ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Sasa nimeelewa 😂😂😂Vlogger uyo asikusumbue, wakenya 90% wamekimbilia kazi ya kuwa vlogger baada ya ukosefu wa ajira kule kwao.
Hii ni Kigamboni, mbali kabisa Kimbiji.View attachment 3474013View attachment 3474014View attachment 3474015View attachment 3474016
🤣🤣🤣so haya ni madumu ya mafuta sio!? Watu wangu oneni madumu ya mafuta kule Newyork city with BRT😂😂😂😂🙌...
Main sponsor wa KPL ashasema more matches should be broadcasted at KBC because Kenyans lack Azam decoders. The writing is on the wall.
View: https://x.com/pepeta_ke/status/1967970553089708080?t=HubXxKTyPrIR0KwR6nvezA&s=19
Wakatengeneza na coalition of willing. Ati Tanzania anawechelewesha na ni sleeping Giant na wako slow.zile kelele za kwamba Rwanda ni trading partner wao zi wapi?
Sasa kwa vivutio vya utalii huwezi kufananisha kati ya Kenya na Tanzania. Tanzania ina vivutio vingi kuliko KenyaView attachment 3474171View attachment 3474172View attachment 3474173View attachment 3474174
😍'Kenya kuna masai mara pekee yake' shut up!😂😂😂😂🫵
www.habitatforhumanity.org.uk
Today Kibera doesn't have 2.5 million people? Desperate times!🤣🤣Hadi hii 2025 Kibera inatajwa kuwa moja ya slums kubwa sana duniani.
Singapore ina slums kuliko nchi yoyote East Africa isipokuwa tu raia wake wana kamdomo sana 😆😆
![]()
The World's Largest Slums: Dharavi, Kibera, Khayelitsha & Neza
While 5.7 million people live the five biggest slums in the world, this is only just a drop in the ocean. An estimated 1.6 billion...www.habitatforhumanity.org.uk