Ni mjinga pekee atayeshangilia kuwa na kampuni chache zenye monopoly badala ya kuwa na kampuni nyingi ndogondogo zenye kuajiri watu wengi na kutengeneza ushindani.
Mfano safaricom Ina dominate soko kwa zaidi ya 60% utailinganishaje na Tanzania kwenye kampuni zaidi ya 4 na hakuna ambayo inamiliki soko zaidi ya 40% hivyo ushindani ana ajira nyingi kwa wazawa.
Ukija kwenye viwanda vya UNGA wa sembe, Kenya kuna viwanda vichache sana sana sidhani kama vinafika 100 vya UNGA wa sembe,hivyo hata ajira ni kidogo sana tofauti na Tanzania ambako hakuna kiwanda kikubwa Cha sembe kinachodominate ila vipo zaidi ya 2000 vidogo vidogo vyenye uwezo kuzalisha Tani 20 kwa siku hivyo ajira ni kubwa sana kuliko Kenya yenye viwanda vikubwa vichache, vilevile kwenye mafuta ya kula na bidha nyingine.