Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi


Screenshot_20250917_223103_YouTube.jpg
Screenshot_20250917_223119_YouTube.jpg
Screenshot_20250917_223208_YouTube.jpg
Screenshot_20250917_223239_YouTube.jpg
Screenshot_20250917_223612_YouTube.jpg
Screenshot_20250917_223516_YouTube.jpg
Screenshot_20250917_223334_YouTube.jpg

🤭🤣🤣wow!👏👏nchi wa asali na maziwa with the best roads in Africa, wow!👏🤣😂🙌
 
Answer the question bongolala.... Kibera leo haina 2.5 million people?
Wapi nimesema Kibera ina watu 2.5M? Hata sielewi unaniuliza nini. Kibera ina watu 700,000 lakini kuna mamilioni ya wakazi wa Nairobi wanaoishi kwenye slums tofauti na Kibera maana Kenya slums mnazo nyingi tena za kutosha. Kibera ni trailer tu 😆😆
 
Screenshot_20250917_223757_YouTube.jpg
Screenshot_20250917_223914_YouTube.jpg

🤭🤭🤭ngojeni msikie muambiwe ni picha za 90s 😂😂😂barabara iko nyweeee👏👏😂😂😂😂best buses and transport in Africa🤭😂🙌
 
Ama hii ndio wanaita asali na maziwa kule Newyork city 🤭🤣🙌
Screenshot_20250917_214822_YouTube.jpg
Screenshot_20250917_214819_YouTube.jpg
 
Wapi nimesema Kibera ina watu 2.5M? Hata sielewi unaniuliza nini. Kibera ina watu 700,000 lakini kuna mamilioni ya wakazi wa Nairobi wanaoishi kwenye slums tofauti na Kibera maana Kenya slums mnazo nyingi tena za kutosha. Kibera ni trailer tu 😆😆
Bongolala, vilaza wenzako have shared articles here mentioning Kibera's population at 2.5 million people.

Cha kushangaza ni kwamba, they are not consistent with figures. Kuna wenye wanasema 2 million, Kuna wa 2.5m, Kuna wa 1.5m na Kuna wa 700k people kama wewe hapa sasa. That begs the question; how many people are there in Kibera exactly? Do we settle on 2.5m, 2m, 1.5m or 700k? When someone wants to lie, they should at least choose one lie and stick with it throughout.

But do you want to know the truth? Kibera's population doesn't exceed 250k people.

Kwamba a place with 700k people iwe na wapiga kura 128,000 pekee? Tumia akili angalau kidogo
IMG_20250917_235219.jpg
 
Back
Top Bottom