instanbul
JF-Expert Member
- Jun 26, 2016
- 12,544
- 19,491
Mbona pazuri mpaka nyumba za tofali ,zina umeme hata rangi zimepigwa hujui slums wewe hizo sio slum useme tu nyumba hazijapangiliwa huwezi linganisha na za kibera kumbe mko washamba sana
Mbona pazuri mpaka nyumba za tofali ,zina umeme hata rangi zimepigwa hujui slums wewe hizo sio slum useme tu nyumba hazijapangiliwa huwezi linganisha na za kibera kumbe mko washamba sana
Siongelei sportpesa naongelea ujenzi was stadium dodomaWapi niliposema 90k stadium? Nimesema wanadhamini timu na kukarabati viwanja
Kama huo ndio mzuri kweli dar is slumMbona pazuri mpaka nyumba za tofali ,zina umeme hata rangi zimepigwa hujui slums wewe hizo sio slum useme tu nyumba hazijapangiliwa huwezi linganisha na za kibera kumbe mko washamba sana
Leta kibera au mathare yakoKama huo ndio mzuri kweli dar is slum
Kabisa unaamini kwamba sijui jina la eneo husika?hehehe chattle tena😀😀😀😀😀 hakuna sehemu tanzania inaitwa chattle hakuna, sehemu inaitwa chato pole sana bro😛😛😛😛😛
Sisi tunauhitaji sana huu Uwanja.. Sanaa.. Ni moja ya kuupa hadhi mji mkuu Wa Dodoma.. Na kujenga UltraModen stadiums ni Project ya nchi ni kwa Kwamba there's limited fund kwa sasa ndo maana tunaenda polepole.. Kuhamia Dodoma kumechukua Ma trillion ya Pesa na ndio no 1 country's Project..Siongelei sportpesa naongelea ujenzi was stadium dodoma
32 billion ya tanzania?
Hapana copy Nairobi chooboy utapasuka msamba.kwan serekali ya kenya ilioko nairobi si kila kitu kiko nairobi, ongea kitu ukiwa na uelewa mrefu,
sisi hatujengi kitu kiluangalia miaka 5 tunajenga kuangalia miaka 40 mbele, we unafkiri serekali ikishahakia dodoma fursa zote zi kiserekali zinahamia dodoma, balozi zitakua dodoma etc
After all is said and done hali halisi ya mambo ndo hii hapa
Tanzania - Energy | export.gov
The above information is from your government. Mnazalisha 1500MW and only 30% of bongolalas are connected to electricity. Thst is the bitter truth however much you don't want to talk about it here
kucopy nini???😀😀😀😀😀fungukaHapana copy Nairobi chooboy utapasuka msamba.
how do u see, 16m usd😀😀😛😛Hapana copy Nairobi chooboy utapasuka msamba.
Hahaha HahahahaMuda mfupi baadae Tutakua tunakimbizana na World's Giant Stadiums Kama Wembley, tutaachana na hawa ndugu zetu Dreamers
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Weka hizo U/C basi.Nilikuambia uwe unajielimisha kwanza kabla ya kuandika kitu, usichanganye kati ya project U/C na white elephant project, jielimishe kwanza
Nisichoelewa ni vipi itakuwa na faida kwa serikali wakati hiyo dodoma haina hata uwanja wa ndegewewe huo uwanja unakuumia nini??? ushaambiwa serekali imeanza kuhamia dodoma sasa hapo usichoelewa ni nini??
That is like 160 million kenya shillings. Hana hata aibu akitaja miradi za peni mbili hapa32 billion ya tanzania?
Kwa hivyo serikali yenu ni waongo sivyo? Why is it so easy for you to believe a newspaper and not your government? Serikali yenu imesema connectivity stands at 30% at the moment and hopes to connect 50% of Tanzanians by 2025. Sasa hii 70% hayo majarida katoa wapi? Your government says haijaconnect hata 50% ya raia na wengine hapa wanatoa data za 70% za uchwara. Mimi najua asilimia 30 ya watanzania ndo wako na umeme kwa sababu serikali yenu ndio imesema. Link ndio hii hapa usome kwa mara ya pili
Hii ndio Dar es salaam inayopambaniswa na Nairobi? Ole wangu. sijaamini hizi ndizo mitaa za Dar. Kusema tu ukweli, apart from slums za Nairobi, huwezi pata sehemu inafanana hivi Nairobi. This is what they want us to believe is superior to Nairobi! Hahaha nimedharau huu mji wenu sana. No wonder when we ask them to show us aerial photos of their residential areas wanabaki wakitapatapa tu. To be honest, it will take dar a million years to reach the level of Nairobi if what I have seen here is true