Sidhani kama ni kweli. Nkrumah kwanza hakuwa na nguvu.Nyerere hakumkubali sana Nkrumah, walikuwa mafahari wawili kwenye zizi moja.
Alipinduliwa akakimbia nchi, na kufia Uhamishoni.
Hata uwanja wa Ndege Ghana unaitwa Asante Kotoka, Mwanajeshi aliyempindua.