joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,111
- 46,621
Jana tuliwaonyesha mtandao wa barabara za Tanzania ulivyouzidi wa Kenya, August mwaka huu tunafungua Airpot kubwa kuliko zote within EAC, November Magufuli alifungua Hospitali ya kisasa zaidi in East and Central Africa, ujenzi wa Bagamoyo port, the biggest port in Africa umeanza, electrical SGR ujenzi unaendelea kwa kasi, tenda za mradi mkubwa wa umeme wa 2100MW zimetangzwa, nchi gani zaidi yeye miradi mingi ya infrastructure zaidi ya Tanzania?nani asiejenga infastructure we unafkiri tanzania imekaa tu haijengi barabara😀😀😀😀😀