Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hapa ndio huwa nawadharau mafisadi wa Bongo. Wanakimbilia kujjnua super cars badala ya kufungua viwanda vidogo kama hivi na kuajiri waTz.
Yale mafisadi yanatakatisha pesa tu. Halafu yote yamekariri magari.

Check Lugumi, Kizigha, Abdul na lile la Zimbabwe.

Yanachojua ni MAGARI, tenda za umma na vyeo vya kisiasa.

Hayana yanachozalisha.


View: https://youtu.be/TLO0tRYWGmM?si=B1ppJ0mYEqm-2PSE
 
"Yu havu not answarad ze kweshon"
Hivyo ndivyo ungesikika ukisema 👆👆🤣🤣🤣
Unadhani kama umeathirika na lugha ya mama kisukuma then Kila mtu ako hivyo?! Yani wewe hapo you want to engage me on matters English proficiency? Maajabu haya!
 
On our way to World Cup 2026.

Mechi ya playoff ndio Itaamua.

View: https://www.instagram.com/p/DOOw0CMCEjD/?igsh=MTJtcDN1dTRrc2xweA==

Unaonaje mtaenda playoff na nyinyi ndo wa mwisho kwa timu zote zinashikilia namba mbili?

1000067376.jpg
 
Back
Top Bottom