Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

1778415833167.png
 
Dangote ndio ataamua, maana Museveni yuko tayari kuuza sehemu ya crude kwa Dangote.


Kenya hana cha ku-offer. Ni mpiga kelele tu.

Hiyo refinery, inaweza kujengwa na Uganda, TZ na Dangote bila kuhusisha Kenya.

Baada ya Kenya kupoteza EACOP, na sisi tunayo na tuna LNG amepaniki.

South Sudan aliokuwa anawategemea na wao mafuta yao wanauza kupitia Sudan.

Kwasasa anapambana na yeye kujichomeka kwenye mradi kwa kununua hizo hisa za REFINERY.

Shida kubwa wakenya wengi ni VIAZI hawaelewi zaidi ya kukaza mafuvu, tu ila viongozi wao WAMEZIDIWA.
Watanzania hapa jf ni vilio tu 😂. Dangote mwenyewe ndo kasema, haya endeni mumpige
 
rest assured hakuna refinery inajengwa, if not tanga then hakuna sehem ingine itajengwa and Tz itself doesnt want that refinery so ni kama mumpe votes tu thats all
Even Dangote knows Kenya is more economically superior than Bongo … his words not mine…
IMG_8860.jpeg
 
Watanzania hapa jf ni vilio tu 😂. Dangote mwenyewe ndo kasema, haya endeni mumpige
Now Bongolalalas are switching on the refinery like it’s not important to them …. Hawa majamaa ni comedian s…🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Na Ruto ni mwongo siku zote, anajifanya kuipigie debe Tanzania mnafiki.na mikataba walioweka ni feki hakuna utekelezaji utakao fanyika.
Pamoja na unafiki wake na propaganda za media za kenya,ile refinery itajengwa tanga watake wasitake,kikubwa nisichopenda ni kushirikiana nao tu,wale ni wa kukaa nao mbali ni wanafiki mno
 
Back
Top Bottom