Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

imagine hii ni malaysia ya africa 😂😂
sisi nye nye nye




IMG_8667.jpeg
IMG_8668.jpeg
IMG_8669.jpeg
IMG_8670.jpeg
IMG_8671.jpeg
IMG_8672.jpeg
IMG_8673.jpeg
IMG_8674.jpeg
 
😂😂tofauti ya sisi na nyinyi nikuwa tunajua na tuna expose challenges zinazo face nchi yetu ili kupush serikali iwajibike, on the other hand nyinyi mko In denial mnaficha na hamkubali challenges mnazo pitia Kama nchi that's why hua mnapatwa na hasira nyingi sana mkiwa exposed. while sisi mki post mashida yetu hatustuki cause hizo habari ni sisi wenyewe tumezifuchua.
Toka mlipoanza kupush kitu gani kimebadilika,unga umeshuka bei?
Unemployment rate imeshuka?
Utitiri wa slums umepungua?
 

Attachments

  • Screenshot_20250917_220012_YouTube.jpg
    Screenshot_20250917_220012_YouTube.jpg
    279.6 KB · Views: 22
Back
Top Bottom