mwathadan
JF-Expert Member
- Dec 1, 2016
- 3,517
- 5,124
Kwahivo mnataka kuwe na refinery Uganda na Tanzania? Hivi unajielewaWanafikiri refinery ni kama kununua mtura! Uzuri Uganda wanajenga refinery yao na Ukunduni wakikataa ku-take part in a refinery in Tanga, wanaweza kuachwa.