Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Bado wana maumivu ya kukosa Bomba la UG.. so wanatafuta namna yoyote ya ku force kufaidi.

Hapo Dangote akijenga Tanga ndio Kasongo aseme alikubali iwe hivyo umuhimu wake uonekane... Hapo ni kwamba Dangote akija ni mazungumzo Yana anza upya na terms mpya... Kama hataki arudi mombasa tu .

Na ile ishu ya gesi nadhani Haina haja ya kuiharakisha sana kuipeleka msa... Ila kama wanataka sana bhas ifanyike feasibility kwa gharama zao na ujenzi ifanyike kwa gharama zao.. TZ iwasaidie ku secure ardhi tu ya Bomba kupita na security. Haina haja ya kuweka pesa nyingi hapo wakati kuna maeneo mengine ya nchi yamahitaji gesi kama Liganga huko... Na pia kuna miradi mingi ya ndani ya kwetu kuliko kufinance Bomba hilo ambalo returns yake Haina multiplier effect kwenye uchumi wetu wa ndani
Yaani unajua Bomba la gas linaishia Dar, maana yake wajenge bomba la gas kutoka Dar mpaka mombasa.
Halafu Tanzania iache kujenga bomba Kuelekea Pwan ambapo inajenga Industrial Parks za kutosha!! halafu ipeleke kwa washindani wetu!!?

Tanzania iache kujenga bomba la gas kupeleka Dodoma ipeleke Mombasa!!? Distance kutoka Dar kwenda mombasa ni karibia 600km.

Huu utakuwa ni uzwazwa.
 
Bado wana maumivu ya kukosa Bomba la UG.. so wanatafuta namna yoyote ya ku force kufaidi.

Hapo Dangote akijenga Tanga ndio Kasongo aseme alikubali iwe hivyo umuhimu wake uonekane... Hapo ni kwamba Dangote akija ni mazungumzo Yana anza upya na terms mpya... Kama hataki arudi mombasa tu .

Na ile ishu ya gesi nadhani Haina haja ya kuiharakisha sana kuipeleka msa... Ila kama wanataka sana bhas ifanyike feasibility kwa gharama zao na ujenzi ifanyike kwa gharama zao.. TZ iwasaidie ku secure ardhi tu ya Bomba kupita na security. Haina haja ya kuweka pesa nyingi hapo wakati kuna maeneo mengine ya nchi yamahitaji gesi kama Liganga huko... Na pia kuna miradi mingi ya ndani ya kwetu kuliko kufinance Bomba hilo ambalo returns yake Haina multiplier effect kwenye uchumi wetu wa ndani
Ile siku mama anamuumbua ruto ilikuaje akatangaza yy kuhusu refinery kujengwa tanga pasipo kumshirikisha,naamini mama alishalijadili na mu7,yan ruto anataka kujifanya kama ile ni idea yake ikiwa TZ kama nchi tayari plan ya refinery ilikuwepo,binafsi napenda sana dangote kama ni kweli aendelee na huko msa au la kama Tanga basi ajenge pasipo kuwashirikisha kunyan,otherwise tutafute mwekezaji mwingine atakayejenga refinery pasipo uwepo wa kunyan
 
Picha hapa inachezwa na Ruto kamuambia Dangote hawa jamaa wa TZ wamenifokea kuhusu kutangaza refinery itajengwa Tanga na hawa jamaa huwa ni wagumu sana kukubaliana na Kenya on many issues sasa wewe Tangaza itajengwa Mombasa ili waje wajishushe kidogo kwangu tupate compliance yao na pia tuwabane na commitment ya pipeline to Mombasa from Tanga. Anachoshindwa kujua Ruto Tz ni master wa diplomasia ya uchumi ukanda huu.
Are you using cocaine or meth? Juu vitu unaongea are non existence 🤣🤣
 
Nyie ni wajinga sana sasa kama Tanga haina port depth TOTAL wanasafirisha vipi mafuta yao from Tanga? tumieni akili kidogo hizo ni siasa tuu za kimkakati.
Total will be using small ships, Dangote is planning to use Post - Panamax ships which no port in Tanzania can accommodate 😂😂🤣
 
Yani the guy has surrendered every decision in the hands of Ruto. Sasa ngojeni muone vile Ruto ataruka watanzania na Tanga Yao😂😂🤣
Tumia akili wewe kama mfanyabiashara unaweza uka surrender investment decision kwa politician? utakuwa kichaa na si mfanyabiashara wa level ya Dangote anaweza kufanya upumbavu kama huo. Hii yote ni picha tuu ila TZ ni baba lao sasa hivi Ruto na Dangote wanasikilizia signal toka TZ ila hawatazipata serikali yetu haijashirikishwa directly na mwekezaji na itapiga kimya bila kufuatilia na utaona either Dangote ama Ruto atatia timu hapa mara ya pili mark my words. TZ haiyumbishwi kizembe hivyo na taifa au mtu yoyote yule we have that reputation since independence kama unabisha kamuulize USA, UK, West Germany wakati huo, Israel, Morocco, Apartheid SA na South Korea watakupa reputation yetu vizuri sana.
 
Back
Top Bottom