Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

arusha-masai-featured-1536x908.jpg
Screenshot_20250917_191311_YouTube.jpg
🤭🤭'sie tume invest kwenye misingi'🤣🤣🫵shut up! 😂🙌...
 
zile kelele za kwamba Rwanda ni trading partner wao zi wapi?
Wakatengeneza na coalition of willing. Ati Tanzania anawechelewesha na ni sleeping Giant na wako slow.


Trust me, Rwanda ataunganisha SGR yake Tz ni suala la Muda tu.
Ngoja Barabara ya Rusumo to Lusahunga iishe, ndo kabisa wataamia milele Tz.
 
Screenshot_20250917_175625_Instagram.jpg
Screenshot_20250917_175637_Instagram.jpg
Screenshot_20250917_175748_Instagram.jpg
Screenshot_20250917_175708_Instagram.jpg

😍'Kenya kuna masai mara pekee yake' shut up!😂😂😂😂🫵
 
Hadi hii 2025 Kibera inatajwa kuwa moja ya slums kubwa sana duniani.
Singapore ina slums kuliko nchi yoyote East Africa isipokuwa tu raia wake wana kamdomo sana 😆😆

 
Hadi hii 2025 Kibera inatajwa kuwa moja ya slums kubwa sana duniani.
Singapore ina slums kuliko nchi yoyote East Africa isipokuwa tu raia wake wana kamdomo sana 😆😆

Today Kibera doesn't have 2.5 million people? Desperate times!🤣🤣
 
🤭😂😂😂Nicxie , imagine hii ndio wanatuambia ndio nchi pekee in the whole of Africa yenye asali na maziwa 🤭🙌...
Screenshot_20250917_211617_YouTube.jpg
Screenshot_20250917_211541_YouTube.jpg
Screenshot_20250917_211559_YouTube.jpg
Screenshot_20250917_211402_YouTube.jpg
 
Village life in Kenya is way worse than this
😂😂tofauti ya sisi na nyinyi nikuwa tunajua na tuna expose challenges zinazo face nchi yetu ili kupush serikali iwajibike, on the other hand nyinyi mko In denial mnaficha na hamkubali challenges mnazo pitia Kama nchi that's why hua mnapatwa na hasira nyingi sana mkiwa exposed. while sisi mki post mashida yetu hatustuki cause hizo habari ni sisi wenyewe tumezifuchua.
 
Back
Top Bottom