Nicxie
JF-Expert Member
- Jun 20, 2017
- 20,598
- 15,704
Zote uswazi, just like many areas of that glorified fishing villageNaona nimegusa tako! Kwetu ni Manzese kwa mfuga mbwa sio Tandale.
Zote uswazi, just like many areas of that glorified fishing villageNaona nimegusa tako! Kwetu ni Manzese kwa mfuga mbwa sio Tandale.
Yes and I'm proud.Zote uswazi, just like many areas of that glorified fishing village
Sasa usichoelewa nini? Kasema hakuna ubunifu viwanja vingi vya Afrika viko hivyo. Hata Mkapa ni beseni kama Talanta au Amahoro.Tell me any resemblance between Amahoro and Talanta wewe mnyamwezi
Nipate pain hamjafikia Standard yetu tuliyoiweka 2007?I understand your pain bongolala
Usiombe.Imagine Sisi ndio tungekua na garimoshi wao wana huo mchongoko?
Kuna mkandarasi mbongo kapewa hizo tender za kuweka lami mpya juu ya lami ya zamani, jamaa anajua kazi sana.Baada ya kupiga sana kelele main roads za Masaki zimewekwa lami mpya juu ya lami za zanani sasa zinapendeza na kuvutia.
Bado mitaa ya Posta lami za zamani zimechoka inabidi zirudiwe. Samora,Mkwepu,Indira Ghandi etc inabidi zipigwe msasa.
Ni bora kuliko kufumua uanze upya. Za Masaki zimependeza sana hasa baada ya kuweka lines na signs.Kuna mkandarasi mbongo kapewa hizo tender za kuweka lami mpya juu ya lami ya zamani, jamaa anajua kazi sana.
Alipewa za Dodoma kule uzunguni asee barabara zimependeza sana.
No differenceTell me any resemblance between Amahoro and Talanta wewe mnyamwezi
Unajua Africa hii kuna wengi hawajui hatua zetu juu ya reli kwakua sio watu wa domo kaya.Usiombe.