Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

sasa inaonyesha uchumi wa dodoma ni kidogo sana..alafu fala anajenga stadium ya 90k pple ..ujinga mtupu
Hiyo ndiyo ujue Tanzania sio level yenu, wakati ninyi hamna uwanja wowote wa maana nchi nzima, huku tunashusha uwanja wa pili, tukimaliza tunakuja Arusha, tunajenga wenye capacity ya watu 150,000
 
sasa inaonyesha uchumi wa dodoma ni kidogo sana..alafu fala anajenga stadium ya 90k pple ..ujinga mtupu
kua na interchange haihusiani na uchumi tunajenga kwasababu shuguli za kiserekali na serekali yenyewe itakua huko so tulia ndugu tunaangalia 40yrs not 5 yrs
 
sawa
Hiyo ndiyo ujue Tanzania sio level yenu, wakati ninyi hamna uwanja wowote wa maana nchi nzima, huku tunashusha uwanja wa pili, tukimaliza tunakuja Arusha, tunajenga wenye capacity ya watu 150,000
mzijenge kabsa kama itawaongezea GDP ni sawa..ata mkitaka kujenga ya 1 million mbeya ni sawa pia
 
Hiyo ndiyo ujue Tanzania sio level yenu, wakati ninyi hamna uwanja wowote wa maana nchi nzima, huku tunashusha uwanja wa pili, tukimaliza tunakuja Arusha, tunajenga wenye capacity ya watu 150,000
na hapo usisahau yanga na simba wanajenga viwanja vyao vya kuchukua watu 40k na azam ameanza phase two ya uwanja wake😀😀😀😀
 
kua na interchange haihusiani na uchumi tunajenga kwasababu shuguli za kiserekali na serekali yenyewe itakua huko so tulia ndugu tunaangalia 40yrs not 5 yrs
interchange inaonyesha magari ni mingi ..magari hutokana na uchumi kupanuka.....mombasa,kisumu,nakuru zina interchanges 4,2,2 repectively ...eldoret,kericho ina interchange moja moja kusaidia katika traffic
 
interchange inaonyesha magari ni mingi ..magari hutokana na uchumi kupanuka.....mombasa,kisumu,nakuru zina interchanges 4,2,2 repectively ...eldoret,kericho ina interchange moja moja kusaidia katika traffic
narudia tena kukwambia interchange haihusiani na uchumi dodoma inabarabara nyingi sana zinazotosheleza mji so hatuhitaji kupoteza pesa kueka interchange
 
sawa

mzijenge kabsa kama itawaongezea GDP ni sawa..ata mkitaka kujenga ya 1 million mbeya ni sawa pia
Sisi tunachothamini ni kujenga nchi, tuwe na barabara, viwanja vya mpira, viwanja vya ndege, Hospitali bora, umeme kwa wananchi wote, uhakika wa chakula na usalama kwa raia wetu, ninyi endeleeni kuimba GDP pekee
 
interchange inaonyesha magari ni mingi ..magari hutokana na uchumi kupanuka.....mombasa,kisumu,nakuru zina interchanges 4,2,2 repectively ...eldoret,kericho ina interchange moja moja kusaidia katika traffic
Hamjawahi kuwa na interchange hata moja, hata Nairobi haina interchange, subiri Ubungo interchange ikimalizika utakuja kuona na kujua maana ya interchange ninini?, Ethiopia wanayo moja na Ghana ipo moja, hata Nigeria ambao idadi yake ya magari ni zaidi ya idadi ya population ya Kenya lakini hawajajenga interchange, hujui kabisa maana ya interchange unajisemea tu, vile vi cross over roads ndiyo unaita interchange...wewe kweli chang'aa imekuvuruga kichwa
 
Sh32 billion poultry project in the offing


66FC5136-AA54-45B4-95A0-680844FCEF64.png
 
Hamjawahi kuwa na interchange hata moja, hata Nairobi haina interchange, subiri Ubungo interchange ikimalizika utakuja kuona na kujua maana ya interchange ninini?, Ethiopia wanayo moja na Ghana ipo moja, hata Nigeria ambao idadi yake ya magari ni zaidi ya idadi ya population ya Kenya lakini hawajajenga interchange, hujui kabisa maana ya interchange unajisemea tu, vile vi cross over roads ndiyo unaita interchange...wewe kweli chang'aa imekuvuruga kichwa
hatajua kwasababu hapendi kukubaliana na ukweli
 
Back
Top Bottom