Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tumeshakubaliana kuwa kwenye mambo yetu ya ndani tunanyukana kwa siasa zetu za ndani. Lakini tukitoka nje ya nchi tunakuwa wamoja.
Rais anapoenda nje ya nchi, yeye ni sura ya Taifa, Unatakiwa ujue tofauti ya Local na International.
Watu wenye akili watahisi kuwa hujui maana ya National Interests in International Society
NB: Mipaka ya nchi inapoishia, ushindani wa ndani unapaswa kusimama. Katika diplomasia ya kimataifa, mataifa hayashindani kama vyama vya siasa, bali yanashindani kama dhumuni moja la kitaifa dhidi ya mataifa mengine. Tofauti za ndani hazipaswi kupelekwa nje kwa sababu zinafifisha nguvu ya nchi ya kujadiliana au kujitetea.

Ushindani wa kisiasa, utofauti wa kiitikadi, na mijadala ya ndani ni mambo ya kawaida na ya afya katika demokrasia yoyote. Ndani ya nchi, vyama na makundi yanaruhusiwa kupishana vikali ili kujenga nchi.

Rais anaposafiri nje ya nchi, haendi kama mwenyekiti wa chama fulani cha siasa, bali anaenda kama Mkuu wa Nchi (Head of State).

Anakuwa ndiye nembo, sauti, na uwakilishi wa wananchi wote (ikiwemo wapinzani wake wa ndani).
Kushambulia, Kumdharirisha au kudhoofisha hadhi ya Rais akiwa nje ya nchi kunatafsiriwa kimataifa kama kudhoofisha Taifa lenyewe, jambo linaloweza kupunguza ushawishi wa nchi hiyo kiuchumi, kisiasa au kiusalama.

"Iko hivi:
Unapoulizwa swali jibu swali na kama ni swali mtambuka, still jibu swali kama muelewa wa swali uliloulizwa.

Angejibu, at least kwa acknowledge swali na ku confirm her comprehension ya mada.

Angejibu:
"Regarding na how tutadeal na sanctions, tumejipanga kama taifa na serikali tuna mikakati madhubuti in place ya kudeal na sanctions. Kwa sasa hatujui ni sanction za aina gani but all in all, kama nchi sio wageni wa jambo hilo na tumeshadeal sanctions huko nyuma kipindi cha ukombozi wa Africa, Tanzania ikiwa kam hub ya liberation movements zote ambazo kwa mataifa ya Magharibi hizi movements zilikuwa ni terrorist organizations, na mambo mengi makubwa zaidi kama mlivllyo shuhudia jinsi tulivyo deal na COVID-19"

Hapa hajatoa mkakati wowote walionao serikali lakini kajibu swali kama alivyoulizwa na pia kalitangaza taifa kwa uwezo wake wa kudeal na nyakati ngumu pasipo kuyumba.

Sio alivyojibu pumba: "hatuna sanctions, hatuna sanctions"
Kwani muuliza swali hajui Tanzania haina sanctions?? 🚮"

 
"Iko hivi:
Unapoulizwa swali jibu swali na kama ni swali mtambuka, still jibu swali kama muelewa wa swali uliloulizwa.

Angejibu, at least kwa acknowledge swali na ku confirm her comprehension ya mada.

Angejibu:
"Regarding na how tutadeal na sanctions, tumejipanga kama taifa na serikali tuna mikakati madhubuti in place ya kudeal na sanctions. Kwa sasa hatujui ni sanction za aina gani but all in all, kama nchi sio wageni wa jambo hilo na tumeshadeal sanctions huko nyuma kipindi cha ukombozi wa Africa, Tanzania ikiwa kam hub ya liberation movements zote ambazo kwa mataifa ya Magharibi hizi movements zilikuwa ni terrorist organizations, na mambo mengi makubwa zaidi kama mlivllyo shuhudia jinsi tulivyo deal na COVID-19"

Hapa hajatoa mkakati wowote walionao serikali lakini kajibu swali kama alivyoulizwa na pia kalitangaza taifa kwa uwezo wake wa kudeal na nyakati ngumu pasipo kuyumba.

Sio alivyojibu pumba: "hatuna sanctions, hatuna sanctions"
Kwani muuliza swali hajui Tanzania haina sanctions?? 🚮"

Utachukua miaka kibao kujua siasa kaka. Unakasirika bure tu bila hata sababu. Kuna mambo mengi mno ya msingi Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania aliyasema jana, kwa sababu wewe ni Maria Sarungi oriented unajikita kwenye trivial issue, Tafsiri rahisi ya hayo unayoyakuza ni wewe hujui siasa unapost vitu kwa emotions.

Sisi tutakuhurumia tu maana hujui siasa siku ukijua utajipiga kifua na kujiona namna ulivyo mjinga. Samahani lakini kwa kukuita mjinga.

Unataka Rais atoe mkakati kwenye swali ambalo likijibiwa linaleta political tension? Samia ni mwanasiasa mbobevu anajua kucheza na maneno

Wewe unataka ajibu kulingana na matakwa yako. Hilo jibu lipo sahihi kisiasa kaka. Amka kaka utoke usingizini. Tena wachambuzi nguli wa kisiasa wamekubali jibu hilo lipo sahihi mno.

NB: Tanzania haifungamani na upande wowote, ndio maana tunafanya na watu wote. Na ni kweli Tanzania hatuna sanction au alisema uongo?
 
Nakuru's new 20 floor tower rising above the city giving stunning views of Lake Nakuru. Kenyan cities have the best geographical locations
IMG_9158.jpeg
 
Back
Top Bottom