Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

… that’s back in 1987 before most here were yet born ...
Nilikutana Copenhagen na baba yako 1984 na rafiki zake wakati wakingoja kwenda USA baada ya kupata Visa kupitia UNHCR. Walishiriki mapinduzi yaliyofeli ya akina Ochuka wakati walipokuwa chuoni UNO mwaka 1982. Wewe bado ni kinda tu. Unapokuwa hapa hujui unaongea na nani😎
 
Nilikutana Copenhagen na baba yako 1984 na rafiki zake wakati wakingoja kwenda USA baada ya kupata Visa kupitia UNHCR. Walishiriki mapinduzi yaliyofeli ya akina Ochuka wakati walipokuwa chuoni UNO mwaka 1982. Wewe bado ni kinda tu.
That’s why I stopped being negative to you. Based on your statements a while ago and calendar of events, I definitely believe you was my Dad’s classmate at University of Dar long time ago ….. very interesting…
 
MVP wa ligi ya kenya anapewa ballon d'Or, tukiwaambia ubunifu zero mnaona tunawaonea 👇👇🤣🤣🤣🤣🤣
Screenshot_20260605_205459_Google.jpg

Angalia na hilo kombe sasa, style ya 1960s 😂😂😂😂😂😂
 
Fantasy ya wakunya ni kwenda Singapore... Wakati Singapore wenyewe wanataka kwenda Tanzania...

Hakuna nchi inayotaka kujishikanisha na failures!!
"...kwa mwaliko wa mwenyeji wake..."
Alafu unasema wanataka kuja Tanzania!?🤣🤣🤣

Nyamwezis sharing posts that they don't even understand its content
 
Back
Top Bottom