Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Old glories! Those days are long gone 🚮
The days can't be gone when 99% of Kenyan export to Vumbistan is industrialized goods while Vumbistan only export raw materials to Kenya.

Now tell me, between the two which one is industrialized and which one is still in agrerian revolution?
 
Za mirungi?
Em nioneshe your industry sector contribution to the GDP nicheke kidogo
You want me to discuss matters GDP with your tiny GDP? Are you aware that the gap between Kenyan GDP and Tanzania is $50B?
 
Kisumu, Kenya's third City.

Vumbistan kupata barabara kama hizi lazima uende Dar is slum.

1000070095.jpg
 
Are you aware that 70% of Tanzanians live in slums?
Sio kweli, miji ya Tanzania mingi haina slums, na slums zinapatikana kwenye urban areas tu
Huwezi kuniambia kwamba more than 70% of Tanzanians are living in urban areas. Huu ni uongo wa wazi kabisa. Achana na data fake
 
Kuna huu mji unaitwa Katoro upo Geita, sidhani hata kama unafika population ya 60,000 people lakini most ya makazi ya watu yapo hivi
Halafu kuna mtu anakuambia 70% ya Watanzania wanaishi kwenye slums wakati Watanzania wanaoishi urban areas (let alone slums) hawafiki hata nusu ya hiyo 70%
FB_IMG_1756881590010.jpg
 
Back
Top Bottom