REAL Comrade Kipepe
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 3,600
- 11,516
Tumeshakubaliana kuwa kwenye mambo yetu ya ndani tunanyukana kwa siasa zetu za ndani. Lakini tukitoka nje ya nchi tunakuwa wamoja.
Rais anapoenda nje ya nchi, yeye ni sura ya Taifa, Unatakiwa ujue tofauti ya Local na International.
Watu wenye akili watahisi kuwa hujui maana ya National Interests in International Society
NB: Mipaka ya nchi inapoishia, ushindani wa ndani unapaswa kusimama. Katika diplomasia ya kimataifa, mataifa hayashindani kama vyama vya siasa, bali yanashindani kama dhumuni moja la kitaifa dhidi ya mataifa mengine. Tofauti za ndani hazipaswi kupelekwa nje kwa sababu zinafifisha nguvu ya nchi ya kujadiliana au kujitetea.
Ushindani wa kisiasa, utofauti wa kiitikadi, na mijadala ya ndani ni mambo ya kawaida na ya afya katika demokrasia yoyote. Ndani ya nchi, vyama na makundi yanaruhusiwa kupishana vikali ili kujenga nchi.
Rais anaposafiri nje ya nchi, haendi kama mwenyekiti wa chama fulani cha siasa, bali anaenda kama Mkuu wa Nchi (Head of State).
Anakuwa ndiye nembo, sauti, na uwakilishi wa wananchi wote (ikiwemo wapinzani wake wa ndani).
Kushambulia, Kumdharirisha au kudhoofisha hadhi ya Rais akiwa nje ya nchi kunatafsiriwa kimataifa kama kudhoofisha Taifa lenyewe, jambo linaloweza kupunguza ushawishi wa nchi hiyo kiuchumi, kisiasa au kiusalama.
"Iko hivi:
Unapoulizwa swali jibu swali na kama ni swali mtambuka, still jibu swali kama muelewa wa swali uliloulizwa.
Angejibu, at least kwa acknowledge swali na ku confirm her comprehension ya mada.
Angejibu:
"Regarding na how tutadeal na sanctions, tumejipanga kama taifa na serikali tuna mikakati madhubuti in place ya kudeal na sanctions. Kwa sasa hatujui ni sanction za aina gani but all in all, kama nchi sio wageni wa jambo hilo na tumeshadeal sanctions huko nyuma kipindi cha ukombozi wa Africa, Tanzania ikiwa kam hub ya liberation movements zote ambazo kwa mataifa ya Magharibi hizi movements zilikuwa ni terrorist organizations, na mambo mengi makubwa zaidi kama mlivllyo shuhudia jinsi tulivyo deal na COVID-19"
Hapa hajatoa mkakati wowote walionao serikali lakini kajibu swali kama alivyoulizwa na pia kalitangaza taifa kwa uwezo wake wa kudeal na nyakati ngumu pasipo kuyumba.
Sio alivyojibu pumba: "hatuna sanctions, hatuna sanctions"
Kwani muuliza swali hajui Tanzania haina sanctions?? 🚮"
Hapana.Lakini kwa diplomasia na siasa za ulimwengu jibu la Rais lilikuwa sahihi. Kama Rais angejibu swali direct kama lilivyoulizwa angeharibu zaidi. Swali lilikuwa lq mtego na amelikwepa kujibu moja kwa moja
Rais wako ni kilaza na ana historia ya kupata zero mfululizo kwenye mitihabi yote: 7, 4, na 6.
Iko hivi:
Unapoulizwa swali jibu swali na kama ni swali mtambuka, still jibu swali kama muelewa wa swali uliloulizwa.
Angejibu, at least kwa acknowledge swali na ku confirm her compensation ya mada.
Angejibu:
"Regarding na how tutadeal na sanctions, tumejipanga kama taifa na...