NairobiWalker
JF-Expert Member
- Oct 31, 2012
- 16,386
- 17,968
Oneni hii "ambulance" ya kisasa na aina yake ikitumika kule Dar wakati wa mkasa. Muathiriwa anabebwa kama gunia la mihogo🤣🤣🤣🤣
New York of Africa ina mambo 😂😂😂
View: https://x.com/Civil_officer/status/1857759496572998029?t=fvf5cbYXPAfNSMtHF-5ERQ&s=19
Yani unapata wabongo miaka nenda miaka rudi wanaishangaa ile Ambulance ya tuktuk ya Lamu utadhani kwao ambulance zote ni mercedes v class kumbe ni kitu cha kawaida sana kwao. Hawa jamaa ni professional pretenders.😂😂😂