Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Baada ya kupiga sana kelele main roads za Masaki zimewekwa lami mpya juu ya lami za zanani sasa zinapendeza na kuvutia.

Bado mitaa ya Posta lami za zamani zimechoka inabidi zirudiwe. Samora,Mkwepu,Indira Ghandi etc inabidi zipigwe msasa.
Ndio maana asubuhi unakuta mkeka mpya jioni umepita hukuona hata gari ipo site 😂
 
Vijana naona mnachanganya madesa Nkrumah inaanzia kko gerezani kamata hadi mnazi mmoja halafu inafuata Bi Titi mpaka maktaba then Ali Hassan Mwinyi
Unaita vijana watu usiowajua? Kuhusu Nkurumah kaulize tena inawesekana wewe ndio unachanganya.
 
Baada ya kupiga sana kelele main roads za Masaki zimewekwa lami mpya juu ya lami za zanani sasa zinapendeza na kuvutia.

Bado mitaa ya Posta lami za zamani zimechoka inabidi zirudiwe. Samora,Mkwepu,Indira Ghandi etc inabidi zipigwe msasa.
Kwanini hawakuzingatia mitaro na pedestrian walkway kwa barabara hizo, Natumia sana Kimweri Road wengeweka ingekua poa.

Alafu Mkandarasi aliyefany kaweka lami poa sana na ni wandani ila hao wakipewa nje ya mji wanalipua why?
 
Huu uwanja ulivyojengwa ni akili kubwa naona kuna sehemu ukifanya expansio inawezekana bila.kutumia akili nyingi maana unaweza expand hizo sehemu mbili zilingane na jukwaa ndefu uwanja ukawa hata 50k.


Ule wa Dodoma Vipi?
 
Kwanini hawakuzingatia mitaro na pedestrian walkway kwa barabara hizo, Natumia sana Kimweri Road wengeweka ingekua poa.

Alafu Mkandarasi aliyefany kaweka lami poa sana na ni wandani ila hao wakipewa nje ya mji wanalipua why?
Hii ilikuwa quicker solution sio complete rebuild ambayo ingechukua muda mrefu na hela nyingi.

Kimweri nayo inabidi iangaliwe from Namanga to Chole road.
 
Back
Top Bottom