ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Insha refu ya nini? If you knew kujenga uwanja porini ni kupanua mji, wala hamgejenga Makwapa in the middle of a slum. Mngeijenga kule Mvuti kando ya mashamba ya mihogoHii ndo difference ya vision na kukimbizana na congestion. Sisi tukijenga uwanja maporini tunapanua mji, kesho na kesho kutwa barabara, shule, hospitals, na makazi yanajengwa hapo, mji unakua. Huko kwenu hamna option hiyo, mnaanza tu kuzungusha mabanda hadi yaitwe ‘estate’. 😂
Arusha yenyewe tayari ni tourist hub ya East Africa, sasa ongeza Samia Stadium hapo porini—ndiyo namna miji inakuwa planned na smart. Huko kwenu mkijaribu kujenga uwanja mpya lazima mtoe watu kwa slums kwanza. Hata hiyo affordable housing mnayoita miracle ni slum upgrade tu 🚮🚮
Za mirungi?We have thousands of these huku Kenya, that's why Kenya is the most industrialized country in East Africa.
😂😂😂😂 hamuna hela mbwa nyinyiNa itashuka zaidi.
Hiyo unayoita slum ni nothing tu mbele ya slums za huko Kenya. Hivi binadamu mwenye akili timamu anawezaje kuishi Kibera?Insha refu ya nini? If you knew kujenga uwanja porini ni kupanua mji, wala hamgejenga Makwapa in the middle of a slum. Mngeijenga kule Mvuti kando ya mashamba ya mihogoView attachment 3478497
Picha ya kabla ya upanuzi wa hii Barabara. Siku hiz wamefikia pazuri. Next year utapakimbiaKama Alaska mwanangu, cheki Hilo vumbi tu 🔥🔥🔥😍👇
View attachment 3476742
Kuna nyingine iko singida. Tena ni ndefu na ziko mbiliHizo hadi Kigoma ipo. 😂😂😂
View attachment 3478402
Sisi na nyinyi nani ni wapiga kelele? Watz tuna miradi mikubwa ambayo nyie hamna na hamuwezi kuwa nayo kwa miaka 100 inayokuja, lkn tunaonesha mara moja then tunafunga story, nyinyi hamna mradi wowote mkubwa mnaofanya but hyo hyo midogo midogo mnayofanya mnapiga kelele kiasi kwamba mtu wa nje akija anaweza akasema kenya inaizidi Tz kwa miradi mikubwa. Wacheni kelele pambaneni mfike pale sisi tupo then ndiyo mpige kelele.How would you understand it when you call it kalavati? Hiyo kalavati ndio hamna kwa sasa. Mubahatike mpate leo hiyo kalavati kelele mtapiga usiku na mchana humu ndani vile mnajenga infrastructure za kimkakati!
Viumbe vya ajabu sana
That's what it is. Kama sio hiyo uwanja kuonekana hapo si ungesema hapo sio Dar?Hiyo unayoita slum ni nothing tu mbele ya slums za huko Kenya. Hivi binadamu mwenye akili timamu anawezaje kuishi Kibera?
Eti tufike mahali mpo? 😂😂😂 Wewe kojoa ulale....oops sorry, I forgot you are a watchman!!Sisi na nyinyi nani ni wapiga kelele? Watz tuna miradi mikubwa ambayo nyie hamna na hamuwezi kuwa nayo kwa miaka 100 inayokuja, lkn tunaonesha mara moja then tunafunga story, nyinyi hamna mradi wowote mkubwa mnaofanya but hyo hyo midogo midogo mnayofanya mnapiga kelele kiasi kwamba mtu wa nje akija anaweza akasema kenya inaizidi Tz kwa miradi mikubwa. Wacheni kelele pambaneni mfike pale sisi tupo then ndiyo mpige kelele.
You will never build such things in Tanzania.😂😂😂😂😂😂
Eti hampumziki how many projects tumepiga ambazo hamuwezi zifikia hata Robo.
Tuanze na
JNHPP
Ndio uturingie haka kakalavati seriously