instanbul
JF-Expert Member
- Jun 26, 2016
- 12,544
- 19,491
Wanasemaga wana middle class kubwa kuliko nchi zote East Africa.Kumbe they can't afford Azam Tv! 😂😂😂
There is something fishy about their online statistics
Wanasemaga wana middle class kubwa kuliko nchi zote East Africa.Kumbe they can't afford Azam Tv! 😂😂😂
Village life in Kenya is way worse than this
Kibera ina watu 700,000. Na hiyo ni slum moja tu ***** 😆😆Today Kibera doesn't have 2.5 million people? Desperate times!🤣🤣
Hao wamekwambia wana maisha magumu??🤭😂😂😂Nicxie , imagine hii ndio wanatuambia ndio nchi pekee in the whole of Africa yenye asali na maziwa 🤭🙌...
View attachment 3474238View attachment 3474239View attachment 3474241View attachment 3474242
😂😂tofauti ya sisi na nyinyi nikuwa tunajua na tuna expose challenges zinazo face nchi yetu ili kupush serikali iwajibike, on the other hand nyinyi mko In denial mnaficha na hamkubali challenges mnazo pitia Kama nchi that's why hua mnapatwa na hasira nyingi sana mkiwa exposed. while sisi mki post mashida yetu hatustuki cause hizo habari ni sisi wenyewe tumezifuchua.Village life in Kenya is way worse than this
😂😂😂so mpwimbe, is kigamboni in and part of dar es salaam? Yes or no...Hii ni Kigamboni, mbali kabisa Kimbiji.
Kigamboni is almost equal in size with Nairobi county.
View attachment 3474122
Hii nzuri sana,binafsi nachukia sana kuonyesha ligi ya ukunyanMrudishieni Azam fedha zake plus damages! La sivyo another FIFA ban is on the cards!
Maku mbona watalii wenyewe atuwaoni kwenye picha zako?View attachment 3474166View attachment 3474167View attachment 3474168View attachment 3474169
😍😍🙌👏KE...'wakenya wanatuonea uwivu kwenye utaliii wetu,inatakiwa tuwabane'. shut up!😂😂🫵
Toka mlipoanza kupush kitu gani kimebadilika,unga umeshuka bei?😂😂tofauti ya sisi na nyinyi nikuwa tunajua na tuna expose challenges zinazo face nchi yetu ili kupush serikali iwajibike, on the other hand nyinyi mko In denial mnaficha na hamkubali challenges mnazo pitia Kama nchi that's why hua mnapatwa na hasira nyingi sana mkiwa exposed. while sisi mki post mashida yetu hatustuki cause hizo habari ni sisi wenyewe tumezifuchua.