The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,480
- 98,527
haya profesa wetu huyo 😂😂🙌🏻🙌🏻🙌🏻
View: https://www.instagram.com/p/DOLrCT7CtXr/?igsh=MXhhYjhxOTNwMWpmeA==
Kuna muda wanaongea huku wanaona aibu na samia mwenyewe anaona aibu 🤣🤣🤣🤣
haya profesa wetu huyo 😂😂🙌🏻🙌🏻🙌🏻
View: https://www.instagram.com/p/DOLrCT7CtXr/?igsh=MXhhYjhxOTNwMWpmeA==
Vijana naona mnachanganya madesa Nkrumah inaanzia kko gerezani kamata hadi mnazi mmoja halafu inafuata Bi Titi mpaka maktaba then Ali Hassan MwinyiHa ha ha Samora inaishia Clock tower pale Nkrumah inapoazia. Kuanzia Clock tower hadi Lumumba ni Nkurumah hio.
Ndio maana asubuhi unakuta mkeka mpya jioni umepita hukuona hata gari ipo site 😂Baada ya kupiga sana kelele main roads za Masaki zimewekwa lami mpya juu ya lami za zanani sasa zinapendeza na kuvutia.
Bado mitaa ya Posta lami za zamani zimechoka inabidi zirudiwe. Samora,Mkwepu,Indira Ghandi etc inabidi zipigwe msasa.
Wanadai timu yao haikuahidiwa mapesa ndio maana wameinamishwa mgongo wamesahau hii sio chan.🤣🤣Yaani leo nyang'au Teargass amejificha kabisa baada ya nyang'au kuchezea kichapo cha wagambia nyumbani😎😎
Cc: Mimi Wewe Yule
Kibakuli😂😂😂😂
hakuna kocha pale bro hata abadilike kua kondoo kwa lugha fupi hakuna kocha paleAlafu huyu kocha asiwe anawaweka kambini hawa wachezaji, anawaharibu kimbinu, yeye angekuwa anaita timu wakacheze mechi basi.
Unaita vijana watu usiowajua? Kuhusu Nkurumah kaulize tena inawesekana wewe ndio unachanganya.Vijana naona mnachanganya madesa Nkrumah inaanzia kko gerezani kamata hadi mnazi mmoja halafu inafuata Bi Titi mpaka maktaba then Ali Hassan Mwinyi
Nkrumah St Google SearchUnaita vijana watu usiowajua? Kuhusu Nkurumah kaulize tena inawesekana wewe ndio unachanganya.
Kwanini hawakuzingatia mitaro na pedestrian walkway kwa barabara hizo, Natumia sana Kimweri Road wengeweka ingekua poa.Baada ya kupiga sana kelele main roads za Masaki zimewekwa lami mpya juu ya lami za zanani sasa zinapendeza na kuvutia.
Bado mitaa ya Posta lami za zamani zimechoka inabidi zirudiwe. Samora,Mkwepu,Indira Ghandi etc inabidi zipigwe msasa.
Huu uwanja ulivyojengwa ni akili kubwa naona kuna sehemu ukifanya expansio inawezekana bila.kutumia akili nyingi maana unaweza expand hizo sehemu mbili zilingane na jukwaa ndefu uwanja ukawa hata 50k.kila siku wanaonesha mradi mmoja😂😂
toka wantam aingie ofsini ana mradi mmoja wa PPP na mchina nothing else
View attachment 3466384View attachment 3466385View attachment 3466386View attachment 3466387View attachment 3466388View attachment 3466389View attachment 3466390View attachment 3466391View attachment 3466392View attachment 3466393
jamaa kamwaga gari zaidi ya 50🙌🏻🙌🏻
View: https://www.instagram.com/p/DONGmAhCInu/?igsh=MjVhMDdvdWowMTV4
Hii ilikuwa quicker solution sio complete rebuild ambayo ingechukua muda mrefu na hela nyingi.Kwanini hawakuzingatia mitaro na pedestrian walkway kwa barabara hizo, Natumia sana Kimweri Road wengeweka ingekua poa.
Alafu Mkandarasi aliyefany kaweka lami poa sana na ni wandani ila hao wakipewa nje ya mji wanalipua why?
Hapa ndio huwa nawadharau mafisadi wa Bongo. Wanakimbilia kujjnua super cars badala ya kufungua viwanda vidogo kama hivi na kuajiri waTz.Hawa jamaa walianzaga mzaha mzaha tu
Bila Kelele!kila siku wanaonesha mradi mmoja😂😂
toka wantam aingie ofsini ana mradi mmoja wa PPP na mchina nothing else
View attachment 3466384View attachment 3466385View attachment 3466386View attachment 3466387View attachment 3466388View attachment 3466389View attachment 3466390View attachment 3466391View attachment 3466392View attachment 3466393