ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
jamaa anafanya kazi vibaya sana yani anaibadilisha nchi usiku na mchana😀😀😀😀😀PR kuwahadaa mwanainchi.
jamaa anafanya kazi vibaya sana yani anaibadilisha nchi usiku na mchana😀😀😀😀😀PR kuwahadaa mwanainchi.
Sijui ni ubishi unatafuta ila I hope unajua kua hiyo ipo nje ya washington DC. infact ipo virginia.Interstate 495 interchange ipo pale DC wapi ya LDC hata kamoja tuu?
Lugha ya malkia ngumu kweli kweli,ni hivi umeme wa gridi ya taifa umewafikia wananchi kwa 70% lakini waliomudu kuunga huo umeme ni 30-35& .Tofautisha kati ya connectivity na accessibilityKwa hivyo serikali yenu ni waongo sivyo? Why is it so easy for you to believe a newspaper and not your government? Serikali yenu imesema connectivity stands at 30% at the moment and hopes to connect 50% of Tanzanians by 2025. Sasa hii 70% hayo majarida katoa wapi? Your government says haijaconnect hata 50% ya raia na wengine hapa wanatoa data za 70% za uchwara. Mimi najua asilimia 30 ya watanzania ndo wako na umeme kwa sababu serikali yenu ndio imesema. Link ndio hii hapa usome kwa mara ya pili
Tanzania - Energy | export.gov
Interstate 495 interchange ipo pale DC wapi ya LDC hata kamoja tuu?
Hapa tunaelimishana if you are willing to learn, Interstate 495 interchange ipo Virginia kati ya 495, 395 na 95 (palipozungushiwa red). Sasa angalia boundary ya DC ilipoishia (pointer). Kwa kifupi ni kwamba DC haina interchange.Sijui ni ubishi unatafuta ila I hope unajua kua hiyo ipo nje ya washington DC. infact ipo virginia.
Dodoma yenyewe inakaa kichaka unajenga stadium kubwa...misplaced priorities
sent from iPhone 7
Basi mwambie Uhuru aongee na Rais Magufuli uwanja ajenge Nairobi,maana nyie kila kitu kizuri kijengwe mjini
Umeanza jishtukia sasa kwani nani kasema wewe tajiri?Nani alikuambia mimi maskini?
Washington INA stadium ya 92kKwaiyo airport na interchange ndo kipimo cha mji? Washington DC inayo airport sawa na Nairobi, je ina interchange kama Nairobi? Kama haina, basi kwa mtazamo wako Nairobi imeipiku mji mkuu wa marekani!!
najua ulikua hujui huu hapa uwanja wa kisasa ukijengwa mbeya hahaha😀😀😀😀
na ujenzi umeshaanza angalia video hio
World bank wamepika data Haiwezekani Kenya isiwe top 5Tutaelewana tu![]()

Nairobi hakuna uswahilini?Africa Ni ileile acheni kujitekenya
Umeibukia wapi na wewe?! Fatilia mtiririko wa hoja. Vinginevyo utakua unajaribu kufuta mada kwa kuanzisha nyingine. I wount hold it agaist you.Washington INA stadium ya 92k
sent from iPhone 7
Naona umeona hapo pamepangika vizuri hadi ukaconfuse na cbd. Ndugu yangu, hapo siyo cbd ila it's a typical nairobi estate. Hivo ndo residential estates za nairobi hukaa, sio zile uchafu niliona hapo awali ikionyehwa hapa. Hizo ni ng'ombe za maasai amabao wanazunguka na ng'ombe zao katika mitaaa za Nairobi, especially kule maeneo za eastlands. Nairobi was originally a maasai land if you didn't know. Even the name Nairobi was coined from a maasai word.Huku tumezoea kuwaona na ng'ombe zao so si ajabuDaah aisee hii Nairobi wanayoisifia ni uchafu mputu.. Wanaionyesha APA AljazeeraNow.. I can't believe eti wameomba kipindi kuonyesha uchafu huu..
![]()
Ni lini Ulimshuhudia ngombe akitembea CBD Dar![]()
Pakawaida sana kijana...Ata usijifunue kwamba ni pazuri sijui estateNaona umeona hapo pamepangika vizuri hadi ukaconfuse na cbd. Ndugu yangu, hapo siyo cbd ila it's a typical nairobi estate. Hivo ndo residential estates za nairobi hukaa, sio zile uchafu niliona hapo awali ikionyehwa hapa. Hizo ni ng'ombe za maasai amabao wanazunguka na ng'ombe zao katika mitaaa za Nairobi, especially kule maeneo za eastlands. Nairobi was originally a maasai land if you didn't know. Even the name Nairobi was coined from a maasai word.Huku tumezoea kuwaona na ng'ombe zao so si ajabu
That's Dar's middle class neighbourhood. The equivalent of Donholm, Umoja or Buru Buru in eastlands. This is just pathetic. After seeing this, huu mjadala hata haufai. These two cities are not on the same level. The picture above looks like that of one of the estates in my rural town, Migori. heheheweh
....I can imagine the disaster when you are trying to get to your house when it rains.......for a middle class neighbourhood by daresalaam standards
Daah aisee hii Nairobi wanayoisifia ni uchafu mputu.. Wanaionyesha APA AljazeeraNow.. I can't believe eti wameomba kipindi kuonyesha uchafu huu..
![]()
Ni lini Ulimshuhudia ngombe akitembea CBD Dar![]()
Nairobi hawana interchange, wala hawajui maana yake, kabla ya kusikia Tanzani inajenga interchange, walikuwa hawajawahi kutamka hicho kitu, waliposikia inajengwa Dar, wakachagua pale kwenye junction wakapaita interchange, wasubiri hii ikamilike ndiyo waje waone maana halisi ya interchange, hii tunayojenga hapa is one among the cheapest and simply interchange ukilinganisha na zile za Japan na South Africa, lakini itatugharimu $90M, hicho wanachoita interchange hapo Nairobi hata $200,000 hakikumaliza.kwani nairobi kuna interchange? labda interchange iwe imekosa maana halisi, hakuna interchange nairobi
Ni pazuri kwa sababu estates zenu hazifanani hivyo. One of your fellows even confused the place with cbd. Hiyo ndio taswira ya estates za Nairobi, sio zile uchafu niliona zikionyeshwa hukuPakawaida sana kijana...Ata usijifunue kwamba ni pazuri sijui estate
But why.. How??? I still don't understand.. Inakuaje MTU achunge ngombe mjini? Kuna mapori gani ya kufanya ngombe ashibe? So what you trying to say ni kwamba Nairobbery ni pori la akiba sio?Naona umeona hapo pamepangika vizuri hadi ukaconfuse na cbd. Ndugu yangu, hapo siyo cbd ila it's a typical nairobi estate. Hivo ndo residential estates za nairobi hukaa, sio zile uchafu niliona hapo awali ikionyehwa hapa. Hizo ni ng'ombe za maasai amabao wanazunguka na ng'ombe zao katika mitaaa za Nairobi, especially kule maeneo za eastlands. Nairobi was originally a maasai land if you didn't know. Even the name Nairobi was coined from a maasai word.Huku tumezoea kuwaona na ng'ombe zao so si ajabu

