Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

These stairs got my attention πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Zinakaa kama za zile bedsitters za pipeline 🀣🀣🀣🀣
IMG_0740.jpeg
IMG_0741.jpeg

Alafu they are talking about quality!! What quality????
 
Uwanja haujakamilika lkn tayari unaonekana ni jua kali πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Talanta haitajengwa mark my words 🀣 🀣 🀣
Sasa iyo Talanta iko wapi, sisi tayari tuna uwanja wa kisasa unaobeba watu zaidi ya 60k na sasa upo kwenye maboresho, we unaongea kitu ambacho hamna.

Kwa uchumi wenu ulivyo hovyo plus viongozi waongo waongo unadhani mnaweza kujenga kiwanja chenye ukubwa sawa na Mkapa stadium? Mpaka hivi tunaongea sisi kaka zenu tushaanza maandalizi tangu mwaka jana, nyinyi bado hata serikali haijasema chochote, mnaongea vitu vinavyosemwa mitandaoni na sio vilivyosemwa na serikali yenu, mnaakili kweli nyinyi? Mjenge uwanja usio na eneo la kukimbia alafu mtautumia kwa mchezo gani? Mpira kwenu hamna.

CAF watakuwa wajinga kiasi gani wasipeleke fainali Tz kwenye muamko wapeleke Kenya hata ligi tu inabebwa na watz, nani atakuja kuujaza huo uwanja?

FYI, hizo fainali tutaandaa wenyewe, nyie nchi za EA ni maskini hamuwezi kuandaa AFCON, kama unabisha niko nimekaa paleee 🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣
 
MVP wa ligi ya kenya anapewa ballon d'Or, tukiwaambia ubunifu zero mnaona tunawaonea πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£View attachment 3601854
Angalia na hilo kombe sasa, style ya 1960s πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Huyo mvp wa kunyaland ndoto yake siku 1 acheze ligi ya Tanzania
 
Hamtengenezi vitu kijuakali wakati mko na na stairs in the middle of the terrace imejipinda kama mrija ya punda!🀣🀣🀣
View attachment 3602088View attachment 3602089
Unani quote mara mbili mbili kunielezea ujinga.? Unataka tufanane we nyoko.? Hizo staircases, roofing, the design of it’s platforms ndio inafanya Arusha stadium kuwa unique .. tofauti na hiyo cheap stadium yenu mlioezeka maturubai. πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Back
Top Bottom