Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

i am on it currently however, remember the first day it was announced what i told you? Samia didnt act that way kwa bahati mbaya, it was intentional na pia even ruto mwenyewe kafika kwa kuchelewa, in short hakuna any serious deal apo, Pia ukisoma african insider, they claim the Refinery is import Refine Export


View: https://x.com/BusInsiderSSA/status/2053752830930915716?s=20

Ukimskiliza Ruto, "USE OUR RESOURCES" meanwhile Uganda walishauza hayo mafuta kwa Total energies mda mrefu for 30 Years, kiuhalisia if there was serious business then Samia angekua ashajua and TISS wangekua washapita nayo mda mrefu, However Again as i said, Its extremely unlikely Tanzania wataruhusu such an investment, not because they dont want it, but beause of MTWARA, investors wa pale wako 50/50 wako kama 18 wote kwa pamoja wanatakiwa kutoa $42B

Total wamesaini mkataba wa around 260,000 bpd wakati ile pipeline ina uwezo zaidi! tulia kuna kitu kinakuja sitaki kukisema hapa! Angalia media ya Tanzania ipo kimya! Wamepewa specific instructions! Sit and watch kimbelembele atachezwa!
 
issue ni hivi kuna maongezi kweli ya refinery Tanga kati ya Uganda na Tanzania (partners wa EACOP) na naamini mama anajua ila ni kama Ruto hakutakiwa kujua kinachoendelea! Sasa baada ya kujua kimemuuma na kuamua kwenda public! Ila ukisoma body language utaona Museveni hakuwa comfortable na spilling the beans ya Ruto build Africa summit! Ruto anajaribu kujionyesha kama yeye ndiye planer wa mradi na anatufanyia favor! When dust set down tutajua kinachoendelea!
Zidi kujiambia hivo hadi uamini
 
Total wamesaini mkataba wa around 260,000 bpd wakati ile pipeline ina uwezo zaidi! tulia kuna kitu kinakuja sitaki kukisema hapa! Angalia media ya Tanzania ipo kimya! Wamepewa specific instructions! Sit and watch kimbelembele atachezwa!
MM ndo mara ya kwanza naskia investor anasema "whatever ruto wants is what i will do" kwa kifupi nachokiona ni uchaguzi wa mwaka ujao tu
 
MM ndo mara ya kwanza naskia investor anasema "whatever ruto wants is what i will do" kwa kifupi nachokiona ni uchaguzi wa mwaka ujao tu
Kaka fuatilia kwa undani zaidi utaelewa. Media za Tanzania zipo kimya na hakuna anayeongelea hiyo refinery. Hata baada ya hotuba yake hapo bungeni hakuna mjadala wowote ulioendelea.

Eti wanasema watabeba mafuta na meli. Sijui watabeba mafuta na meli kutoka wapi.
Kenya is already dead.
 
Ni kweli unaouma, Ruto went to launch hot air sgr 😂😂 meanwhile Tanzania has the muscles to enter any world lenders and be respected to acquire funds to build thousands of electric SGR, ninyi na hiyo medieval railway yenu ya 10 meters mmezunguka duniani kote hakuna wa kuwapa cent! Now you see how your GDP propaganda is bulshit!


View: https://youtu.be/4GbSW1_4jrE?si=3ucAcvSx_aR8xjGw

Mambo ya refinery umeachana nayo tena?🤣🤣😂🤣
 
Geza unata tufanyeje na mwenye pesa kashasema anataka Mombasa? But naona Ruto akiikataa hii deal na akiinsist ijengwe tanga instead. Kenya hatunaga wivu na unafiki kama wenu
Sio issue ya wivu wala unafiki ni kwamba Ruto mwenyewe anaelewa EACOP haiwezi kutumika Kenya kwenye project inayoweza fanyika Tanzania na Tanzania as a shareholder akakubali, EACOP ingekua Kenya wala Tanzania isingekua anything to talk about!
Screenshot_20260511-134350.jpg
 
Kaka fuatilia kwa undani zaidi utaelewa. Media za Tanzania zipo kimya na hakuna anayeongelea hiyo refinery. Hata baada ya hotuba yake hapo bungeni hakuna mjadala wowote ulioendelea.

Eti wanasema watabeba mafuta na meli. Sijui watabeba mafuta na meli kutoka wapi.
Kenya is already dead.
kuna mtu kasema na galoons 🤣
 
We are currently discussing the Dangote refinery, ama SGR to Kisumu is also a component of that refinery?🤣🤣😂
unapelekea nan sasa Uganda anakaribia kumaliza ujenzi wa refinery yake, It wasnt called a train to no where for a reason
 
Sio issue ya wivu wala unafiki ni kwamba Ruto mwenyewe anaelewa EACOP haiwezi kutumika Kenya kwenye project inayoweza fanyika Tanzania na Tanzania as a shareholder akakubali, EACOP ingekua Kenya wala Tanzania isingekua anything to talk about! View attachment 3587043
Wanafikiri refinery ni kama kununua mtura! Uzuri Uganda wanajenga refinery yao na Ukunduni wakikataa ku-take part in a refinery in Tanga, wanaweza kuachwa.
 
Geza unata tufanyeje na mwenye pesa kashasema anataka Mombasa? But naona Ruto akiikataa hii deal na akiinsist ijengwe tanga instead. Kenya hatunaga wivu na unafiki kama wenu
Tuletee clip ya mwenye pesa akisema ansprefer msa,halafu iisue ya refinery kujengwa twnga TZ tuna plan muda mrefu wala eti si kwa sababu ruto,kunyan mbona mnajipa umuhimu sana!refinery tanga itajengwa kivyovyote na dangote au bila dangote
 
Back
Top Bottom