Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

E(xport) P(rocessing) Z(ones) are for export you lowly watchman. Rudi shule.
And Kenya imports more of everything than Bongolala because we have more money than bongoslum. Wakenya wanabadilisha boxer kila siku. 😂

You'll find the same story in the imports of chocolate, aircraft or heavy machinery.

Kenyans bought and imported nearly 14,000 brand new cars in 2025.
Bongolala bought under 3000 brand new cars, which was an improvement from the under 2000 you're used to.
Comment yako hii umeiandika ukiwa upo under panic.
Kwanza kumbuka JF ni forum ya wasomi ailimia kubwa ya humu ni watu wenye PHD. So issue zako za Secondary School za kutafuta definition ya maneno humu hazifui dafu. Humu watu wanajadili context, kuhusu tafsiri ya maneno watu wa humu walishatoka huko ni wewe pekee yako humu unaonekana mwenye low IQ.

Pili JF wanauliza kwanini Kenya inaongoza kwa kuangiza na kuvaa nguo za mitumba hapa Africa? JF wanahitaji detailed answer.

Tatu JF siyo mkutano wa walevi, kabla ya mada kuisha na kuelewana unahamia mada nyingine. JF siyo mkutano wa vichaa wanaoishi Kibera wakiwa wanavuta gundi na kutafuna mirungi. JF ni jukwaa linaloheshimika duniani kote, so usituletee tabia za kichokoraa humu.

Nne umegusia kuhusu magari, hivi unajua mpaka sasa kuna viwanda vingapi vya kuunganisha magari Tanzania? Unajua kuwa kuna viwanda vingi sana vya kuunganisha magari Tanzania? Nakusihi kabla ya kujibu hoja zangu kwa mihemko fanya reseach kwanza.

Na mwisho; lakini siyo kwa umuhimu sana, JF wanauliza; Umekula kweli leo?
 
Kilimani suburbs Nairobi.
1781098190957.jpg
 
So when a well traveled Tanzanian celebrity says Tanzania is 20 years behind Kenya, you scream murder but when an angry random Kenyan anti Ruto blogger post their frustration , it’s gospel to your ears ….
Bongolala ni Bongolala tu…😆😆😆
travel to do what thats the point, mfano wewe umeenda kufanyishwa kazi unataka nayo uite umetravel? kwanza umemaliza kufua mashuka ya watu?
 
Konza city EPZ.
Coming in HOT! - Lucky DJX Jeans (Textile) industrial complex and Solar Manufacturing Complex.

15,000 - 20,000 DIRECT jobs on this complex alone when operational.

View attachment 3605022View attachment 3605023View attachment 3605024View attachment 3605025View attachment 3605026View attachment 3605027View attachment 3605028View attachment 3605029
Remember recently I told them to make google their friend as they keep claiming that Konza is just 2 buildings… infact , there is so much activity right now including housing ( a brand new estate under construction, and it’s just the beginning). Also Konza is the first and only city in Africa with an automated waste management facility… the thing is so high tech it will blow your mind… ( again make google your friend Bongolalas)… 😆😆😆
 
Remember recently I told them to make google their friend as they keep claiming that Konza is just 2 buildings… infact , there is so much activity right now including housing ( a brand new estate under construction, and it’s just the beginning). Also Konza is the first and only city in Africa with an automated waste management facility… the thing is so high tech it will blow your mind… ( again make google your friend Bongolalas)… 😆😆😆
acha maneno mengi leta picha from above utuonyesha more than 2 buildings, and mind you the projects started from kibaki
 
Back
Top Bottom