Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 72,895
- 103,759
1.4K views · 71 reactions | Meli kubwa ya mizigo na abiria ya MV Mwanza imefanya safari yake ya majaribio ya masafa marefu kutokea Mwanza kwenda Kagera na kufanikiwa kutia nanga bandari ya Bukoba na kupokelewa kwa shangwe na wakazi wa Bukoba. #jamho
Meli kubwa ya mizigo na abiria ya MV Mwanza imefanya safari yake ya majaribio ya masafa marefu kutokea Mwanza kwenda Kagera na kufanikiwa kutia nanga bandari ya Bukoba na kupokelewa kwa shangwe na...