President of China
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 34,002
- 93,351
Boss safaricom ilishauzwa, its no lomger a kenyan companyNi mjinga pekee atayeshangilia kuwa na kampuni chache zenye monopoly badala ya kuwa na kampuni nyingi ndogondogo zenye kuajiri watu wengi na kutengeneza ushindani.
Mfano safaricom Ina dominate soko kwa zaidi ya 60% utailinganishaje na Tanzania kwenye kampuni zaidi ya 4 na hakuna ambayo inamiliki soko zaidi ya 40% hivyo ushindani ana ajira nyingi kwa wazawa.
Ukija kwenye viwanda vya UNGA wa sembe, Kenya kuna viwanda vichache sana sana sidhani kama vinafika 100 vya UNGA wa sembe,hivyo hata ajira ni kidogo sana tofauti na Tanzania ambako hakuna kiwanda kikubwa Cha sembe kinachodominate ila vipo zaidi ya 2000 vidogo vidogo vyenye uwezo kuzalisha Tani 20 kwa siku hivyo ajira ni kubwa sana kuliko Kenya yenye viwanda vikubwa vichache, vilevile kwenye mafuta ya kula na bidha nyingine.
Kuonsha anus za wazungu zimekufanya upungukiwe na akili. Stadium bado inajengwa halafu unaleta kelele.This a typical stairs in a regular Kenyan house vs. Samia Stadium stairs …. Sijui mtu anaingia stadium au anaingia kwa choo …🤣🤣🤣🤣
View attachment 3602416View attachment 3602417
O eti wakenya (nyang'au) hawaguswi sijui nini; upuuzi mtupu. Sasa hii nini?🤣
View: https://m.youtube.com/watch?v=wPiQ55cAvp0&pp=ugUEEgJlbg%3D%3D
Total sponsorship ya KPL!View attachment 3602415
Thamani ya mkataba wa simba wa jatty rutty imeizidi total sponsorship ya gormahia , imagine huyu ni muuza jezi tu.
Kwa mwaka 380mil ksh versus total revenue ya 191mil ksh 🤣🤣🤣🤣
Kaka Tsh 38b ni sawa na KSh 1.87 billion, waambie walijue hiloView attachment 3602415
Thamani ya mkataba wa simba wa jatty rutty imeizidi total sponsorship ya gormahia , imagine huyu ni muuza jezi tu.
Kwa mwaka 380mil ksh versus total revenue ya 191mil ksh 🤣🤣🤣🤣
Endelea kucheka halafu mmalize kujenga Talanta mjipate ham-meet specifications! Maana kuna suala la sections separations kwa kila level with multiple access! Mnatamba kujenga Talanta yet hamna bus stand ya maana Nairobi kumejaa tope!This a typical stairs in a regular Kenyan house vs. Samia Stadium stairs …. Sijui mtu anaingia stadium au anaingia kwa choo …🤣🤣🤣🤣
View attachment 3602416View attachment 3602417
🤣🤣🤣Kaka Tsh 38b ni sawa na KSh 1.87 billion, waambie walijue hilo
Ukichua media rights za Azam media ukajimlisha na sportpesa sponsorship kwa mwaka kwa league yao yote bado hawajafikisha sponsorship ya muuza jezi wa simba , jatty ruttyTotal sponsorship ya KPL!
Nchi yote ya kenya wanazidiwa na Muhaya wa Kagera.Ukichua media rights za Azam media ukajimlisha na sportpesa sponsorship kwa mwaka kwa league yao yote bado hawajafikisha sponsorship ya muuza jezi wa simba , jatty rutty View attachment 3602456View attachment 3602457
Halafu muhaya hayumo hata kwenye 300 Bora ya matajiri wa kibongo. Ila kacheza na fursa akijua kabisa jezi tu zinarudisha hela yakeNchi yote ya kenya wanazidiwa na Muhaya wa Kagera.
Huu ni uthibitisho wakenya ni maskini, bila mzungu hawatembeiHalafu muhaya hayumo hata kwenye 300 Bora ya matajiri wa kibongo. Ila kacheza na fursa akijua kabisa jezi tu zinarudisha hela yake
Na hii walianza baada ya ile picture ya kwanza ikiwa na background ya milima.uwanja unatafutiwa angles zote lakini wap
basi ndo maaana
Mimi siendeshi siasa za kina Maria Sarungi.Huyo anaendeleza siasa za maji taka za akina Maria Sarungi
Mimi siendeshi siasa za kina Maria Sarungi.
Mimi mzalendo na msema kweli. Natoa sifa zilizo halali na pia nakosoa palipo na ulazima.
View: https://x.com/KipepeComrade/status/2061617136301191467
View: https://x.com/KipepeComrade/status/2061629466384748690?s=20
View: https://x.com/KipepeComrade/status/2061633049134047529?s=20
View: https://x.com/KipepeComrade/status/2061643987711115564?s=20
Mimi siendeshi siasa za kina Maria Sarungi.
Mimi mzalendo na msema kweli. Natoa sifa zilizo halali na pia nakosoa palipo na ulazima.
View: https://x.com/KipepeComrade/status/2061617136301191467
View: https://x.com/KipepeComrade/status/2061629466384748690?s=20
View: https://x.com/KipepeComrade/status/2061633049134047529?s=20
View: https://x.com/KipepeComrade/status/2061643987711115564?s=20