Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

downtown inanuka mavi 😂😂😂🙌🏻


IMG_8879.jpeg
IMG_8878.jpeg
 
Hii ndo difference ya vision na kukimbizana na congestion. Sisi tukijenga uwanja maporini tunapanua mji, kesho na kesho kutwa barabara, shule, hospitals, na makazi yanajengwa hapo, mji unakua. Huko kwenu hamna option hiyo, mnaanza tu kuzungusha mabanda hadi yaitwe ‘estate’. 😂

Arusha yenyewe tayari ni tourist hub ya East Africa, sasa ongeza Samia Stadium hapo porini—ndiyo namna miji inakuwa planned na smart. Huko kwenu mkijaribu kujenga uwanja mpya lazima mtoe watu kwa slums kwanza. Hata hiyo affordable housing mnayoita miracle ni slum upgrade tu 🚮🚮
Insha refu ya nini? If you knew kujenga uwanja porini ni kupanua mji, wala hamgejenga Makwapa in the middle of a slum. Mngeijenga kule Mvuti kando ya mashamba ya mihogo
Screenshot_20241018-172414_043910.png
 
Insha refu ya nini? If you knew kujenga uwanja porini ni kupanua mji, wala hamgejenga Makwapa in the middle of a slum. Mngeijenga kule Mvuti kando ya mashamba ya mihogoView attachment 3478497
Hiyo unayoita slum ni nothing tu mbele ya slums za huko Kenya. Hivi binadamu mwenye akili timamu anawezaje kuishi Kibera?
 
How would you understand it when you call it kalavati? Hiyo kalavati ndio hamna kwa sasa. Mubahatike mpate leo hiyo kalavati kelele mtapiga usiku na mchana humu ndani vile mnajenga infrastructure za kimkakati!

Viumbe vya ajabu sana
Sisi na nyinyi nani ni wapiga kelele? Watz tuna miradi mikubwa ambayo nyie hamna na hamuwezi kuwa nayo kwa miaka 100 inayokuja, lkn tunaonesha mara moja then tunafunga story, nyinyi hamna mradi wowote mkubwa mnaofanya but hyo hyo midogo midogo mnayofanya mnapiga kelele kiasi kwamba mtu wa nje akija anaweza akasema kenya inaizidi Tz kwa miradi mikubwa. Wacheni kelele pambaneni mfike pale sisi tupo then ndiyo mpige kelele.
 
Sisi na nyinyi nani ni wapiga kelele? Watz tuna miradi mikubwa ambayo nyie hamna na hamuwezi kuwa nayo kwa miaka 100 inayokuja, lkn tunaonesha mara moja then tunafunga story, nyinyi hamna mradi wowote mkubwa mnaofanya but hyo hyo midogo midogo mnayofanya mnapiga kelele kiasi kwamba mtu wa nje akija anaweza akasema kenya inaizidi Tz kwa miradi mikubwa. Wacheni kelele pambaneni mfike pale sisi tupo then ndiyo mpige kelele.
Eti tufike mahali mpo? 😂😂😂 Wewe kojoa ulale....oops sorry, I forgot you are a watchman!!
 
😂😂😂😂😂😂

Eti hampumziki how many projects tumepiga ambazo hamuwezi zifikia hata Robo.

Tuanze na

JNHPP

Ndio uturingie haka kakalavati seriously
You will never build such things in Tanzania.
 
Back
Top Bottom