Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Yani hawa wasenge wangejua jinsi ninavyoombea Azam asitishe mkataba wa kudhamini ligi yao hata wasingeongea, mana kiukweli Azam kaenda kuwaamsha kwenye usingizi mzito, Azam aachane nao hawa mbwa.
Kabla ya ujio wa Azam Tv, michezaji yao ikiombwa videos zao wakiwa wanacheza uwanjani kwa ajili ya mawakala na makocha wa timu mbalimbali kuangalia viwango na skills zao walikuwa hawana videos. 😂😂😂
Ilikuwa ukitaka kuona kiwango cha mchezaji wao itakulazimu uende uwanjani kuwatizama.

Hizi kondoo za humu hawana akili ndio maana hawaoni umuhimu wa Azam Tv.

Wachezaji na wapenda mpira wanafahamu umuhimu wa Azam Tv achana na hawa kondoo wa wivu, chuki na ujinga.
 
Wakatengeneza na coalition of willing. Ati Tanzania anawechelewesha na ni sleeping Giant na wako slow.


Trust me, Rwanda ataunganisha SGR yake Tz ni suala la Muda tu.
Ngoja Barabara ya Rusumo to Lusahunga iishe, ndo kabisa wataamia milele Tz.
mizigo ya Rwanda na Burundi mingi siku hizi inapitia Tanga port amayo ni karibu. wakipitishia mombasa inabidi ipite Tanzania tena gharama inakuwa kubwa na route ya Uganda ni ndefu pia hawana choice.
 
Hao wamekwambia wana maisha magumu??
Jamii kama hizo ziko kila mahali ni cultural conservatives hawabadiliki they like their tradition. Huko australia utawakuta Aborigines, US utawakuta Red Indians, Brazil utawakuta Yanomamo na Katapo Amazon forest. Hata huko kwenu kuna Samburu people tunawajua vizuri tuu.
 
Mbeya, Tanzania 🇹🇿
FzdYBNZWAAAG6Zm.jpeg
PXL_20240831_092049812.jpg
 
Usiwe unasahau kumeza methadone makuView attachment 3474281
These guys are really dirty inaelekea hata miili yao itakuwa michafu sana sio kwa mazingira hayo uchafu everywhere. ingekuwa uchafu huu uko kibera ama kwenye slums nyingine ingekuwa understandable lakini literally uchafu uko everywhere mpaka CBD.
 
🤭🤭🤣🤣njooni muone, zeruzeru amewakaribisha pale Newyork city before atimuliwe arudishwe kwao yemen. Cheki BRT baby!🤣🤭🙌View attachment 3474298View attachment 3474300View attachment 3474301View attachment 3474302View attachment 3474303View attachment 3474305View attachment 3474306View attachment 3474308
Mbona unaweka picha ambazo barabara imefumuliwa iko kwenye construction phase? weka mahali ambapo hapana construction activity
 
Kila siku tunakumbushwa hapa vile Dar ni kubwa. Ukubwa wake sasa leo imekuwa sumu tena, haaitambuliki. Nyinyi ni viumbe vya ajabu sana!
Kigamboni ni new municipality, ambayo imejengeza at least nusu tu.

Huko Kimbiji ni mbali sana kiasi kwamba bado ni kijijini watu wanalima mashamba tu.

Na kwasaaa watu wanajemga Coast, around Vikindu, Bagamoyo, Kibaha tofauti na Kigambani ambako wengi wanaona kwro kutumia ferry au kulipia toll bridge, Nyerere.
 
Kigamboni ni new municipality, ambayo imejengeza at least nusu tu.

Huko Kimbiji ni mbali sana kiasi kwamba bado ni kijijini watu wanalima mashamba tu.

Na kwasaaa watu wanajemga Coast, around Vikindu, Bagamoyo, Kibaha tofauti na Kigambani ambako wengi wanaona kwro kutumia ferry au kulipia toll bridge, Nyerere.
Unaandika insha reeefu just to avoid a simple yes or no answer to a simple question. Is Kigamboni in Dar es salaam? Yes or no
 
Yes, Kigamboni is in Dar es Salaam
So hiyo ndio ilikuwa unashindwa kukubali? And why were you denying that those pictures za sijui Kimbiji are not in Dar when Kimbiji is in Kigamboni?

Si Unaona mnayopenda mabishano za kijinga?
 
So hiyo ndio ilikuwa unashindwa kukubali? And why were you denying that those pictures za sijui Kimbiji are not in Dar when Kimbiji is in Kigamboni?

Si Unaona mnayopenda mabishano za kijinga?
Mimi nilikuwa sibishani na wewe. Ulikuwa unabishana na mtu mwingine actually
Nimekusaidia tu kuwa Kigamboni ipo Dar, ili nione your next move.
 
Mimi nilikuwa sibishani na wewe. Ulikuwa unabishana na mtu mwingine actually
Nimekusaidia tu kuwa Kigamboni ipo Dar, ili nione your next move.
You are all cut from the same piece of cloth. Wewe na yule mwingine hamna difference. Mabishano za kijinga tu to to appear to win an argument. The guy maintained Kigamboni haipo Dar just because of some bad pictures of Kigamboni that were posted here.
 
Back
Top Bottom