Accent yako ni mbovu kwasababu wewe ni mkenya, huwezi kuwa mzr kwenye English.Unadhani kama umeathirika na lugha ya mama kisukuma then Kila mtu ako hivyo?! Yani wewe hapo you want to engage me on matters English proficiency? Maajabu haya!
Mkisema owned by Mama Ngina huyo Mama Ngina ni Mtanzania?Azam is a Tanzanian company. Au ni mkenya .? 🤣🤣🤣
Mkisema owned by Mama Ngina huyo Mama Ngina ni Mtanzania?Azam is a Tanzanian company. Au ni mkenya .? 🤣🤣🤣
Kunyan kwao kiingereza ni maendeleo
Mtatoka tu kama kenya...tyari Morocco ashaqualify
On our way to World Cup 2026.
Mechi ya playoff ndio Itaamua.
View: https://www.instagram.com/p/DOOw0CMCEjD/?igsh=MTJtcDN1dTRrc2xweA==
Nyang'au kama akina mwathadan wameanza kujitokeza mmoja mmoja kufuatia kichapo kitakatifu cha wagambia nyumbani😎Unaonaje mtaenda playoff na nyinyi ndo wa mwisho kwa timu zote zinashikilia namba mbili?
View attachment 3467080
Huoni match played (MP) Tanzania ni 6! 😂😂😂Unaonaje mtaenda playoff na nyinyi ndo wa mwisho kwa timu zote zinashikilia namba mbili?
View attachment 3467080
PropagandaKadri siku zinavyozidi kwenda watanzania wengi wanagundua Kenya ni certain Shithole nakumbuka miaka ya nyuma watanzania wengi walikua wanachukulia Kenya kama taifa moja sane mno, kumbe ni uozo uliofichwa kwenye fake data
Jf imewaumbua sanaaaaaKadri siku zinavyozidi kwenda watanzania wengi wanagundua Kenya ni certain Shithole nakumbuka miaka ya nyuma watanzania wengi walikua wanachukulia Kenya kama taifa moja sane mno, kumbe ni uozo uliofichwa kwenye fake data
Hata tukitoka lkn utofauti wa uwezo na maendeleo ya soka umeonekana, tupo mbele yenu miaka 200. Nyie hata Burundi yupo juu yenu.Mtatoka tu kama kenya...tyari Morocco ashaqualify
haya profesa wetu huyo 😂😂🙌🏻🙌🏻🙌🏻
View: https://www.instagram.com/p/DOLrCT7CtXr/?igsh=MXhhYjhxOTNwMWpmeA==
Leteni picha basi..tunasikia maneno tuKwanini hawakuzingatia mitaro na pedestrian walkway kwa barabara hizo, Natumia sana Kimweri Road wengeweka ingekua poa.
Alafu Mkandarasi aliyefany kaweka lami poa sana na ni wandani ila hao wakipewa nje ya mji wanalipua why?
jamaa kamwaga gari zaidi ya 50🙌🏻🙌🏻
View: https://www.instagram.com/p/DONGmAhCInu/?igsh=MjVhMDdvdWowMTV4
Wajenge sidewalks sasaWameanzia Namanga Macho hadi huko Chole mkeka mpyaaa kama wa Haile selassie