instanbul
JF-Expert Member
- Jun 26, 2016
- 12,544
- 19,491
Na manyaya ya umeme na fibre wayafukie aiseeNa za town wakifanya hakika zitanoga, hizi round about zimenakishiwa sanamu zenye mandhari ya na historia ya Dar es Salaam wakire-capet na barabara zake wakaweka na street lights na hapo NHC anarepair na kupaka rangi majengo yake basi tumamaliza kazi ibaki kazi kabisa.