Teargass
JF-Expert Member
- Apr 23, 2018
- 30,884
- 33,154
Sasa unajua zaidi kuliko Dangote?😂😂Tumia akili wewe kama mfanyabiashara unaweza uka surrender investment decision kwa politician?
Sasa unajua zaidi kuliko Dangote?😂😂Tumia akili wewe kama mfanyabiashara unaweza uka surrender investment decision kwa politician?
Wanacheza siasa chafu. Sisi tunazijua sana. Ruto aliambiwa na Rais Samia unatangaza project ndani ya nchi bila kuongea na uongozi wa nchi, maana yake ni kuinigilia sovereign state. Hakuelewa maana yake na akaenda kuropoka tena kwenye bunge la Tanzania.Tumia akili wewe kama mfanyabiashara unaweza uka surrender investment decision kwa politician? utakuwa kichaa na si mfanyabiashara wa level ya Dangote anaweza kufanya upumbavu kama huo. Hii yote ni picha tuu ila TZ ni baba lao sasa hivi Ruto na Dangote wanasikilizia signal toka TZ ila hawatazipata serikali yetu haijashirikishwa directly na mwekezaji na itapiga kimya bila kufuatilia na utaona either Dangote ama Ruto atatia timu hapa mara ya pili mark my words. TZ haiyumbishwi kizembe hivyo na taifa au mtu yoyote yule we have that reputation since independence kama unabisha kamuulize USA, UK, West Germany wakati huo, Israel, Morocco, Apartheid SA na South Korea watakupa reputation yetu vizuri sana.
KItu usichokijua Total ndo ana usemi mkubwa mahali mafuta yanayosafirishwa na bomba yatakapopelekwa.I can bet you Total hana mpango wa refinery. Crude inayobaki Uganda ana plan kujisafishia mwenyewe itumike Uganda. Where does this leave the Tanga refinery?Museveni ndiye kasema hivyo!
Tanga's EACOP is the largest crude oil terminal in eastern and central Africa!Total will be using small ships, Dangote is planning to use Post - Panamax ships which no port in Tanzania can accommodate 😂😂🤣
Yaani unajua Bomba la gas linaishia Dar, maana yake wajenge bomba la gas kutoka Dar mpaka mombasa.
Halafu Tanzania iache kujenga bomba Kuelekea Pwan ambapo inajenga Industrial Parks za kutosha!! halafu ipeleke kwa washindani wetu!!?
Tanzania iache kujenga bomba la gas kupeleka Dodoma ipeleke Mombasa!!? Distance kutoka Dar kwenda mombasa ni karibia 600km.
Huu utakuwa ni uzwazwa.
Ile siku mama anamuumbua ruto ilikuaje akatangaza yy kuhusu refinery kujengwa tanga pasipo kumshirikisha,naamini mama alishalijadili na mu7,yan ruto anataka kujifanya kama ile ni idea yake ikiwa TZ kama nchi tayari plan ya refinery ilikuwepo,binafsi napenda sana dangote kama ni kweli aendelee na huko msa au la kama Tanga basi ajenge pasipo kuwashirikisha kunyan,otherwise tutafute mwekezaji mwingine atakayejenga refinery pasipo uwepo wa kunyan
Dangote kashasema decision ipo mikononi mwa ruto, si utalia sanaIle siku mama anamuumbua ruto ilikuaje akatangaza yy kuhusu refinery kujengwa tanga pasipo kumshirikisha,naamini mama alishalijadili na mu7,yan ruto anataka kujifanya kama ile ni idea yake ikiwa TZ kama nchi tayari plan ya refinery ilikuwepo,binafsi napenda sana dangote kama ni kweli aendelee na huko msa au la kama Tanga basi ajenge pasipo kuwashirikisha kunyan,otherwise tutafute mwekezaji mwingine atakayejenga refinery pasipo uwepo wa kunyan
EACOP - Inabeba mafuta toka Uganda, South Sudan, DRC, Rwanda, Burundi na TanzaniaKItu usichokijua Total ndo ana usemi mkubwa mahali mafuta yanayosafirishwa na bomba yatakapopelekwa.I can bet you Total hana mpango wa refinery. Crude inayobaki Uganda ana plan kujisafishia mwenyewe itumike Uganda. Where does this leave the Tanga refinery?
Desicion without commitment nikama kuandika nane kwenye maji- Hata sisi kuna mfalme wa Morocco alisema atajenga uwanja wa mpira DodomaDangote kashasema decision ipo mikononi mwa ruto, si utalia sana
Storage tanks and port depths are two different things, Dangote is concerned with the port depth, not storage tanks 😂😂Tanga's EACOP is the largest crude oil terminal in eastern and central Africa!
View attachment 3587102
kumbuka ana-float shares za Dangote refinery soon sasa lazma acheze positive na media!MM ndo mara ya kwanza naskia investor anasema "whatever ruto wants is what i will do" kwa kifupi nachokiona ni uchaguzi wa mwaka ujao tu
Domo kaya la refinery alianzisha naniKwahivo mnataka kuwe na refinery Uganda na Tanzania? Hivi unajielewa
which crude oil? The one that couldn't support a pipeline? wacha upumbavu!Are you forgetting Kenya is also a source of crude oil?😂😂.
We are not planning to hold anybody hostage, it will be a scenario of willing buyers.
So do you still think you have more vehicles than Kenya?Dangote Favours Kenya’s Mombasa Over Tanzania’s Tanga for East Africa Oil Refinery
Nigerian billionaire Aliko Dangote has indicated he now favours Kenya’s Mombasa over Tanzania’s Tanga for a proposed 650,000-barrel-per-day oil refinery estimated at USD 15–17 billion, citing port depth, market size, and the need for protection against cheap fuel imports—less than three weeks after pledging to build the facility in Tanga.
MAY 11, 2026 2 MINUTE READ
![]()
After pledging to build a 650,000-barrel-per-day oil refinery at Tanzania’s port of Tanga, Nigerian billionaire Aliko Dangote has indicated he now favours Kenya’s Mombasa as the preferred location for the project, according to the Financial Times.
Dangote had committed to the Tanga refinery at the Africa We Build Summit in Nairobi on April 23, 2026, in the presence of Kenyan President William Ruto and Ugandan President Yoweri Museveni, conditional on government support.
He now leans toward Mombasa primarily because of its deeper and larger port infrastructure, and because Kenya represents a bigger market with higher fuel consumption than Tanzania.
The cost of the proposed facility remains unchanged at between USD 15 billion and USD 17 billion, with a processing capacity of 650,000 barrels per day.
For the project to proceed, he said he would require the host government to provide land, some regional financing, and protection against what he described as the dumping of cheap fuel from countries such as Russia and India, adding that no refinery in the world could survive without such protection and that if an agreement were reached, construction could begin this year.
He also left the door open for Tanzania, stating he could still build the refinery there. The final decision, he said, rests entirely with President Ruto, according to Reuters.
Industry analysts have speculated that he may be using the competing locations to negotiate a better deal from both governments.
Tanzanian President Samia Suluhu Hassan, who was not present at the April 23 summit in Nairobi, subsequently stated publicly that she had not been consulted before the announcement, and told President Ruto directly that she had no prior knowledge of a plan that placed a major industrial project on Tanzanian soil.
Ruto, speaking at Tanzania’s parliament in Dodoma during a state visit, defended the announcement as part of broader regional consultations on industrialisation and the joint use of East Africa’s natural resources, according to Reuters.
Read more at: Dangote Favours Kenya's Mombasa Over Tanzania's Tanga for East Africa Oil Refinery and follow us on Twitter: https://twitter.com/TanzaniaInvest Facebook: TanzaniaInvest LinkedIn: TanzaniaInvest | LinkedIn Instagram: Instagram
yes! plus mines that use heavy fuel!So do you still think you have more vehicles than Kenya?
Nyinyi mko mta stage . Moi University in Eldoret is building the largest hospital in Africa ( ongoing) na hata haiko Nairobi…so take your photo and raise it to the power of 10 .. (and still won’t even be close in size of new MTRH )..