Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Only Project in Kenya
FB_IMG_1755609140606.jpg
 
Ni Amahoro kabisaaa hiiiii, hakuna ubunifu hapa mzee, viwanja vingi vya Africa vinakaa hivi. Ndiyo mana Arusha stadium will still be the most beautiful stadium in EA.
Tell me any resemblance between Amahoro and Talanta wewe mnyamwezi
 
Baada ya kupiga sana kelele main roads za Masaki zimewekwa lami mpya juu ya lami za zanani sasa zinapendeza na kuvutia.

Bado mitaa ya Posta lami za zamani zimechoka inabidi zirudiwe. Samora,Mkwepu,Indira Ghandi etc inabidi zipigwe msasa.
 
Baada ya kupiga sana kelele main roads za Masaki zimewekwa lami mpya juu ya lami za zanani sasa zinapendeza na kuvutia.

Bado mitaa ya Posta lami za zamani zimechoka inabidi zirudiwe. Samora,Mkwepu,Indira Ghandi etc inabidi zipigwe msasa.
Kuna mkandarasi mbongo kapewa hizo tender za kuweka lami mpya juu ya lami ya zamani, jamaa anajua kazi sana.
Alipewa za Dodoma kule uzunguni asee barabara zimependeza sana.
 
Back
Top Bottom