku (kuhitaji Shilingi nyingi zaidi kununua Dola moja) kwa sababu kuna mahitaji makubwa sana ya Dola sokoni.

Serikali and wakandarasi wanatafuta Dola kila siku kwa ajili ya kuagiza vifaa vya ujenzi wa SGR na gridi ya taifa. Hata hivyo, kushuka huku kwa Shilingi ni kwa kimkakati na kwa utaratibu (Orderly Depreciation) kwa sababu Benki Kuu ya Tanzania (BoT) ina akiba kubwa ya Dola (zaidi ya $5.3 Billion) inayotumika kutuliza soko pale linapozidiwa.

KENYA
Kiwango cha ubadilishaji cha Kenya kimesimama au hakipandi kila siku si kwa sababu uchumi wao una nguvu ya uzalishaji, bali ni kutokana na mbinu za ulinzi za dharura (Defensive Mechanics).

IMF na Benki ya Dunia:- Kenya imepokea mikopo mikubwa ya mabilioni ya Dola hivi karibuni kwenda kuinusuru isifilisike. Dola hizi zimeingizwa kwenye Benki Kuu (CBK) na zinatumiwa kwa nguvu kusukuma soko ili shillingi isishuke.
Riba Kubwa za Ndani:- CBK imepandisha viwango vya riba vya mikopo hadi juu sana ili kuzuia wafanyabiashara wa ndani kukopa Shilingi na kununua Dola. Hii imesimamisha uagizaji wa bidhaa nje, hivyo mahitaji ya Dola yameshuka kwa nguvu (Artificial Stability).

NB: Kwenye uchumi Kanuni ya Supply and Demand inasema kuwa bei hupanda pale mahitaji yanapokuwa makubwa kuliko ugavi, na bei hushuka pale ugavi unapokuwa mkubwa kuliko mahitaji. Kwa kifupi, bei ya bidhaa huamuliwa na uwiano kati ya kile watu wanachotaka kununua na kile kinachopatikana sokoni.

Nitaendelea next comment kueleza kuhusu local purchasing power kutokana na pesa hizi zinazobaki kwa wananchi na tuone ni wananchi wa nchi ipi wenye maisha bora na kwanini. Usicheze mbali ninakuja...

Teargass mwaiofhawaii IamLee nyangau mkenya nairobae nairobae Nicxie
REAL Comrade Kipepe The best 007 stakehigh Geza Ulole NairobiWalker RRONDO Magonjwa Mtambuka Traveller D Apeche alolo kennedy0000 ChoiceVariable chongchung Chill Kifaru254 Lemzy mwathadan BlietzKrieg AMARII babayao255 ndughuri msuya NDINDA concordile 101 Reborn Ktb The Icebreaker Mgagaa na Upwa game over Mpwimbe Filaria
WRONG
Exchange rate is an AGREED price BY the banks not for the economy but for the BANKS to do an agreed exchange transaction with you, haina uhusiano na uchumi, its called EXCHANGE RATE


Exchange rates are highly influenced by exports, the more you export the less your currency becomes valuable because it becomes cheap for other nations to buy things from your country! However this value is purely manually and has nothing to do with the economy, some notable countries such as china, annually devalue their currency so as to ensure the exports are always matching the global economy
 
Back
Top Bottom