Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

umeingia chaka mzee 😂😂😂

View attachment 3465993
Sasa hayo makosa yaliyo andikwa na watu ambao hawaelewi history hayawezi kuondoa ukweli.

1757091399691.png


Soma History Kaka Wakati mwingine siyo kubisha tu bila hata kujua ukweli. Nilichokuambia ndio ukweli wenyewe.
 
Unaweza kusoma zaidi hapa:

hio ni jamii forum article mzee 😂😂😂
IMG_8418.jpeg


IMG_8419.jpeg
 
Sidhani kama ni kweli. Nkrumah kwanza hakuwa na nguvu.

Alipinduliwa akakimbia nchi, na kufia Uhamishoni.

Hata uwanja wa Ndege Ghana unaitwa Asante Kotoka, Mwanajeshi aliyempindua.
Nkrumah alijitangaza Rais wa Maisha Ghana wanajeshi wakasema naye. Hata Nyerere kutokubali falsafa ya Africa Unite kwa mrengo wa Nkrumah ni kwamba aliishaona kuwa Nkrumah anajiandaa kuwa Rais wa Afrika, Nyerere akatumia influence yake kupinga ideology yake na kuja na mtazamo mwingine wa RECs, hata hiyo heshima kidogo kapewa ni sababu tu ya heshima ya Pan Africanism na yeye kuwa Pan Africanist wa kwanza kuipa nchi yake uhuru, otherwise Nkrumah angetuburuza sana kama angefanikiwa.
 
hio ni jamii forum article mzee 😂😂😂
View attachment 3466021

View attachment 3466024
Hata wewe uliyoweka ni Model ya AI mtu anaweza kuweka tu na kupotosha ukweli. Mimi nakupatia ukweli.

Brother hayo yote ni makosa yaliyo endelezwa.
Kipindi cha kupigania Uhuru wanawake walikuwa wanakuwa na initial za Bi. likiwa na maana ya Ms.

Hayo makosa yaliendelezwa ilikupoteza heshima yake. Wakati wanapigania uhuru alikuwa ni mdogo na siyo Bibi

Nitakuletea vitabu usome.

Hayo makosa yalirithiwa na yanaendelezwa.
 
Nkrumah alijitangaza Rais wa Maisha Ghana wanajeshi wakasema naye. Hata Nyerere kutokubali falsafa ya Africa Unite kwa mrengo wa Nkrumah ni kwamba aliishaona kuwa Nkrumah anajiandaa kuwa Rais wa Afrika, Nyerere akatumia influence yake kupinga ideology yake na kuja na mtazamo mwingine wa RECs, hata hiyo heshima kidogo kapewa ni sababu tu ya heshima ya Pan Africanism na yeye kuwa Pan Africanist wa kwanza kuipa nchi yake uhuru, otherwise Nkrumah angetuburuza sana kama angefanikiwa.

Nimependa sana andiko lako. Mara nyingi kila napoingia kwenye mijadala hii huwa najiona bado sana sijayajua mambo na ni kweli...mfano hapo huo unaosema mtazamo wa RECs ni jambo jipya ningependa kufahamu zaidi. Too bad mambo mengi hayapo documented.
 
Somali national army na jubaland forces hua hawaskilizani na hu pigana mara kwa mara. This time jubaland forces alilemewa na akakimbia kenya kutake refuge na ku regroup ili waweze kuendelea na vita yao na SNA... KDF considers Jubaland force as a friendly force and an ally, hakuna venye wanaeza anzisha vita nao, although wamekosa kwasababu they have undermined Kenya's territorial integrity since the conflict has spilled over into kenya's borders thus creating risk to its citizens.
Huna akili! 🚮
 
Sidhani kama ni kweli. Nkrumah kwanza hakuwa na nguvu.

Alipinduliwa akakimbia nchi, na kufia Uhamishoni.

Hata uwanja wa Ndege Ghana unaitwa Asante Kotoka, Mwanajeshi aliyempindua.
Hakukimbia nchi.
Alikuwa ameenda China kwenye visit huku nyjma watu wakafanya yaona alipofika ingawa wenyeji tayari walikuwa na data kuwa jamaa sio rais, lakini alipokelewa kwa heshima na red carpet bila kujua yaliyotokea na kupelekwa kwenye bnyumba ya wageni. Ndio alipoambiwa na kuoneshwa kwenye TV yanayoendelea Ghana. Waziri wake wa mambo za njea alipotumwa aende Adis Ababa kupinga coup na kuomba support kwa Nkurumah alitoweka na kuelekea Ghana same na watu alioambatana nao.
 
Timu zetu za taifa hazina kocha.
Yn ukiangalia uhitaji cheti cha ukocha kujua kwamba benchi la ufundi halifahamu linataka nn, katika miaka yote tuliyowahi kuwa na national team, hatujawahi kuwa na timu bora zaidi ya hii, hizo zingine zote ni kelele tu na maneno meengiii yasiyo na justification yoyote, kinachotuangusha kwa ss kipo wazi kabisa, benchi la ufundi. Kama tungekuwa na benchi la ufundi kama at least la kenya tungefika mbali sanaa, mana wakenya wana benchi la ufundi zuri ila timu hawana, sisi tuna timu ila hatuna benchi zuri la ufundi.
 
Baada ya kupiga sana kelele main roads za Masaki zimewekwa lami mpya juu ya lami za zanani sasa zinapendeza na kuvutia.

Bado mitaa ya Posta lami za zamani zimechoka inabidi zirudiwe. Samora,Mkwepu,Indira Ghandi etc inabidi zipigwe msasa.
Wasisahau njia za watembea kwa miguu.
Na drainage zifunikwe. Nyerere road amependeza sana
 
Back
Top Bottom