Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wanafikiri refinery ni kama kununua mtura! Uzuri Uganda wanajenga refinery yao na Ukunduni wakikataa ku-take part in a refinery in Tanga, wanaweza kuachwa.
Kwahivo mnataka kuwe na refinery Uganda na Tanzania? Hivi unajielewa
 
Unajipa umuhimu ambao hauna. Total ndo watakaouza hayo mafuta, nyinyi hamna say
Unajipa umuhimu ambao hauna. Total ndo watakaouza hayo mafuta, nyinyi hamna say” 😂😂😂
1778499758760.jpeg
 
Now Bongolalalas are switching on the refinery like it’s not important to them …. Hawa majamaa ni comedian s…🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
We did not initiate it, nor were we part of the initial discussion. Why should we be worried?
 
Na Ruto ni mwongo siku zote, anajifanya kuipigie debe Tanzania mnafiki.na mikataba walioweka ni feki hakuna utekelezaji utakao fanyika.
Picha hapa inachezwa na Ruto kamuambia Dangote hawa jamaa wa TZ wamenifokea kuhusu kutangaza refinery itajengwa Tanga na hawa jamaa huwa ni wagumu sana kukubaliana na Kenya on many issues sasa wewe Tangaza itajengwa Mombasa ili waje wajishushe kidogo kwangu tupate compliance yao na pia tuwabane na commitment ya pipeline to Mombasa from Tanga. Anachoshindwa kujua Ruto Tz ni master wa diplomasia ya uchumi ukanda huu.
 
Picha hapa inachezwa na Ruto kamuambia Dangote hawa jamaa wa TZ wamenifokea kuhusu kutangaza refinery itajengwa Tanga na hawa jamaa huwa ni wagumu sana kukubaliana na Kenya on many issues sasa wewe Tangaza itajengwa Mombasa ili waje wajishushe kidogo kwangu tupate compliance yao na pia tuwabane na commitment ya pipeline to Mombasa from Tanga. Anachoshindwa kujua Ruto Tz ni master wa diplomasia ya uchumu ukanda huu.
Dangote na Kikwete hao ni Marafiki. Watajua hawajui
Rostam Aziz yule ni TISS - kawekwa mbele
 
Yani the guy has surrendered every decision in the hands of Ruto. Sasa ngojeni muone vile Ruto ataruka watanzania na Tanga Yao😂😂🤣
Hujui kinachoendelea hapo hizo ni high-level tactics za ku armtwist Tanzania by Kenyans to guarantee or force Tanzania to commit to a pipeline should a refinery be built in Tanga. The last sentence is very obvious about this hatched plan, suggesting that if you want an oil refinery in Tanga, deal with Ruto so that Ruto gets what he wants from TZ in the form of agreed project terms and commitment by Tanzania to build an oil pipeline to Mombasa.
 
The funny part is that Dangote might buy that crude oil from Tanga, transport it to Mombasa, refine it then transport it to Uganda again through Kenya Pipeline 😂😂🤣🤣
Atanunua wapi TOTAL anapeleka mafuta yote kwake they can all buy surplus oil tuu sijui kama itatosha ku feed refinery.
 
Picha hapa inachezwa na Ruto kamuambia Dangote hawa jamaa wa TZ wamenifokea kuhusu kutangaza refinery itajengwa Tanga na hawa jamaa huwa ni wagumu sana kukubaliana na Kenya on many issues sasa wewe Tangaza itajengwa Mombasa ili waje wajishushe kidogo kwangu tupate compliance yao na pia tuwabane na commitment ya pipeline to Mombasa from Tanga. Anachoshindwa kujua Ruto Tz ni master wa diplomasia ya uchumu ukanda huu.

Bado wana maumivu ya kukosa Bomba la UG.. so wanatafuta namna yoyote ya ku force kufaidi.

Hapo Dangote akijenga Tanga ndio Kasongo aseme alikubali iwe hivyo umuhimu wake uonekane... Hapo ni kwamba Dangote akija ni mazungumzo Yana anza upya na terms mpya... Kama hataki arudi mombasa tu .

Na ile ishu ya gesi nadhani Haina haja ya kuiharakisha sana kuipeleka msa... Ila kama wanataka sana bhas ifanyike feasibility kwa gharama zao na ujenzi ifanyike kwa gharama zao.. TZ iwasaidie ku secure ardhi tu ya Bomba kupita na security. Haina haja ya kuweka pesa nyingi hapo wakati kuna maeneo mengine ya nchi yamahitaji gesi kama Liganga huko... Na pia kuna miradi mingi ya ndani ya kwetu kuliko kufinance Bomba hilo ambalo returns yake Haina multiplier effect kwenye uchumi wetu wa ndani
 
Back
Top Bottom