Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tumia akili wewe kama mfanyabiashara unaweza uka surrender investment decision kwa politician? utakuwa kichaa na si mfanyabiashara wa level ya Dangote anaweza kufanya upumbavu kama huo. Hii yote ni picha tuu ila TZ ni baba lao sasa hivi Ruto na Dangote wanasikilizia signal toka TZ ila hawatazipata serikali yetu haijashirikishwa directly na mwekezaji na itapiga kimya bila kufuatilia na utaona either Dangote ama Ruto atatia timu hapa mara ya pili mark my words. TZ haiyumbishwi kizembe hivyo na taifa au mtu yoyote yule we have that reputation since independence kama unabisha kamuulize USA, UK, West Germany wakati huo, Israel, Morocco, Apartheid SA na South Korea watakupa reputation yetu vizuri sana.
Wanacheza siasa chafu. Sisi tunazijua sana. Ruto aliambiwa na Rais Samia unatangaza project ndani ya nchi bila kuongea na uongozi wa nchi, maana yake ni kuinigilia sovereign state. Hakuelewa maana yake na akaenda kuropoka tena kwenye bunge la Tanzania.

Bunge la Tanzania linaendeshwa na plans siyo mihemko na hisia.
Mambo huwa yanaanzia kwenye Cocus ya bunge (Kila chama kipo na Cocus yake) -> Kamati ya Bunge -> Ndio vitu vinaletwa kwenye Kikao cha Bunge.
 
Museveni ndiye kasema hivyo!
KItu usichokijua Total ndo ana usemi mkubwa mahali mafuta yanayosafirishwa na bomba yatakapopelekwa.I can bet you Total hana mpango wa refinery. Crude inayobaki Uganda ana plan kujisafishia mwenyewe itumike Uganda. Where does this leave the Tanga refinery?
 
Total will be using small ships, Dangote is planning to use Post - Panamax ships which no port in Tanzania can accommodate 😂😂🤣
Tanga's EACOP is the largest crude oil terminal in eastern and central Africa!
Screenshot 2026-05-11 145207.png
 
Yaani unajua Bomba la gas linaishia Dar, maana yake wajenge bomba la gas kutoka Dar mpaka mombasa.
Halafu Tanzania iache kujenga bomba Kuelekea Pwan ambapo inajenga Industrial Parks za kutosha!! halafu ipeleke kwa washindani wetu!!?

Tanzania iache kujenga bomba la gas kupeleka Dodoma ipeleke Mombasa!!? Distance kutoka Dar kwenda mombasa ni karibia 600km.

Huu utakuwa ni uzwazwa.

Kabisa, gharama za kujenga Bomba hilo ni kubwa... Walinunua gesi Hadi gharama zije kurudi ni mbali... Bado tutaendelea kuwapa nguvu ya kutusumbua.

Kama wanashida na bomba sana... Wajenge tu kwa gharama zao. Tutawapatia eneo na ulinzi. Inatosha kabisa.
 
Ile siku mama anamuumbua ruto ilikuaje akatangaza yy kuhusu refinery kujengwa tanga pasipo kumshirikisha,naamini mama alishalijadili na mu7,yan ruto anataka kujifanya kama ile ni idea yake ikiwa TZ kama nchi tayari plan ya refinery ilikuwepo,binafsi napenda sana dangote kama ni kweli aendelee na huko msa au la kama Tanga basi ajenge pasipo kuwashirikisha kunyan,otherwise tutafute mwekezaji mwingine atakayejenga refinery pasipo uwepo wa kunyan

Kenge wanataka kujipa umuhimu na kuweka shobo kwenye vitu vya watu.
 
Ile siku mama anamuumbua ruto ilikuaje akatangaza yy kuhusu refinery kujengwa tanga pasipo kumshirikisha,naamini mama alishalijadili na mu7,yan ruto anataka kujifanya kama ile ni idea yake ikiwa TZ kama nchi tayari plan ya refinery ilikuwepo,binafsi napenda sana dangote kama ni kweli aendelee na huko msa au la kama Tanga basi ajenge pasipo kuwashirikisha kunyan,otherwise tutafute mwekezaji mwingine atakayejenga refinery pasipo uwepo wa kunyan
Dangote kashasema decision ipo mikononi mwa ruto, si utalia sana
 
KItu usichokijua Total ndo ana usemi mkubwa mahali mafuta yanayosafirishwa na bomba yatakapopelekwa.I can bet you Total hana mpango wa refinery. Crude inayobaki Uganda ana plan kujisafishia mwenyewe itumike Uganda. Where does this leave the Tanga refinery?
EACOP - Inabeba mafuta toka Uganda, South Sudan, DRC, Rwanda, Burundi na Tanzania
 

Dangote Favours Kenya’s Mombasa Over Tanzania’s Tanga for East Africa Oil Refinery


Nigerian billionaire Aliko Dangote has indicated he now favours Kenya’s Mombasa over Tanzania’s Tanga for a proposed 650,000-barrel-per-day oil refinery estimated at USD 15–17 billion, citing port depth, market size, and the need for protection against cheap fuel imports—less than three weeks after pledging to build the facility in Tanga.

MAY 11, 2026 2 MINUTE READ
Dangote-Ruto-Oil-Refinery-Pledge-Kenya.png.webp

After pledging to build a 650,000-barrel-per-day oil refinery at Tanzania’s port of Tanga, Nigerian billionaire Aliko Dangote has indicated he now favours Kenya’s Mombasa as the preferred location for the project, according to the Financial Times.

Dangote had committed to the Tanga refinery at the Africa We Build Summit in Nairobi on April 23, 2026, in the presence of Kenyan President William Ruto and Ugandan President Yoweri Museveni, conditional on government support.

He now leans toward Mombasa primarily because of its deeper and larger port infrastructure, and because Kenya represents a bigger market with higher fuel consumption than Tanzania.

The cost of the proposed facility remains unchanged at between USD 15 billion and USD 17 billion, with a processing capacity of 650,000 barrels per day.

For the project to proceed, he said he would require the host government to provide land, some regional financing, and protection against what he described as the dumping of cheap fuel from countries such as Russia and India, adding that no refinery in the world could survive without such protection and that if an agreement were reached, construction could begin this year.

He also left the door open for Tanzania, stating he could still build the refinery there. The final decision, he said, rests entirely with President Ruto, according to Reuters.

Industry analysts have speculated that he may be using the competing locations to negotiate a better deal from both governments.

Tanzanian President Samia Suluhu Hassan, who was not present at the April 23 summit in Nairobi, subsequently stated publicly that she had not been consulted before the announcement, and told President Ruto directly that she had no prior knowledge of a plan that placed a major industrial project on Tanzanian soil.

Ruto, speaking at Tanzania’s parliament in Dodoma during a state visit, defended the announcement as part of broader regional consultations on industrialisation and the joint use of East Africa’s natural resources, according to Reuters.

Read more at: Dangote Favours Kenya's Mombasa Over Tanzania's Tanga for East Africa Oil Refinery and follow us on Twitter: https://twitter.com/TanzaniaInvest Facebook: TanzaniaInvest LinkedIn: TanzaniaInvest | LinkedIn Instagram: Instagram
 
Are you forgetting Kenya is also a source of crude oil?😂😂.

We are not planning to hold anybody hostage, it will be a scenario of willing buyers.
which crude oil? The one that couldn't support a pipeline? wacha upumbavu!
 

Dangote Favours Kenya’s Mombasa Over Tanzania’s Tanga for East Africa Oil Refinery


Nigerian billionaire Aliko Dangote has indicated he now favours Kenya’s Mombasa over Tanzania’s Tanga for a proposed 650,000-barrel-per-day oil refinery estimated at USD 15–17 billion, citing port depth, market size, and the need for protection against cheap fuel imports—less than three weeks after pledging to build the facility in Tanga.

MAY 11, 2026 2 MINUTE READ
Dangote-Ruto-Oil-Refinery-Pledge-Kenya.png.webp

After pledging to build a 650,000-barrel-per-day oil refinery at Tanzania’s port of Tanga, Nigerian billionaire Aliko Dangote has indicated he now favours Kenya’s Mombasa as the preferred location for the project, according to the Financial Times.

Dangote had committed to the Tanga refinery at the Africa We Build Summit in Nairobi on April 23, 2026, in the presence of Kenyan President William Ruto and Ugandan President Yoweri Museveni, conditional on government support.

He now leans toward Mombasa primarily because of its deeper and larger port infrastructure, and because Kenya represents a bigger market with higher fuel consumption than Tanzania.

The cost of the proposed facility remains unchanged at between USD 15 billion and USD 17 billion, with a processing capacity of 650,000 barrels per day.

For the project to proceed, he said he would require the host government to provide land, some regional financing, and protection against what he described as the dumping of cheap fuel from countries such as Russia and India, adding that no refinery in the world could survive without such protection and that if an agreement were reached, construction could begin this year.

He also left the door open for Tanzania, stating he could still build the refinery there. The final decision, he said, rests entirely with President Ruto, according to Reuters.

Industry analysts have speculated that he may be using the competing locations to negotiate a better deal from both governments.

Tanzanian President Samia Suluhu Hassan, who was not present at the April 23 summit in Nairobi, subsequently stated publicly that she had not been consulted before the announcement, and told President Ruto directly that she had no prior knowledge of a plan that placed a major industrial project on Tanzanian soil.

Ruto, speaking at Tanzania’s parliament in Dodoma during a state visit, defended the announcement as part of broader regional consultations on industrialisation and the joint use of East Africa’s natural resources, according to Reuters.

Read more at: Dangote Favours Kenya's Mombasa Over Tanzania's Tanga for East Africa Oil Refinery and follow us on Twitter: https://twitter.com/TanzaniaInvest Facebook: TanzaniaInvest LinkedIn: TanzaniaInvest | LinkedIn Instagram: Instagram
So do you still think you have more vehicles than Kenya?
 
Back
Top Bottom