Yale mafisadi yanatakatisha pesa tu. Halafu yote yamekariri magari.Hapa ndio huwa nawadharau mafisadi wa Bongo. Wanakimbilia kujjnua super cars badala ya kufungua viwanda vidogo kama hivi na kuajiri waTz.
Check Lugumi, Kizigha, Abdul na lile la Zimbabwe.
Yanachojua ni MAGARI, tenda za umma na vyeo vya kisiasa.
Hayana yanachozalisha.
View: https://youtu.be/TLO0tRYWGmM?si=B1ppJ0mYEqm-2PSE