Usiwe unasahau kumeza methadone maku😂😂😂😂so nimakosa yangu umeshindwa kubadilisha kiatu?okay,tuliza tako, punguza hasira,Christmas imekaribia,ngojea zawadi watakupa kiatu kipya 😂😂😂🙌...
🤭😂😂😂Nicxie , imagine hii ndio wanatuambia ndio nchi pekee in the whole of Africa yenye asali na maziwa 🤭🙌...
View attachment 3474238View attachment 3474239View attachment 3474241View attachment 3474242
🤭🤭🤣🤣njooni muone, zeruzeru amewakaribisha pale Newyork city before atimuliwe arudishwe kwao yemen. Cheki BRT baby!🤣🤭🙌imagine hii ni malaysia ya africa 😂😂
sisi nye nye nye
View attachment 3474248View attachment 3474249View attachment 3474250View attachment 3474251View attachment 3474252View attachment 3474253View attachment 3474254View attachment 3474255
Answer the question bongolala.... Kibera leo haina 2.5 million people?Kibera ina watu 700,000. Na hiyo ni slum moja tu ***** 😆😆
That's pipeline estate, one of the areas in Nairobi considered a slum. Sasa linganisha na zile uswazi zenu. The difference is like heaven and earthwatalii wa singapore ya africa wakiwa wamepumzika kwenye bustani 😂😂😂
View attachment 3474269
Wapi nimesema Kibera ina watu 2.5M? Hata sielewi unaniuliza nini. Kibera ina watu 700,000 lakini kuna mamilioni ya wakazi wa Nairobi wanaoishi kwenye slums tofauti na Kibera maana Kenya slums mnazo nyingi tena za kutosha. Kibera ni trailer tu 😆😆Answer the question bongolala.... Kibera leo haina 2.5 million people?
utawaona ukishapata kiatu😀😭😭🤣....Maku mbona watalii wenyewe atuwaoni kwenye picha zako?
viatu vimepatikana huku😭😭🤣....Toka mlipoanza kupush kitu gani kimebadilika,unga umeshuka bei?
Unemployment rate imeshuka?
Utitiri wa slums umepungua?