stakehigh
JF-Expert Member
- Aug 9, 2019
- 35,232
- 33,821
Goodluck in search for oilTalanta haitajengwa pia 🤣🤣🤣
Goodluck in search for oilTalanta haitajengwa pia 🤣🤣🤣
Yale yale ya bomba la mafuta la Uganda kwenda kenya ndio haya tena, tunamtanguliza mzembe kama kawaMkuu, in the end refinery itajengwa Tanga.. na isipojengwa Tz bhas hata ukunduni haitajengwa.
Karata hii ngoja tuone mwisho badala ya kuita jirani mtaita TanzaniaRuto aliwachezea karata of the century. 😂 😂 😂 Lakini Kasongo hua mjanja.
hehe ulitoa wap hii picha, looks like katoka kupigwa
Watu wa mdomo kubwa bwana. 😂😂😂 mafuta ya Uganda, anaijipa umuhimu Kenya, yeye kutwa kuzurura kuelezea habari ambazo yeye hazimuhusu kabisa. Uamuzi wa huu mjadala ni wa kati ya Tz, UG na Dangote.. nyie endeleeni kujitia tia tu kama ushuzi wa ngomani.Even Dangote knows Kenya is more economically superior than Bongo … his words not mine…
View attachment 3586559
Uwanja ushaanza kuchukua taswira yake. View attachment 3586592.. 👇🏾
View: https://vt.tiktok.com/ZS9cMwa5W/.



Waliwela wao wenyewe humu JF. Walikuwa wanajionesha maisha yao. Tunapicha zao zotehehe ulitoa wap hii picha, looks like katoka kupigwa