ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Sawa sawa. Yule Morocco sio kocha!! Tulitakiwa kuwapiga mapema sana wale jamaa jana!!Timu zetu za taifa hazina kocha.
Kocha wao kawachana ukweli 👇👇🤣🤣🤣🤣Huu utulivu umezaminiwa na The Gambia. 😂😂😂
Alafu huyu kocha asiwe anawaweka kambini hawa wachezaji, anawaharibu kimbinu, yeye angekuwa anaita timu wakacheze mechi basi.nilisema hapa tumekalia upemba tu, kocha akishakua mpemba basi kwetu tayari ni kocha😂😂😂😂😂
yani kocha hata kupanga kikosi tu nishida achilia kua na mbinu
tanzania nchi yangu 🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻
what is this????
View: https://www.instagram.com/reel/DOLNxURjPBO/?igsh=MThoZGk0ODAxbWdyNg==
View: https://www.instagram.com/reel/DOJLzbwDOBB/?igsh=MWU0dXE4eHpjbXQ5bw==
Question la kunyombwa bao 3 au kweshon choni? 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣You haven't answered the question watchman
"Yu havu not answarad ze kweshon"You haven't answered the question watchman
haya profesa wetu huyo 😂😂🙌🏻🙌🏻🙌🏻
View: https://www.instagram.com/p/DOLrCT7CtXr/?igsh=MXhhYjhxOTNwMWpmeA==
Vijana naona mnachanganya madesa Nkrumah inaanzia kko gerezani kamata hadi mnazi mmoja halafu inafuata Bi Titi mpaka maktaba then Ali Hassan MwinyiHa ha ha Samora inaishia Clock tower pale Nkrumah inapoazia. Kuanzia Clock tower hadi Lumumba ni Nkurumah hio.
Ndio maana asubuhi unakuta mkeka mpya jioni umepita hukuona hata gari ipo site 😂Baada ya kupiga sana kelele main roads za Masaki zimewekwa lami mpya juu ya lami za zanani sasa zinapendeza na kuvutia.
Bado mitaa ya Posta lami za zamani zimechoka inabidi zirudiwe. Samora,Mkwepu,Indira Ghandi etc inabidi zipigwe msasa.
Wanadai timu yao haikuahidiwa mapesa ndio maana wameinamishwa mgongo wamesahau hii sio chan.🤣🤣Yaani leo nyang'au Teargass amejificha kabisa baada ya nyang'au kuchezea kichapo cha wagambia nyumbani😎😎
Cc: Mimi Wewe Yule
Kibakuli😂😂😂😂
hakuna kocha pale bro hata abadilike kua kondoo kwa lugha fupi hakuna kocha paleAlafu huyu kocha asiwe anawaweka kambini hawa wachezaji, anawaharibu kimbinu, yeye angekuwa anaita timu wakacheze mechi basi.
Unaita vijana watu usiowajua? Kuhusu Nkurumah kaulize tena inawesekana wewe ndio unachanganya.Vijana naona mnachanganya madesa Nkrumah inaanzia kko gerezani kamata hadi mnazi mmoja halafu inafuata Bi Titi mpaka maktaba then Ali Hassan Mwinyi
Nkrumah St Google SearchUnaita vijana watu usiowajua? Kuhusu Nkurumah kaulize tena inawesekana wewe ndio unachanganya.