Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Waulize hapo kwenye port wanapitisha nini?
Umeme wa Kenya kwa zaidi ya Asilimia 30 unazalishwa kwa mafuta mazito ya majenereta, counties zao zote za northern hawana national grid ni mwendo wa majenereta tu, hivyo inafanya waagize mafuta mengi zaidi ya majenereta ila wasivyo na akili wanafikiri kisa mzigo ni mkubwa Mombasa inamake sense economically kitu ambacho sio kweli, Tanzania sisi umeme wa majenereta tulishaachana nao
 
80 percent ya Mombasa total cargo is destined within Kenya 18 percent in transit to Uganda
Out of the total 40M tonnes passing through Mombasa Port, 8M tonnes are going to Uganda. Now according to your filthy calculations ebu tuambie that's how how many percentage?

Also don't forget that entire Northern Tanzania still uses Mombasa Port, South Sudan, Rwanda and Burundi also uses Mombasa Port.
 
Back
Top Bottom