Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 34,097
- 32,918
Tatizo la hawa nyang'au wanafikiri maghorofa (ingawa wao wenyewe hawaishi humo) ndio 'maendeleo' ya kujivunia😎
Cc: Mimi Wewe Yule
Hiyo unayoita slum ni nothing tu mbele ya slums za huko Kenya. Hivi binadamu mwenye akili timamu anawezaje kuishi Kibera?Insha refu ya nini? If you knew kujenga uwanja porini ni kupanua mji, wala hamgejenga Makwapa in the middle of a slum. Mngeijenga kule Mvuti kando ya mashamba ya mihogoView attachment 3478497
Picha ya kabla ya upanuzi wa hii Barabara. Siku hiz wamefikia pazuri. Next year utapakimbiaKama Alaska mwanangu, cheki Hilo vumbi tu 🔥🔥🔥😍👇
View attachment 3476742
Kuna nyingine iko singida. Tena ni ndefu na ziko mbiliHizo hadi Kigoma ipo. 😂😂😂
View attachment 3478402
Sisi na nyinyi nani ni wapiga kelele? Watz tuna miradi mikubwa ambayo nyie hamna na hamuwezi kuwa nayo kwa miaka 100 inayokuja, lkn tunaonesha mara moja then tunafunga story, nyinyi hamna mradi wowote mkubwa mnaofanya but hyo hyo midogo midogo mnayofanya mnapiga kelele kiasi kwamba mtu wa nje akija anaweza akasema kenya inaizidi Tz kwa miradi mikubwa. Wacheni kelele pambaneni mfike pale sisi tupo then ndiyo mpige kelele.How would you understand it when you call it kalavati? Hiyo kalavati ndio hamna kwa sasa. Mubahatike mpate leo hiyo kalavati kelele mtapiga usiku na mchana humu ndani vile mnajenga infrastructure za kimkakati!
Viumbe vya ajabu sana
That's what it is. Kama sio hiyo uwanja kuonekana hapo si ungesema hapo sio Dar?Hiyo unayoita slum ni nothing tu mbele ya slums za huko Kenya. Hivi binadamu mwenye akili timamu anawezaje kuishi Kibera?
Eti tufike mahali mpo? 😂😂😂 Wewe kojoa ulale....oops sorry, I forgot you are a watchman!!Sisi na nyinyi nani ni wapiga kelele? Watz tuna miradi mikubwa ambayo nyie hamna na hamuwezi kuwa nayo kwa miaka 100 inayokuja, lkn tunaonesha mara moja then tunafunga story, nyinyi hamna mradi wowote mkubwa mnaofanya but hyo hyo midogo midogo mnayofanya mnapiga kelele kiasi kwamba mtu wa nje akija anaweza akasema kenya inaizidi Tz kwa miradi mikubwa. Wacheni kelele pambaneni mfike pale sisi tupo then ndiyo mpige kelele.
You will never build such things in Tanzania.😂😂😂😂😂😂
Eti hampumziki how many projects tumepiga ambazo hamuwezi zifikia hata Robo.
Tuanze na
JNHPP
Ndio uturingie haka kakalavati seriously
That's an underground tunnel. The only one in entire Africa.Kwani kuwa nayo kuna umhimu gani comparing vile ambavyo tunavyo na kwenu ni ndoto.
Like seriously calavati?
Kwamba singapooor inaringia kalavati
Show us the picture. That underground tunnel is the only one in entire Africa.Nenda Kariakoo kama unataka kutembea chini chini
The days can't be gone when 99% of Kenyan export to Vumbistan is industrialized goods while Vumbistan only export raw materials to Kenya.Old glories! Those days are long gone 🚮
Yet you don't have such in your country.Are you stupid or something your whole damn country this shit ndio ya kuringia?
BRT project can't even get to half the value of Kasarani Stadium renovation.BRT Project values more than your affordable housing project.
You want me to discuss matters GDP with your tiny GDP? Are you aware that the gap between Kenyan GDP and Tanzania is $50B?Za mirungi?
Em nioneshe your industry sector contribution to the GDP nicheke kidogo
Are you aware that 70% of Tanzanians live in slums?Hiyo unayoita slum ni nothing tu mbele ya slums za huko Kenya. Hivi binadamu mwenye akili timamu anawezaje kuishi Kibera?
Itawachukua miaka 100 kucatch up na Tanzania kwenye industrialization, fake paper economyYou want me to discuss matters GDP with your tiny GDP? Are you aware that the gap between Kenyan GDP and Tanzania is $50B?