Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

🤭😂😂😂Nicxie , imagine hii ndio wanatuambia ndio nchi pekee in the whole of Africa yenye asali na maziwa 🤭🙌...
Screenshot_20250917_211617_YouTube.jpg
Screenshot_20250917_211541_YouTube.jpg
Screenshot_20250917_211559_YouTube.jpg
Screenshot_20250917_211402_YouTube.jpg
 
Village life in Kenya is way worse than this
😂😂tofauti ya sisi na nyinyi nikuwa tunajua na tuna expose challenges zinazo face nchi yetu ili kupush serikali iwajibike, on the other hand nyinyi mko In denial mnaficha na hamkubali challenges mnazo pitia Kama nchi that's why hua mnapatwa na hasira nyingi sana mkiwa exposed. while sisi mki post mashida yetu hatustuki cause hizo habari ni sisi wenyewe tumezifuchua.
 
😂😂tofauti ya sisi na nyinyi nikuwa tunajua na tuna expose challenges zinazo face nchi yetu ili kupush serikali iwajibike, on the other hand nyinyi mko In denial mnaficha na hamkubali challenges mnazo pitia Kama nchi that's why hua mnapatwa na hasira nyingi sana mkiwa exposed. while sisi mki post mashida yetu hatustuki cause hizo habari ni sisi wenyewe tumezifuchua.
Toka mlipoanza kupush kitu gani kimebadilika,unga umeshuka bei?
Unemployment rate imeshuka?
Utitiri wa slums umepungua?
 
Back
Top Bottom