Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 34,098
- 32,919
Nilikutana Copenhagen na baba yako 1984 na rafiki zake wakati wakingoja kwenda USA baada ya kupata Visa kupitia UNHCR. Walishiriki mapinduzi yaliyofeli ya akina Ochuka wakati walipokuwa chuoni UNO mwaka 1982. Wewe bado ni kinda tu. Unapokuwa hapa hujui unaongea na nani😎… that’s back in 1987 before most here were yet born ...